Lowassa na falsafa ya maji kwenye pakacha

Lowassa na falsafa ya maji kwenye pakacha

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Mwanasiasa Edward N. Lowassa ni mwanaCCM mwenzangu hasa. Lakini,hanizuii kusema ukweli juu yake. Natambua nia yake ya kutaka Urais wa nchi hii.Natambua tafiti mbalimbali zinazombeba Lowassa kama Mgombea mtarajiwa wa Urais ndani na nje ya CCM. Natambua hamu na shauku aliyonayo Lowassa kuongoza Tanzania. Kama Rais.

Amekuwa akijipambanua kama mtu wa maamuzi magumu. Na kama mwenye kipaumbele cha elimu. Chapuo zake zote zimejikita huko. Lakini,Lowassa si mgombea sahihi kwa CCM na watanzania. Ni kutokana na falsafa ya maji kwenye pakacha. Hata yajae namna gani,baada ya muda huisha yote na pakacha kubaki tupu.

Tatizo lililopo nchini kwasasa ni ufisadi na uwepo wa mafisadi. Pamoja na uwepo wa rasilimali na nguvu kazi (maji), ufisadi (pakacha) hukwamisha. Lowassa hajawahi,imaneno na kivitendo,kukemea pakacha hili. Ima kwa bahati mbaya au makusudi,Lowassa amekuwa akikwepa ajenda hii. Anakwepa tatizo kuu. Hana uwezo tuutakao mwakani na kuendelea. Bado hafiti.

Tunataka Rais anayechukia ufisadi na mafisadi kwa maneno na vitendo. Kwakuwa hilo ndilo pakacha linalopoteza maji ya Tanzania yetu. Na hata sura yake ioneshe hivyo. Lowassa kwa hili bado hajajipambanua vyema. Labda tusubiri zaidi.

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Yuko Ujerumani kwa muda sasa kimatibabu, sijui nae anasumbuliwa na nini!
 
Na slogan ya maamuzi magumu sijui kaitoa wapi. Nadhani hiyo madhara yake ni makubwa kuliko hata ANGUKA (Ari mpya Nguvu mpya na Kasi mpya).
 
Point sana hii nmekusoma Lowassa sijawahi kumuona anakemea ufisadi narudia tena suala la ufisadi ambalo ni tatizo kuu katika nchi zinazoendelea hazungumzii so fikiria jenga picha utawala wake utakuwaje
 
Mwanasiasa Edward N. Lowassa ni mwanaCCM mwenzangu hasa. Lakini,hanizuii kusema ukweli juu yake. Natambua nia yake ya kutaka Urais wa nchi hii.Natambua tafiti mbalimbali zinazombeba Lowassa kama Mgombea mtarajiwa wa Urais ndani na nje ya CCM. Natambua hamu na shauku aliyonayo Lowassa kuongoza Tanzania. Kaa Rais.

Amekuwa akijipambanua kama mtu wa maamuzi magumu. Na kama mwenye kipaumbele cha elimu. Chapuo zake zote zimejikita huko. Lakini,Lowassa si mgombea sahihi kwa CCM na watanzania. Ni kutokana na ya maji kwenye pakacha. Hata yajae namna gani,baada ya muda huisha yote na pakacha kubaki tupu.

Tatizo lililopo nchini kwasasa ni ufisadi na uwepo wa mafisadi. Pamoja na uwepo wa rasilimali na nguvu kazi (maji), ufisadi (pakacha) hukwamisha. Lowassa hajawahi,imaneno na kivitendo,kukemea pakacha hili. Ima kwa bahati mbaya au makusudi,Lowassa amekuwa akikwepa ajenda hii. Anakwepa tatizo kuu. Hana uwezo tuutakao mwakani na kuendelea. Bado hafiti.

Tunataka Rais anayechukia ufisadi na mafisadi kwa maneno na vitendo. Kwakuwa hilo ndilo pakacha linalopoteza maji ya Tanzania yetu. Na hata sura yake ioneshe hivyo. Lowassa kwa hili bado hajajipambanua vyema. Labda tusubiri zaidi.

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Watanzania ndiyo wanaomuita Lowasa Jembe na mchapakazi, sasa swali ni kwamba ni kwa nini? Kwa nini wasimuite Pinda hivyo au sijui Sumaye?

