Mtanzania1
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 1,170
- 175
Ni dada hujakosea..lkn kwanini wanaking'ang'ania
Sababu tunadhani kujua kiingereza ni dalili ya kuwa msomi...mbona kuna maprofesa wengi tu hawajawahi kutumia kiingreza wakato wa masomo yao????
Ni dada hujakosea..lkn kwanini wanaking'ang'ania
Lowassa is far better than mulugo
Mkuu KIM tupia jamvini yoyote ya Mhe Makinda na/au Mhe Hawa Ghasia wakitafuna ung'eng'e, zikipatikana ambazo wanabwabwaja bila kusoma karatasi itakuwa burudani zaidi. Nina mashaka sana na ngeli zao.
Grammar tatizo..sio to show transparent Bali ni to show transparency,,,
Hapo kwa lowasa naona anajichanganya sasa hao children wana hungry au anger?
nawewe ulitaka kuandika hunger au?wale wale tu
Dr wa ukweli huyu!!! Msikilize
alichoboronga mulugo ni aibu haswa ukilinganisha na wizara anayosimamia!
to be frank wala sina chakusema maana yeye cha kwake kizuri kuliko cha kwangu..nadhani mm nikianza kuongea basi hata hicho cha kwake cha weza kuwa karibu sawa na cha malkia e the quin....
Hongera waziri mkuu aliye staafishwa kwa manufaa ya umma ung'eng'e wako si haba mi naweza shindana na labda naibu waziri wa elmu na akikazana ku-crame anaweza nishinda kabisa!...hapo mi sina ugomvi na ww! Ila inapokuja ufisadi duu hapo nakuogapa kuliko ukimwi...
lakini kwanini wanaking'ang'ania,mh lowassa mfano jinsi ambavyo hayuko comfortable na hiyo lugha,ni wazi aliandika mahali kwanza then akajikaririsha kutwa nzima