Lowassa: Nachukia Umasikini

Lowassa: Nachukia Umasikini

Unamzungumzia Lowasa yupi?

Edward Lowasa kasema anauchukia UMASIKINI hivyo sioni kama ni busara kufanya upotoshaji unaolenga kuleta chuki.
 
waongo na wazushi kama hawa, mods futilia mbali. jf yote tuungane kupambana na ccm, hi ndiyo imelazimisha hadi sheria inayotunyma uhuru wanajf ipitishwe kwa mizengwe, anayeichekea hii sheria na ccm afukuzwe tu jf.

Jf sio ya mamako wala babako... kama vipi anzisheni forum yenu we na mumeo ili muwe mnachangia wenyewe misukule ya chadomo
 
Mkuu. We ni Nyani Ngabu kweli au una bifu na Nyani Ngabu? Naona tangu juzi umekazana kweli na comment hii hii. Samahani kama nimekukwaza lakini nauliza kwani naona umejifunga kibwebwe kuhakikisha watu wanafahamu kuwa Nyani Ngabu ndiye Richard Mugizi. Kuna ulazima wa kufanya hivyo?
Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Ww km ni kibaraka wa jezi ya kijani, wambie waliokutuma nimechemka kuwadanganya wana jf
 
Akijitambulisha kujiunga na UKAWA ndugu Edward Lowassa amesema kuwa anawachukia masikini.

Tutafakari pamoja kauli hii

Kasema anachukia umasikini, mbona ccm nanahangaika sn..
 
Akijitambulisha kujiunga na UKAWA ndugu Edward Lowassa amesema kuwa anawachukia masikini.

Tutafakari pamoja kauli hii

Ondoa mharo wako hapa wewe, unajifanya hujui kiswahili... we mkongoman nini utakuwa
 
Mkuu. We ni Nyani Ngabu kweli au una bifu na Nyani Ngabu? Naona tangu juzi umekazana kweli na comment hii hii. Samahani kama nimekukwaza lakini nauliza kwani naona umejifunga kibwebwe kuhakikisha watu wanafahamu kuwa Nyani Ngabu ndiye Richard Mugizi. Kuna ulazima wa kufanya hivyo?

Mkuu umeniwahi, swali zuri hili.
 
Back
Top Bottom