BUBE
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 846
- 253
Naomba kufahamishwa KIZAZI KIPYA NDANI YA CCM KIKOJE?
MBELE YA UVCCM YA SASA INAYOPIGANIA SURA MPYA YA UADILIFU WA KIUONGOZI CCM:
LOWASSA NA RIDHIWANI KIKWETE HUENDA WAKAANGUKIA
PUA MIPANGO YAO DODOMA
Hiyo ni mapambano kati ya CCM-Ufisadi (Lowassa) na CCM-Bongo Flava (Malisa) ambao ndio kwanza wanajinga kiringeni wakiwa na matumaini mapya mbele na wala wasingependa kuona wenye Gundu ka Rostam Aziz wakiwatia masizi kwa na namna yoyote ile.
Vita hivyo ni vya kwao wala haituhusu kitu ila sitoshangaa sana sehemu ya UVCCM ama waki-MAGUFULI barua zao za kujiuzulu au kuamua, sawa na mmbwa koko akibanwa ukutani, kumrudi Lowassa na Azizi kwa nguvu zote kuhakikisha jamaa hao hawakiui cha chao.
Lowassa angalia heshima ya mvi, vita na vijana usije ukaangukia pua; fedha hasa za wizi ulizonazo kamwe haziwezi kununua vijana wote Tanzania wakufuate.
Tunazo taarifa unavyokusudia kutumwagia vija hela ya kufa mtu tangu hapo 2014 na kuendele: pochi tutavuta kwa sana maana ni mali zetu na wewe utabaki solemba vile vile tangu ndani ya chama chako.
Kweli naomba sana Lowassa afaulu kuwa mgombe urais wa CCM ili kazi iwe nyepesi zaidi kwa CHADEMA!!!
Mkutano mwema Beno Malisa na kizazi kipya cha CCM!!