Lowassa na Nyalandu wakutana Zanzibar

Lowassa na Nyalandu wakutana Zanzibar

Imran K

Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
43
Reaction score
46
Watangaza nia wa CCM Mheshimiwa Lazaro Nyalandu na Mheshimiwa Edward Lowassa wamekutana makao makuu ya CCM Zanzibar ambapo wote wameenda kutafuta wadhamini kama ilivyoagizwa na Chama Cha Mapinduzi. Wote wameenda na wake zao Mama Regina Lowassa na Faraja Nyalandu.

laz.jpg laz6.jpg
 
Hakuna jipya ni usanii mtupu. Hizo hela wanazomwaga wangeanzisha miradi vijana wapate ajira.
 
Watangaza nia wa CCM Mheshimiwa Lazaro Nyalandu na Mheshimiwa Edward Lowassa wamekutana makao makuu ya CCM Zanzibar ambapo wote wameenda kutafuta wadhamini kama ilivyoagizwa na Chama Cha Mapinduzi. Wote wameenda na wake zao Mama Regina Lowassa na Faraja Nyalandu.

View attachment 258339View attachment 258341
 
siasa safi sana ha ha ha ha ha naona babu anamwambia kijana mambo yakiwa mabaya watu wako nipe mimi
 
Nyalandu ndiye mtangaza nia pekee ambaye hakumshambulia Lowassa kama wengine inaonekana hapo wanapeana michakato ya wizara gani jamaa atadakishwa.
 
Nyalando amelelewa kimaadili na hawezi tukana waliomzidi umri,ila mambo ya michepuko ndo sijajua imekaaje hiyo
 
Hapo Lowassa anamhakikishia Nyalandu kuwa " usiwe na wasiwasi na hao waropokaji nina mtaji wa kutosha wa wajumbe"
 
Mwenye akili anajua kinachoendelea, nyinyi mliojitoa akili mnaibuka na kila mtangaza nia.. mara Makongoro,nani kwa kuambia jina linaongoza nchi..baba yake mwenyewe hakumpromote akijua hawezi. shauri yenu
 
Wote hapo hakuna anayefaa

Watanzania Wenzangu please please, SAY No to third term of fourth Regime, No to Uncle, No to ukabila (mliona wenyewe kwenye mkutano wa Matama), No to project ya Jumba kuu AKA Membe. Hii nchi siyo ya kifalme, kama wanataka wakagombee uenyekiti wa ukoo wao
 
Huyu Faraja Nyalandu siyo amefiwa na baba yake? Alitakiwa kuwa kwenye msiba huko Mbezi beach
 
Back
Top Bottom