Baada ya kujimilikisha Migodi yetu yote ya TanZania na kuwaachia wenyeji mashimo sasa fisadi Lowasa na Genge lake wamegeukia Gesi yetu, hii Gesi ndiyo inayowapeleka puta, hizi kelele zote, huku kutafuta Uraisi kwa gharama yoyote ile kwanza kulianzia ndani ya CCM kukashindikana na sasa kumehamia chadema kuna lengo moja tu nalo ni Gesi yetu iliyogunduliwa kwa wingi huko Pwani ya Kusini mwa nchi yetu!
Mafisadi wakiongozwa na Lowasa baada ya Wazalendo wa CCM kuwashtukia na kuwanyima Uraisi sasa wamehamishia nguvu zote upande wa Upinzani dhidi ya Chama Dola rejea watu walio kwenye Genge la Fisadi Lowasa ni Mengi huyu anajulikana kwa ugomvi wake na Waziri Muhongo baada ya kunyimwa kitalu cha Gesi kwa kuwa hakuwa na uwezo wa kukiendeleza, Rostamu Aziz huyu ndiye mwizi mkubwa wa Rasilimali zetu rejea nani anatenda ya Migodi yote ya dhahabu nchini, Karamagi huyu ndiye aliyeuza Migodi yetu hotelini huko nchini Uingereza, Rugemalira huyu ndiyo King maker wa Escrow na saga lote la Richmond n.k
Hivyo kama MtanZania na mpenda nchi yangu naishukuru sana Kamati ya maadili kwa kuliona hilo na kulikata jina la fisadi Lowasa, ikumbukwe kwamba Kamati ya maadili inajumuisha maraisi wetu wastaafu na watu wetu wa Usalama hivyo kuna mambo waliyoyaona ambayo sisi watu wa kawaida hatuna uwezo wa kuyaona ila ni jukumu letu kuwaelimisha Manyumbu ambao wananunuliwa viroba na fisadi Lowasa ili walete fujo!
Hongereni Kamati ya Maadili ya CCM!
mbona mnasahahu kumpigia kampeni maguful???????????????????????
Ndiyo! Fisadi Lowasa na Genge lake ndiyo waliofanya huwo wizi wote!
Bora gesi ichukuliwe na Watanzania kuliko wazungu
Vyovyote vile tofauti ni kwamba Raisi Kikwete siyo mtu binafsi bali ni taasisi hata kama atakuwa amepeleka Gesi yetu Bagamoyo hilo siyo tatizo kwa maana Bagamoyo bado ni TanZania na kama Bagamoyo ikifaidika basi TanZania pia itakuwa imefaidika kwa maana mtu wa Tanga au Kigoma anaweza kwenda Bagamoyo na kupata kazi na isitoshe Raisi Kikwete muda wake umeisha na Raisi mwingine anakuja lkn Gesi yetu inabakia mali yetu tofauti na fisadi Lowasa na Genge lake ambao wanataka kujimilikisha wao pamoja na familia zao na hilo kosa la kuwapa madaraka likifanyika TanZania yetu kama tuijuavyo ndiyo bye bye tena na itachukua vita kubwa kama Kongo kuweza kuipokonya kutoka kwenye hili Genge!
Na ndiyo maana naipongeza sana tume ya maadili ya CCM kwa kuona mbali!
mbona mnasahahu kumpigia kampeni maguful???????????????????????
Lowasa ni fisadi namba moja hafai kwa lolote zaidi ya ufisadi wake tumkatae kwa nguvu zote.
CCM mmefanyia nini dhahabu, tanzanite, almasi, vivutio vya utalii na kadhalika tangu tupate uhuru? Tukiwapa na gesi yetu si mtapasuka matumbo?Baada ya kujimilikisha Migodi yetu yote ya TanZania na kuwaachia wenyeji mashimo sasa fisadi Lowasa na Genge lake wamegeukia Gesi yetu, hii Gesi ndiyo inayowapeleka puta, hizi kelele zote, huku kutafuta Uraisi kwa gharama yoyote ile kwanza kulianzia ndani ya CCM kukashindikana na sasa kumehamia chadema kuna lengo moja tu nalo ni Gesi yetu iliyogunduliwa kwa wingi huko Pwani ya Kusini mwa nchi yetu!
Mafisadi wakiongozwa na Lowasa baada ya Wazalendo wa CCM kuwashtukia na kuwanyima Uraisi sasa wamehamishia nguvu zote upande wa Upinzani dhidi ya Chama Dola rejea watu walio kwenye Genge la Fisadi Lowasa ni Mengi huyu anajulikana kwa ugomvi wake na Waziri Muhongo baada ya kunyimwa kitalu cha Gesi kwa kuwa hakuwa na uwezo wa kukiendeleza, Rostamu Aziz huyu ndiye mwizi mkubwa wa Rasilimali zetu rejea nani anatenda ya Migodi yote ya dhahabu nchini, Karamagi huyu ndiye aliyeuza Migodi yetu hotelini huko nchini Uingereza, Rugemalira huyu ndiyo King maker wa Escrow na saga lote la Richmond n.k
Hivyo kama MtanZania na mpenda nchi yangu naishukuru sana Kamati ya maadili kwa kuliona hilo na kulikata jina la fisadi Lowasa, ikumbukwe kwamba Kamati ya maadili inajumuisha maraisi wetu wastaafu na watu wetu wa Usalama hivyo kuna mambo waliyoyaona ambayo sisi watu wa kawaida hatuna uwezo wa kuyaona ila ni jukumu letu kuwaelimisha Manyumbu ambao wananunuliwa viroba na fisadi Lowasa ili walete fujo!
Hongereni Kamati ya Maadili ya CCM!
Watanzania Lowassa hatokuwa peke yake. Atakuwa na timu nzima ya makamanda nyuma yake. Nchi haitawaliwi na mtu bwana CCM msitudanganye. Kinatawala chama. Viva CHADEMA viva UKAWA!
yangu macho jamaa wamempoteza kweny dira kabisaNgoja ..watakapostuka kumekucha ndo wataanza kutafuta blanketi lipo wapi...