Lowassa na Nyalandu wakutana Zanzibar

Lowassa na Nyalandu wakutana Zanzibar

Anatamani u-first lady kuliko msiba.

quote_icon.png
By ebaeban
Huyu Faraja Nyalandu siyo amefiwa na baba yake? Alitakiwa kuwa kwenye msiba huko Mbezi beach



Mambo ya misiba musiwe mnakurupuka kuyasema bila kuwa na uhakika kidogo. Nafikiri habari ya binti huyo kufiwa siyo ya kweli kwani familia yao ni ya wacha MUNGU.​


 
Baba yake Faraja alifariki miaka mingi iliyopita. Kama hujui jambo nyamaza kuliko kuzua uzushi. Faraja Kota ni Mbondei wa Muheza na wala siyo Mnyaturu wa Singida. Naona JF kumejaa uzushi tu siku hizi.
 
kma kwenda ikulu kigezo kingekua nan mwenye mke mzuri

Nyalandu ningempa kura yangu
 
MKE WA LOWASA: Binti usinitishe enzi za ujana wangu nilikuwa bomba kuliko wewe!

MKE WA NYALANDU: Mama hapa kutesa ni kwa zamu historia peleka Chekechea kule
 
Huyu Faraja Nyalandu siyo amefiwa na baba yake? Alitakiwa kuwa kwenye msiba huko Mbezi beach
Baba yake ,Mama yake walishafariki dunia miaka mingi iliyipota,Faraja Nyalandu ni Yatima kipindi kirefu tu
 
Baba yake ,Mama yake walishafariki dunia miaka mingi iliyipota,Faraja Nyalandu ni Yatima kipindi kirefu tu

Hivi unaijuwa tafsiri ya Yatima? Basi kama ni hivyo hata Baba yangu anayekaribia miaka 70 naye ni Yatima maana wazazi wake walifariki siku nyingi tu.
 
Hivi unaijuwa tafsiri ya Yatima? Basi kama ni hivyo hata Baba yangu anayekaribia miaka 70 naye ni Yatima maana wazazi wake walifariki siku nyingi tu.
Ndo maana yake,yatima ni mtoto yeyote ambae hana wazazi,kumbuka mtoto hakuwi kamwe kwa wazazi wake,hapo upo?hata ukuwe vipi kamwe utabaki mtoto kwa wazazi wako.
 
Nyalando amelelewa kimaadili na hawezi tukana waliomzidi umri,ila mambo ya michepuko ndo sijajua imekaaje hiyo

Mkuu hivi huyu nyalandu alisoma seminary nini...sijawahi kumsikia akitupa vijembe vya kihuni
 
Ndo maana yake,yatima ni mtoto yeyote ambae hana wazazi,kumbuka mtoto hakuwi kamwe kwa wazazi wake,hapo upo?hata ukuwe vipi kamwe utabaki mtoto kwa wazazi wako.

Unajaribu kumuelewesha mtu aliejitoa ufahamu
 
Back
Top Bottom