Ingia Mtaani popote pale Tz na waulize tu Wananchi wa kawaida kuhusu Lowasa na wengi wao watakwambia ya kwamba jamaa ni Mchapakazi na pia ni fisadi, sasa kuna sababu kwa nini Watz wanamuona hivyo Lowasa, na kama ndivyo basi mimi kwangu ni poa tu na anafaa kama anapiga kazi na nchi inakwenda mbele!
 
point sana hii nmekusoma Lowassa sijawahi kumuona anakemea ufisadi narudia tena suala la ufisadi ambalo ni tatizo kuu katika nchi zinazoendelea hazungumzii so fikiria jenga picha utawala wake utakuwaje



Kwa nini Watz wanamuita Jembe?
 
Mimi neno FISADI nimeanza kulisikia likivuma kwenye mitaa enzi za LOWASSA, ndiyo maana kila anayeandika lolote linalomkataa LOWASSA huwa naungana naye. HAFAI hutu mtu.
 
Watanzania ndiyo wanaomuita Lowasa Jembe na mchapakazi, sasa swali ni kwamba ni kwa nini? Kwa nini wasimuite Pinda hivyo au sijui Sumaye?

Ingia Mtaani popote pale Tz na waulize tu Wananchi wa kawaida kuhusu Lowasa na wengi wao watakwambia ya kwamba jamaa ni Mchapakazi na pia ni fisadi, sasa kuna sababu kwa nini Watz wanamuona hivyo Lowasa, na kama ndivyo basi mimi kwangu ni poa tu na anafaa kama anapiga kazi na nchi inakwenda mbele!
Kinachowuita LOWASSA jembe mtaani siyo watu bali pesa yake ya kifisadi anayomwaga kama njugu, na hili ndilo la kukataa
 
Kwa nini Watz wanamuita Jembe?
1.bongo ukiiba wewe ndo mjanja 2.ukiwa unatoa sana fedha hata bila kujua umetoa wapi na zina lengo gani wewe ndo jembe 3.wanafanya comparison na mkuu anayetawala sasa hivi
 
point sana hii nmekusoma Lowassa sijawahi kumuona anakemea ufisadi narudia tena suala la ufisadi ambalo ni tatizo kuu katika nchi zinazoendelea hazungumzii so fikiria jenga picha utawala wake utakuwaje
Na ndiyo maana linapokuj suala zito kama la ESCROW , huyu jamaa anasepa kwenda nje kutibiwa, anaogopa sana issue zinazohusu ufisadi, laiti angekuwa msafi asingeogopa kabisa kuwepo mjengoni
 
1.bongo ukiiba wewe ndo mjanja 2.ukiwa unatoa sana fedha hata bila kujua umetoa wapi na zina lengo gani wewe ndo jembe 3.wanafanya comparison na mkuu anayetawala sasa hivi
Umeonae, mbaya sana
 
Mtahangaika sana kumchafua Lowasa,... Lowassa ni Jembe la Ukweli aliweza kupambana UFISADI kwa vitendo! Aliweza kuitemelea mbali kampuni ya City water iliyokuwa inaitafuna Taifa kama IPTL! Aliweza kukemea UFISADI wa kujikopesha kwenye mifuko ya hifadhi ya Jamii na matokeo yake fedha za kujenga UDOM na shule za kata zilipatika... LOwassa aliweza sana kukomesha Ufisadi uliokithiri kwenye Halmashauri zetu.... Kazi zote nzuri alizozifanya zimegeuka kazi bure, UFISADI kwenye halmashauri imetamalaki, IKULU inapiga deals kwa kwenda mbele... Sasa hivi Watanzania si wajinga tena!!! Wanajua kuwa Lowassa aliachia Ngazi baada ya kuona Ofisi Kuu inashidaaaa... Leo hii Heshima yake iko Juu, Watanzania tunahitaji huduma yake, utendaji wake na ueledi wake wa kimaendeleo!!!

