Lowassa na maamuzi magumu Monduli

Lowassa na maamuzi magumu Monduli

Paul Alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2012
Posts
4,344
Reaction score
9,845
Wadau mimi nimetoka Monduli mwezi wa nne mwaka huu,nimeona barabara za hovyo,madaraja yaliyochukuliwa na maji,wamasai wanaokunywa maziwa tu msimu wote wa masika na uji tu au ugali msimu wote wa kiangazi,marternal death rate za ajabu,Trekta ikitumika kama ambulance,soko na dispencary zaidi ya km 70.

Mimi sikuona maamuzi magumu,wadau labda mmeyaona?
 
Wadau mimi nimetoka Monduli mwezi wa nne mwaka huu,nimeona barabara za hovyo,madaraja yaliyochukuliwa na maji,wamasai wanaokunywa maziwa tu msimu wote wa masika na uji tu au ugali msimu wote wa kiangazi,marternal death rate za ajabu,Trekta ikitumika kama ambulance,soko na dispencary zaidi ya km 70.

Mimi sikuona maamuzi magumu,wadau labda mmeyaona?

kwahiyo twende na neno " mondoli " au " monduli " ?
 
Angeyatekeleza hayo uliyoyaona leo mtoa posti ungerudi na kusema Lowassa ni mbaguzi kajenga kwao. Watanzania kazi tunayo!
 
Angeyatekeleza hayo uliyoyaona leo mtoa posti ungerudi na kusema Lowassa ni mbaguzi kajenga kwao. Watanzania kazi tunayo!

umetumia theory gani kunifikisha kwenye mada ya ubaguzi?
Anzisha mada ya ubaguzi kama unataka,yakwangu ni hayo niliyoandika halafu punto.
 
Naomba unitajie vitabu hata vitatu ambavyo umewahi kusoma nikuonyeshe spelling mistakes!Hata the newest versions

kitabu cha kwanza ni hiki cha lowassa na maamuzi magumu mondoli kilichoandikwa na mwandishi paul alex version ya 26th may 2015
 
kitabu cha kwanza ni hiki cha lowassa na maamuzi magumu mondoli kilichoandikwa na mwandishi paul alex version ya 26th may 2015

kuna maelezo mengi kwa mtu wa namna yako,au umelewa,au unataka kuhamisha mjadala,au ni mchangiaji wa kulipwa uliyefunga fikra zako,au ni mtu tu usiejua kutengeneza hoja.
Sidhani kama kuna tulichobakiza mimi na wewe,kwaheri.
 
kuna maelezo mengi kwa mtu wa namna yako,au umelewa,au unataka kuhamisha mjadala,au ni mchangiaji wa kulipwa uliyefunga fikra zako,au ni mtu tu usiejua kutengeneza hoja.
Sidhani kama kuna tulichobakiza mimi na wewe,kwaheri.

maamuzi yako haya ulitakiwa uyachukue mapema tu ila nilikushangaa ulipotaka kuanzisha ligi na mimi ilhali unaonekana ni poyoyo muadilifu
 
lowasa ni fisadi na pia ni dikteta jimboni kwake monduli chadema ikishinda kwenye mtaa huchakachua matokeo. mgano halisi ni katika vijiji vya nanja pamoja na mto wa mbu.
 
Edo ni mwizi, mgonjwa
Jimboni Monduli wamemchoka basi tu wanamwogopa kwa vile alikuwa PM (rais mdogo). Masai pumbav sana
 
Edo ni mwizi, mgonjwa
Jimboni Monduli wamemchoka basi tu wanamwogopa kwa vile alikuwa PM (rais mdogo). Masai pumbav sana

Unakoseaga lkn kosa la leo limezidi kipimo. Labda utuchambulie km umemtusi Lowasa kama kuwa ni mpumbavu km yeye binafsi, au umemtusi "mpumbavu" km mmasai. Na km umemtusi km yy, ss ni kwanini uunganishe upumbavu wake na umasai wake?
 
Back
Top Bottom