Lowassa na genge lake Vs gesi yetu!

Watanzania haturudi tena Misri tumeshadhamiria kufanya mabadiliko.Lowassa atosha akiwa rais tutapata katiba mpya ya

wananchi na hapo ndo mwisho wa mambo yote.Maendeleo kwa kwasi ya ajabu
 
Baada ya kujimilikisha Migodi yetu yote ya TanZania na kuwaachia wenyeji mashimo sasa fisadi Lowasa na Genge lake wamegeukia Gesi yetu, hii Gesi ndiyo inayowapeleka puta, hizi kelele zote, huku kutafuta Uraisi kwa gharama yoyote ile kwanza kulianzia ndani ya CCM kukashindikana na sasa kumehamia chadema kuna lengo moja tu nalo ni Gesi yetu iliyogunduliwa kwa wingi huko Pwani ya Kusini mwa nchi yetu!

Mafisadi wakiongozwa na Lowasa baada ya Wazalendo wa CCM kuwashtukia na kuwanyima Uraisi sasa wamehamishia nguvu zote upande wa Upinzani dhidi ya Chama Dola rejea watu walio kwenye Genge la Fisadi Lowasa ni Mengi huyu anajulikana kwa ugomvi wake na Waziri Muhongo baada ya kunyimwa kitalu cha Gesi kwa kuwa hakuwa na uwezo wa kukiendeleza, Rostamu Aziz huyu ndiye mwizi mkubwa wa Rasilimali zetu rejea nani anatenda ya Migodi yote ya dhahabu nchini, Karamagi huyu ndiye aliyeuza Migodi yetu hotelini huko nchini Uingereza, Rugemalira huyu ndiyo King maker wa Escrow na saga lote la Richmond n.k

Hivyo kama MtanZania na mpenda nchi yangu naishukuru sana Kamati ya maadili kwa kuliona hilo na kulikata jina la fisadi Lowasa, ikumbukwe kwamba Kamati ya maadili inajumuisha maraisi wetu wastaafu na watu wetu wa Usalama hivyo kuna mambo waliyoyaona ambayo sisi watu wa kawaida hatuna uwezo wa kuyaona ila ni jukumu letu kuwaelimisha Manyumbu ambao wananunuliwa viroba na fisadi Lowasa ili walete fujo!

Hongereni Kamati ya Maadili ya CCM!

Kwa nini mlipitisha haraka misheria ya Gesi hata akidi bungeni haikutimia?Ukawa utafumua hiyo sheria na kuweka mpya inayolinda maslahi ya Watanzania wote siyo kama CCM mlivyojipanga kupiga.
 
Mtasema sana mwaka huu lakini hatusikii mnasema nini. Subirini maumivu october. Bvr imesaidia sana kuongeza wapiga kura. Vijana wengi wamechukua kadi kama vitambulisho lkn imekuwa ni kichinjio sasa
ccm kaeni mkao wa kutoa machozi
 
Lowasa ni fisadi namba moja hafai kwa lolote zaidi ya ufisadi wake tumkatae kwa nguvu zote.
 
Kwani Leo ni tar ngapi maana nimechoshwa kusikia habari za uchaguzi nataman kesho tu mambo yapite ili tufanye mingine
 
Vyovyote vile tofauti ni kwamba Raisi Kikwete siyo mtu binafsi bali ni taasisi hata kama atakuwa amepeleka Gesi yetu Bagamoyo hilo siyo tatizo kwa maana Bagamoyo bado ni TanZania na kama Bagamoyo ikifaidika basi TanZania pia itakuwa imefaidika kwa maana mtu wa Tanga au Kigoma anaweza kwenda Bagamoyo na kupata kazi na isitoshe Raisi Kikwete muda wake umeisha na Raisi mwingine anakuja lkn Gesi yetu inabakia mali yetu tofauti na fisadi Lowasa na Genge lake ambao wanataka kujimilikisha wao pamoja na familia zao na hilo kosa la kuwapa madaraka likifanyika TanZania yetu kama tuijuavyo ndiyo bye bye tena na itachukua vita kubwa kama Kongo kuweza kuipokonya kutoka kwenye hili Genge!
Na ndiyo maana naipongeza sana tume ya maadili ya CCM kwa kuona mbali!