Mwanasiasa Edward N. Lowassa ni mwanaCCM mwenzangu hasa. Lakini,hanizuii kusema ukweli juu yake. Natambua nia yake ya kutaka Urais wa nchi hii.Natambua tafiti mbalimbali zinazombeba Lowassa kama Mgombea mtarajiwa wa Urais ndani na nje ya CCM. Natambua hamu na shauku aliyonayo Lowassa kuongoza Tanzania. Kaa Rais.

Amekuwa akijipambanua kama mtu wa maamuzi magumu. Na kama mwenye kipaumbele cha elimu. Chapuo zake zote zimejikita huko. Lakini,Lowassa si mgombea sahihi kwa CCM na watanzania. Ni kutokana na ya maji kwenye pakacha. Hata yajae namna gani,baada ya muda huisha yote na pakacha kubaki tupu.

Tatizo lililopo nchini kwasasa ni ufisadi na uwepo wa mafisadi. Pamoja na uwepo wa rasilimali na nguvu kazi (maji), ufisadi (pakacha) hukwamisha. Lowassa hajawahi,imaneno na kivitendo,kukemea pakacha hili. Ima kwa bahati mbaya au makusudi,Lowassa amekuwa akikwepa ajenda hii. Anakwepa tatizo kuu. Hana uwezo tuutakao mwakani na kuendelea. Bado hafiti.

Tunataka Rais anayechukia ufisadi na mafisadi kwa maneno na vitendo. Kwakuwa hilo ndilo pakacha linalopoteza maji ya Tanzania yetu. Na hata sura yake ioneshe hivyo. Lowassa kwa hili bado hajajipambanua vyema. Labda tusubiri zaidi.

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Watanzania ndiyo wanaomuita Lowasa Jembe na mchapakazi, sasa swali ni kwamba ni kwa nini? Kwa nini wasimuite Pinda hivyo au sijui Sumaye?

Ingia Mtaani popote pale Tz na waulize tu Wananchi wa kawaida kuhusu Lowasa na wengi wao watakwambia ya kwamba jamaa ni Mchapakazi na pia ni fisadi, sasa kuna sababu kwa nini Watz wanamuona hivyo Lowasa, na kama ndivyo basi mimi kwangu ni poa tu na anafaa kama anapiga kazi na nchi inakwenda mbele!

Uongo ukisemwa sana mwisho unakubalika. Hakuna chochote alichofanya, kapata wapiga debe wazuri tu.
 
Mwanasiasa Edward N. Lowassa ni mwanaCCM mwenzangu hasa. Lakini,hanizuii kusema ukweli juu yake. Natambua nia yake ya kutaka Urais wa nchi hii.Natambua tafiti mbalimbali zinazombeba Lowassa kama Mgombea mtarajiwa wa Urais ndani na nje ya CCM. Natambua hamu na shauku aliyonayo Lowassa kuongoza Tanzania. Kaa Rais.

Amekuwa akijipambanua kama mtu wa maamuzi magumu. Na kama mwenye kipaumbele cha elimu. Chapuo zake zote zimejikita huko. Lakini,Lowassa si mgombea sahihi kwa CCM na watanzania. Ni kutokana na ya maji kwenye pakacha. Hata yajae namna gani,baada ya muda huisha yote na pakacha kubaki tupu.

Tatizo lililopo nchini kwasasa ni ufisadi na uwepo wa mafisadi. Pamoja na uwepo wa rasilimali na nguvu kazi (maji), ufisadi (pakacha) hukwamisha. Lowassa hajawahi,imaneno na kivitendo,kukemea pakacha hili. Ima kwa bahati mbaya au makusudi,Lowassa amekuwa akikwepa ajenda hii. Anakwepa tatizo kuu. Hana uwezo tuutakao mwakani na kuendelea. Bado hafiti.

Tunataka Rais anayechukia ufisadi na mafisadi kwa maneno na vitendo. Kwakuwa hilo ndilo pakacha linalopoteza maji ya Tanzania yetu. Na hata sura yake ioneshe hivyo. Lowassa kwa hili bado hajajipambanua vyema. Labda tusubiri zaidi.

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Ndo utuambie nani anatufaa kuongoza!,.. Lowassa anawanyima usingizi wafuasi WA joka la mdimu!
 

Swali ni, kwamba ni kwa nini Watanzania wanamuita Jembe?


