Kama ni kweli mbona hajahukumiwa au sheria zetu haina meno naomba ufafanuzi mleta mada
Ndiyo! Fisadi Lowasa na Genge lake ndiyo waliofanya huwo wizi wote!
na mimi natanguliza shukrani zangu aiseeeHilo nalo neno,wacha watusaidie.
Baada ya kujimilikisha Migodi yetu yote ya TanZania na kuwaachia wenyeji mashimo sasa fisadi Lowasa na Genge lake wamegeukia Gesi yetu, hii Gesi ndiyo inayowapeleka puta, hizi kelele zote, huku kutafuta Uraisi kwa gharama yoyote ile kwanza kulianzia ndani ya CCM kukashindikana na sasa kumehamia chadema kuna lengo moja tu nalo ni Gesi yetu iliyogunduliwa kwa wingi huko Pwani ya Kusini mwa nchi yetu!
Mafisadi wakiongozwa na Lowasa baada ya Wazalendo wa CCM kuwashtukia na kuwanyima Uraisi sasa wamehamishia nguvu zote upande wa Upinzani dhidi ya Chama Dola rejea watu walio kwenye Genge la Fisadi Lowasa ni Mengi huyu anajulikana kwa ugomvi wake na Waziri Muhongo baada ya kunyimwa kitalu cha Gesi kwa kuwa hakuwa na uwezo wa kukiendeleza, Rostamu Aziz huyu ndiye mwizi mkubwa wa Rasilimali zetu rejea nani anatenda ya Migodi yote ya dhahabu nchini, Karamagi huyu ndiye aliyeuza Migodi yetu hotelini huko nchini Uingereza, Rugemalira huyu ndiyo King maker wa Escrow na saga lote la Richmond n.k
Hivyo kama MtanZania na mpenda nchi yangu naishukuru sana Kamati ya maadili kwa kuliona hilo na kulikata jina la fisadi Lowasa, ikumbukwe kwamba Kamati ya maadili inajumuisha maraisi wetu wastaafu na watu wetu wa Usalama hivyo kuna mambo waliyoyaona ambayo sisi watu wa kawaida hatuna uwezo wa kuyaona ila ni jukumu letu kuwaelimisha Manyumbu ambao wananunuliwa viroba na fisadi Lowasa ili walete fujo!
Hongereni Kamati ya Maadili ya CCM!
hapa kazi tu,ikulu wataenda kunywa chai kama kawaida yaobaada ya kujimilikisha migodi yetu yote ya tanzania na kuwaachia wenyeji mashimo sasa fisadi lowasa na genge lake wamegeukia gesi yetu, hii gesi ndiyo inayowapeleka puta, hizi kelele zote, huku kutafuta uraisi kwa gharama yoyote ile kwanza kulianzia ndani ya ccm kukashindikana na sasa kumehamia chadema kuna lengo moja tu nalo ni gesi yetu iliyogunduliwa kwa wingi huko pwani ya kusini mwa nchi yetu!
Mafisadi wakiongozwa na lowasa baada ya wazalendo wa ccm kuwashtukia na kuwanyima uraisi sasa wamehamishia nguvu zote upande wa upinzani dhidi ya chama dola rejea watu walio kwenye genge la fisadi lowasa ni mengi huyu anajulikana kwa ugomvi wake na waziri muhongo baada ya kunyimwa kitalu cha gesi kwa kuwa hakuwa na uwezo wa kukiendeleza, rostamu aziz huyu ndiye mwizi mkubwa wa rasilimali zetu rejea nani anatenda ya migodi yote ya dhahabu nchini, karamagi huyu ndiye aliyeuza migodi yetu hotelini huko nchini uingereza, rugemalira huyu ndiyo king maker wa escrow na saga lote la richmond n.k
hivyo kama mtanzania na mpenda nchi yangu naishukuru sana kamati ya maadili kwa kuliona hilo na kulikata jina la fisadi lowasa, ikumbukwe kwamba kamati ya maadili inajumuisha maraisi wetu wastaafu na watu wetu wa usalama hivyo kuna mambo waliyoyaona ambayo sisi watu wa kawaida hatuna uwezo wa kuyaona ila ni jukumu letu kuwaelimisha manyumbu ambao wananunuliwa viroba na fisadi lowasa ili walete fujo!
hongereni kamati ya maadili ya ccm!
