Lowassa Live ITV akipiga Kura Monduli

Lowassa Live ITV akipiga Kura Monduli

amilyroley

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
621
Reaction score
1,200
Spencer Lameck yupo live kutoka Monduli.

Foleni ni kubwa na amesema anasubiriwa Lowassa atakuja kupiga kura kituoni hapo.

Yupo live muda huu.

Updates 1..

Tayari Lowassa ameshapiga kura akiambatana na mama Regina na amehojiwa na vituo mbali mbali vya habari ikiwemo mwandishi wa Al Jazeera International ambapo Lowasaa ameyajibu maswali yote kwa kiingereza safi kabisa kwa hali ya juu kabisa

Updates 2..

Lowasa akihojiwa ameulizwa yupo tayari kukubali matokeo? Amejibu kuwa kama uchaguzi utakuwa huru na wa haki atakubali matokeo na kama hautakuwa huru na wa haki basi hatakubali matokeo kamwe.

Updates 3..

Mama Lowassa anasema kuwa ana uhakika kabisa mume wake ataibuka mshindi. Ameyasema hayo akihojiwa live na Spencer Lameck wa ITV

 
Last edited by a moderator:
Nishamaliza kumtwanga Lowasa hapa....ninemnyoooshaaa,akachunge tu
 
Lowassa ameenda kuchunga ng'ombe kama alivyoiambia BBC! Hawezi kurudi tena Dar, hiyo ni bye bye!
 
We unajua ni nani?

Yaani hata Aljazeera wanafatilia zaidi habari za Lowassa! Yaani leo asubuhi wameonyesha kidogo Magufuli akiwa barabarani lakini wakabakia kwenye nyomi ya jangwani jana! Intrest ya internation inaonekana Lowassa
 
Nimefanya yangu,Nimemuingiza Lowassa ikulu!
 
Kama inavyosisitizwa na watu mbalimbali kuchagua mgombea mcha MUNGU. Leo Lowassa kaanza kwanza kwenda kusali kanisani na sasa yuko kituoni na mkewe kwa ajili ya kupiga kura
 
Back
Top Bottom