Mkuu usiogope na vitisho vya bodaboda Edward hawi Rais kwani bodaboda hawajui historia ya nchii hii ukimpa full tank lita kumi anakuabudu kumbe unakwenda kumchinja na ndiyo maana wengi wao hata ukimuuliza anatoka kata gani hajui sasa hao ndo mtaji wa edo
 
Tusiache pia kujiuliza Magufuli na gene la nafisadi vs gesi yetu
 
Baada ya kujimilikisha Migodi yetu yote ya TanZania na kuwaachia wenyeji mashimo sasa fisadi Lowasa na Genge lake wamegeukia Gesi yetu, hii Gesi ndiyo inayowapeleka puta, hizi kelele zote, huku kutafuta Uraisi kwa gharama yoyote ile kwanza kulianzia ndani ya CCM kukashindikana na sasa kumehamia chadema kuna lengo moja tu nalo ni Gesi yetu iliyogunduliwa kwa wingi huko Pwani ya Kusini mwa nchi yetu!

Mafisadi wakiongozwa na Lowasa baada ya Wazalendo wa CCM kuwashtukia na kuwanyima Uraisi sasa wamehamishia nguvu zote upande wa Upinzani dhidi ya Chama Dola rejea watu walio kwenye Genge la Fisadi Lowasa ni Mengi huyu anajulikana kwa ugomvi wake na Waziri Muhongo baada ya kunyimwa kitalu cha Gesi kwa kuwa hakuwa na uwezo wa kukiendeleza, Rostamu Aziz huyu ndiye mwizi mkubwa wa Rasilimali zetu rejea nani anatenda ya Migodi yote ya dhahabu nchini, Karamagi huyu ndiye aliyeuza Migodi yetu hotelini huko nchini Uingereza, Rugemalira huyu ndiyo King maker wa Escrow na saga lote la Richmond n.k

Hivyo kama MtanZania na mpenda nchi yangu naishukuru sana Kamati ya maadili kwa kuliona hilo na kulikata jina la fisadi Lowasa, ikumbukwe kwamba Kamati ya maadili inajumuisha maraisi wetu wastaafu na watu wetu wa Usalama hivyo kuna mambo waliyoyaona ambayo sisi watu wa kawaida hatuna uwezo wa kuyaona ila ni jukumu letu kuwaelimisha Manyumbu ambao wananunuliwa viroba na fisadi Lowasa ili walete fujo!

Hongereni Kamati ya Maadili ya CCM!
CCM mmefanyia nini dhahabu, tanzanite, almasi, vivutio vya utalii na kadhalika tangu tupate uhuru? Tukiwapa na gesi yetu si mtapasuka matumbo?
 
CCM mmefanyia nini dhahabu, tanzanite, almasi, vivutio vya utalii na kadhalika tangu tupate uhuru? Tukiwapa na gesi yetu si mtapasuka matumbo?

Hayo Maswali muulize Fisadi Lowasa na Genge lake, Madini yetu yako wapi?
 
Watanzania Lowassa hatokuwa peke yake. Atakuwa na timu nzima ya makamanda nyuma yake. Nchi haitawaliwi na mtu bwana CCM msitudanganye. Kinatawala chama. Viva CHADEMA viva UKAWA!
 
Watanzania Lowassa hatokuwa peke yake. Atakuwa na timu nzima ya makamanda nyuma yake. Nchi haitawaliwi na mtu bwana CCM msitudanganye. Kinatawala chama. Viva CHADEMA viva UKAWA!

Kama tu kwenye kumchukuwa fisadi Lowasa chadema haikuheshimu hata Katiba yake yenyewe iliyojiwekea iweje wakishika Dola?
Nchi haifanyiwi majaribio hata siku Moja, kama mnataka Majaribio fanyeni kwenye udiwani!



 
Back
Top Bottom