amefanya nini kuhusu elimu jimboni kwake ?
Kama huwajui Wamasai swali lako nitakujibu. lkn kama unajua kwamba shule zilifika kila kata swali lako halina maana. kuhimiza elimu ni jambo moja na mtu binafsi kuamua kusoma ni jambo jingine. labda ulitaka aende nyumba kwa nyumba umasaini ili kujua nani hajakwenda shule? Alichofanya yeye ni kujenga shule, walimu wapo au hawapo ni jambo jingine.