Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,087
- 6,390
kwani ufisadi ni ugonjwa shemeji?
Anaumwa mengi...ufisadi na kale ka ugonjwa...
kwani ufisadi ni ugonjwa shemeji?
Anaumwa mengi...ufisadi na kale ka ugonjwa...
huyo paroko hamjui askofu Dr. Ruwaichi atahamishiwa ukerewe tena kisiwa cha saanane..
Hapo hata hawa viongozi wa dini wanatuchanganya,kila kukicha utawasikia
wanakemea ufidadi waziwazi.lakini unawakuta tena wanamwalika huyohuyo
fisadi kuchangia.Umaskini kweli ni shida.
Pengine Lowasa kama muumini sioni tatizo la yeye kuarikwa katika hilo kanisa sidhani kama ni lazima tumfikirie vingine zaidi ya kwenda kufanya ibada na kusimamia harambee.
Kwa CCM hamna aliyebora kumfikia Lowassa
Nafikiri wewe ni kama wale wengine wasiojua vizuri kuchambua mambo.ni kweli EL hana tofauti na mafisadi wengine akina BM, AK, KNM,JK na familia yake na wakuu wa mashirika wa umma hawa kwanza wananuka zaidi kuliko hata EL, ila tofauti ya EL na hawa wengine ni kwamba baada ya kujiuzulu EL amekua akipiga vita ya chini chini kwenye chama na serikali ili asafishwe, awachafue wengine, alipe visasi, abaki na mtaji wake wa kisiasa achomoke wviongozi kwenye chama mfano Bruiani pale Arusha badala ya Mrema n.k na haya yote ndiyo yanayomfanya aendelee kumulikwa vibaya au vizuri na jamii. angetulia akala hela zake taratibu asingefuatwa fuatwa nani anamkumbuka Karamagi, Msabaha, Kigoda, hata akina Mramba na Yona wenye ksei mahakamani hawaandikwi (wote hawa hawatafuti wachawi na hawaingilia siasa za wenzao wametulia wanakula chao walichovuna)
huko makanisani anatangaza nia au umeona nini Tambua kuwa EL ni mkrito na anapaswa kushirikiana na wakristo wenzake Tatizo lenu UDINI unawasumbua mno
Msamehe bure, huyu jamaa ni wale wanaomsikia TB Joshua kupitia magazeti ya Udaku, hajawahi kukanyaga SCOAN wala kuangalia huduma yake kupitia Emmanuel TV. Otherwise angeficha aibu yake ya kujionyesha jinsi anavyozungumzia mtu asiye na information zake hata kidogo. Namshuri tu aangalie Emmanuel TV japo kwa J2 moja critically, naamini atakuja na ushuhuda tofauti
Kama yeye ndie mpakwa mafuta, lazima atumie karata hiyo ya harambee, ila amejaaliwa kipaji cha powers of organizing, kila akisimamia fund rising, mifwedha inamwagika kwa wingi!Ama kweli mbio unazokimbia kuelekea urais hakuna anayekufuata!!!!!
Tarehe 13/11/2011 nimeshitushwa kutangaziwa kwamba mheshimiwa Edward Ngoyay Lowassa atakuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya harembee ya kanisa langu parokia ya Nundu-Mwanza.Hakika umejipanga ila watanzania hakutaki amin!!
karachuonyo, wewe ndio mpangaji?, ama unawish?. Lililopangwa na Mungu ndilo liwalo, ndia maana hata JK alipogombea 2005 tuliambiwa ni chaguo la Mungu na hapa tulipofika ndipo Mungu alipotaka tuwe kwa chaguo hilo, na sasa ni Mungu huyo huyo anatyaka kutuleta mkombozi toka Kaskazini!.mimi naamini kabisa lowasa anatafuta huruma ya jamii hasa kupitia madhehebu ya kikristo na kiislamu lakini hatafanikiwa kamwe
Tusubiri kama itatokea!! Mleta mada ulete mrejesho.for now no comment.karachuonyo, wewe ndio mpangaji?, ama unawish?. Lililopangwa na Mungu ndilo liwalo, ndia maana hata JK alipogombea 2005 tuliambiwa ni chaguo la Mungu na hapa tulipofika ndipo Mungu alipotaka tuwe kwa chaguo hilo, na sasa ni Mungu huyo huyo anatyaka kutuleta mkombozi toka Kaskazini!.
Lisilowezekana kibinadaamu, kwa Mungu, linawezekana!.
Mkuu umenena vema hakuna anaye muonea wivu alichonacho ni chake,ila kama tunamuona anatafuta huruma ya samehe saba mara sabini tutasema tu,cos mwisho wa huruma ya samehe saba mara sabini tutampa nchi alafu atatutawali sisi ambao tumerisishwa umasikini cos ktk nchi hii matajiri wapiga kura ni wachache sana[watanzania maskini mnatabu sana na wivu badala ya kuwalaumu wazazi wenu waliowarithisha umaskini ]
Mkuu nilidhani ungeyatumia masaburi kwa kujisaidia kuliko kufikiria..nani amuonee wivu fisadi?kinachowauma watu ni kwenda kwake kutaka sympath ya makanisa na waumini wakati wapiga kura keshawaibia sana hadi wamemchoka na makanisa hayo hayo yalijifanya kuupinga ufisadi leo yanataka kununuliwa kwa pesa za walalahoi huu ushenzi ndio hatutaukubali thistime
Nimekushangaa sana,unataka proof za aina gan?Kwani bible hakuna mstari/mistari inayosema dalili za siku za mwisho 1 ni kwamba watatokea manabii wa uongo?Pinga na hilo sasa.Tuondolee hapa roho yako chafu ya dini.Unaweza kuprove biblically hiyo shutuma kwa TB JOSHUA & GEORDAVIE? Huoni shutuma yako bila authentic prove inakuthibitisha wewe unamfanzia kazi shetani,na ni wewe haswa unayemuabudu shetani na si hawa? Acha discrimination za kijinga juu ya imani za watu...
Wewe unamatatizo kama sio ya akili basi,ni agent wa Shetani,werwe ni nani hata uamue nani amchangi Mungu na nani asuimchangie,koma kabisa na ushetani wako huu,unaleta siasa kwa Mungu,MUNGU ANAWAHITAJI WATU WOTE UKIWAMO WEWE HATA KAMA NI MZINZIAma kweli mbio unazokimbia kuelekea urais hakuna anayekufuata!!!!!Tarehe 13/11/2011 nimeshitushwa kutangaziwa kwamba mheshimiwa Edward Ngoyay Lowassa atakuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya harembee ya kanisa langu parokia ya Nundu-Mwanza.Hakika umejipanga ila watanzania hakutaki amin!!