Kwa hiyo yule mtoto wa mkubwa aliyeandaliwa kuwa msambazaji pekee wa hiyo gesi ni mtoto wa Lowasa? Na in Lowasa aliyeshinikiza ule mswada wa mafuta na gesi upitishwe haraka haraka bungeni? Msifikiri sisi watanzania ni wajinga kiasi hiki na hat it a sang any oka mwaka huu lazima muondoke mtuachie rasiimali zetu mlizoatamia.Baada ya kujimilikisha Migodi yetu yote ya TanZania na kuwaachia wenyeji mashimo sasa fisadi Lowasa na Genge lake wamegeukia Gesi yetu, hii Gesi ndiyo inayowapeleka puta, hizi kelele zote, huku kutafuta Uraisi kwa gharama yoyote ile kwanza kulianzia ndani ya CCM kukashindikana na sasa kumehamia chadema kuna lengo moja tu nalo ni Gesi yetu iliyogunduliwa kwa wingi huko Pwani ya Kusini mwa nchi yetu!
Mafisadi wakiongozwa na Lowasa baada ya Wazalendo wa CCM kuwashtukia na kuwanyima Uraisi sasa wamehamishia nguvu zote upande wa Upinzani dhidi ya Chama Dola rejea watu walio kwenye Genge la Fisadi Lowasa ni Mengi huyu anajulikana kwa ugomvi wake na Waziri Muhongo baada ya kunyimwa kitalu cha Gesi kwa kuwa hakuwa na uwezo wa kukiendeleza, Rostamu Aziz huyu ndiye mwizi mkubwa wa Rasilimali zetu rejea nani anatenda ya Migodi yote ya dhahabu nchini, Karamagi huyu ndiye aliyeuza Migodi yetu hotelini huko nchini Uingereza, Rugemalira huyu ndiyo King maker wa Escrow na saga lote la Richmond n.k
Hivyo kama MtanZania na mpenda nchi yangu naishukuru sana Kamati ya maadili kwa kuliona hilo na kulikata jina la fisadi Lowasa, ikumbukwe kwamba Kamati ya maadili inajumuisha maraisi wetu wastaafu na watu wetu wa Usalama hivyo kuna mambo waliyoyaona ambayo sisi watu wa kawaida hatuna uwezo wa kuyaona ila ni jukumu letu kuwaelimisha Manyumbu ambao wananunuliwa viroba na fisadi Lowasa ili walete fujo!
Hongereni Kamati ya Maadili ya CCM!
Lowasa ndyo kiboko yenu akiingia lazma mikataba yote ipitiwe upya.. Hapa lazima atapike mtu
Ndiyo! Fisadi Lowasa na Genge lake ndiyo waliofanya huwo wizi wote!
una fikra fupi sana, tena ndo mwisho wa upeo wako, hapa taz, fisad au mwiz anathibitika mahakamani, ni nani aliekuambia hao uliowataja ni wezi, kumbuka uchafu unaoutaja ni kwenye mfumo mbovu wa serikal yako dhaifu inayoruhus hata wez kugombea urais, wengne wanaomba mechi na mwiz wafanye mjadala, nyambafu kweli, badala ya kupeleka mwizi mahakamani, wanaomba mjadala, tunataka serikal inayoweza kushtaki wezi na sio kuomba nae mjadala kwenye tv
Poa na vipi kuhusu swali langu la awali nyie CCM mmefanya nini cha maana na dhahabu, almasi na tanzanite yetu tangu uhuru mpaka tuwaamini na gesi yetu?Kama tu kwenye kumchukuwa fisadi Lowasa chadema haikuheshimu hata Katiba yake yenyewe iliyojiwekea iweje wakishika Dola?
Nchi haifanyiwi majaribio hata siku Moja, kama mnataka Majaribio fanyeni kwenye udiwani!
escrow; epa;madawa ya kulevya; meno ya Tembo ;kuuzwa viwanda ;kukosa dawa hospital; umasikini ;rushwa; uonevu.ndani ya nchi hii..na mengine mengi.. yote hayo ni EL
Watanzania tunachotaka ni mabadiliko basi magamba tumewachoka tena sana.