Lowassa: Nachukia Umasikini

Lowassa: Nachukia Umasikini

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,828
Akijitambulisha kujiunga na UKAWA ndugu Edward Lowassa amesema kuwa anachukia umasikini.

Tutafakari pamoja kauli hii
 
Duu...! uongo mwingine bwana hatari...! Kasema anauchukia umasikini sio masikini; we vipi!?
 
Akijitambulisha kujiunga na UKAWA ndugu Edward Lowassa amesema kuwa anawachukia masikini.

Tutafakari pamoja kauli hii

acha unafiki hakusema anawachukia masikini alisema anauchukia umasikini kwa nia ya kuwafanya watu wawejiri
 
Hata mimi Richard Mugizi aka Nyani Ngabu nawachukia maskini...oooops.....nauchukia umaskini.
 
waongo na wazushi kama hawa, mods futilia mbali. jf yote tuungane kupambana na ccm, hi ndiyo imelazimisha hadi sheria inayotunyma uhuru wanajf ipitishwe kwa mizengwe, anayeichekea hii sheria na ccm afukuzwe tu jf.
 
Akijitambulisha kujiunga na UKAWA ndugu Edward Lowassa amesema kuwa anawachukia masikini.

Tutafakari pamoja kauli hii

muongo mkubwa, mbwa we! Kazi kumsingizia Baba wa watu, yeye kasema anachukia umaskini wewe unabadilisha!! Shame on ur hopeless face.....
 
Sijui kesho maccm wanataka kusema nao wametangaza press conference
 
Amesema anachukia UMASKINI! By the way, unadhani hizi propaganda zenu za kupindisha ukweli zinaweza kuinusuru CCM kwa sasa?

Hilo alilisema Arusha lakini leo amesema anachukia masikini.
 
Hata mimi Richard Mugizi aka Nyani Ngabu nawachukia maskini...oooops.....nauchukia umaskini.
Mkuu. We ni Nyani Ngabu kweli au una bifu na Nyani Ngabu? Naona tangu juzi umekazana kweli na comment hii hii. Samahani kama nimekukwaza lakini nauliza kwani naona umejifunga kibwebwe kuhakikisha watu wanafahamu kuwa Nyani Ngabu ndiye Richard Mugizi. Kuna ulazima wa kufanya hivyo?
 
Lowasa amesema kila mtanzania atakua kama Bakhresa au Mengi.
 
Back
Top Bottom