Hivi Lowasa leo alikuwepo kwenye mkutano mkuu wa kumtangaza rais mtarajiwa?
Nipo nacheki kipindi maalum cha CCM,wakiwa kwenye mkutano wao mkuu Dodoma,wakitangaza namna Washindani wa kiti cha Urais kupitia CCM walivyoshinda,lkn Nashangaa Mh.E.N.Lowasa simuoni,sijui amekwenda wapi??.