[QUwOTE=njiwa;13856583]Lowassa, masha, sumaye , rostam aziz ... Mtakuwa mmebadilisha nini?[/QUOTE]
Wamekaririshwa hao hata ukitaka kununua chungwa unambiwa ndiyo maana tunataka mabadiliko ili bei ya machungwa ishuke...hawajui huu si msimu wa machungwa! Ndiyo maana mamba wa mto mara wanafaidi
Wamekaririshwa hao hata ukitaka kununua chungwa unambiwa ndiyo maana tunataka mabadiliko ili bei ya machungwa ishuke...hawajui huu si msimu wa machungwa! Ndiyo maana mamba wa mto mara wanafaidi