Watanzania wapi?
Sema wafuasi wajinga wake ndiyo wanamuita Jembe lkn Lowassa ni zero hafai kabisa kwenye uongozi. Hats siku moja hajawahi kemea ufisadi
 
.. Lowassa hajawahi, kimaneno na kivitendo,kukemea pakacha hili. Ima kwa bahati mbaya au makusudi,Lowassa amekuwa akikwepa ajenda hii. Anakwepa tatizo kuu. Hana uwezo tuutakao mwakani na kuendelea. Bado hafiti.

Tunataka Rais anayechukia ufisadi na mafisadi kwa maneno na vitendo. Kwakuwa hilo ndilo pakacha linalopoteza maji ya Tanzania yetu. Na hata sura yake ioneshe hivyo....

Kwa maneno haya, it means CCM imepoteza sifa za kutoa Rais ajaye. Usimkandie Lowassa peke yake. Ndani ya CCM, hakuna ambaye ameweza kukemea ufisadi popote, ukiacha akina Kinana na Nape wanaobwabaja majukwaani wakiwadanganya wakulima dhaifu huko vijijini.
 
Tatizo lililopo nchini kwasasa ni ufisadi na uwepo wa mafisadi. Pamoja na uwepo wa rasilimali na nguvu kazi (maji), ufisadi (pakacha) hukwamisha. Lowassa hajawahi,imaneno na kivitendo,kukemea pakacha hili. Ima kwa bahati mbaya au makusudi,Lowassa amekuwa akikwepa ajenda hii. Anakwepa tatizo kuu. Hana uwezo tuutakao mwakani na kuendelea. Bado hafiti.

Tunataka Rais anayechukia ufisadi na mafisadi kwa maneno na vitendo. Kwakuwa hilo ndilo pakacha linalopoteza maji ya Tanzania yetu. Na hata sura yake ioneshe hivyo. Lowassa kwa hili bado hajajipambanua vyema. Labda tusubiri zaidi.

H
ayo ni maoni yako na una uhuru wa kusema unachoona kinafaa,but the fact is the guy is the right candidate,unachotakiwa kujua ni kwamba hayuko kwenye system kwa sasa hivi na hawezi kukemea kitu chochote yeye ni mbunge wa kawaida kabisa,so naomba hii argument yako uje nayo one year baada ya mzee kuingia IKULU then utuulize hapa tutakuwa na majibu ya kutosha,lakini kwa sasa inabaki ni nadharia tu
 
Mwanasiasa Edward N. Lowassa ni mwanaCCM mwenzangu hasa. Lakini,hanizuii kusema ukweli juu yake. Natambua nia yake ya kutaka Urais wa nchi hii.Natambua tafiti mbalimbali zinazombeba Lowassa kama Mgombea mtarajiwa wa Urais ndani na nje ya CCM. Natambua hamu na shauku aliyonayo Lowassa kuongoza Tanzania. Kama Rais.

Amekuwa akijipambanua kama mtu wa maamuzi magumu. Na kama mwenye kipaumbele cha elimu. Chapuo zake zote zimejikita huko. Lakini,Lowassa si mgombea sahihi kwa CCM na watanzania. Ni kutokana na falsafa ya maji kwenye pakacha. Hata yajae namna gani,baada ya muda huisha yote na pakacha kubaki tupu.

Tatizo lililopo nchini kwasasa ni ufisadi na uwepo wa mafisadi. Pamoja na uwepo wa rasilimali na nguvu kazi (maji), ufisadi (pakacha) hukwamisha. Lowassa hajawahi,imaneno na kivitendo,kukemea pakacha hili. Ima kwa bahati mbaya au makusudi,Lowassa amekuwa akikwepa ajenda hii. Anakwepa tatizo kuu. Hana uwezo tuutakao mwakani na kuendelea. Bado hafiti.

Tunataka Rais anayechukia ufisadi na mafisadi kwa maneno na vitendo. Kwakuwa hilo ndilo pakacha linalopoteza maji ya Tanzania yetu. Na hata sura yake ioneshe hivyo. Lowassa kwa hili bado hajajipambanua vyema. Labda tusubiri zaidi.

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

ninagundua unaendeshwa kwa hisia na unamapungufu ya kumjua lowassa...
 
Back
Top Bottom