akashube
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 401
- 23
Kuna habari za chini ya zulia kuwa lowasa anatarajiwa kugombea uspika dhidi ya sitta. Kama hii itakuwa kweli basi kazi ipo maana ana nguvu pale bungeni
Mkuu kuna habari kutoka utatani kuwa Lowasa anataka kugombea Urais. Kuna mbinu wanataka kuitumia kumbwaga JK ambayo watanzania wote tutabaki midomo wazi.
Ndiyo maana unaona JK kawatonya TAKUKURU wajiandae.......wajiandae na ............
Kwa ruhusa yako mkuu tutamwaga data hapa za namna fedha, vyama vya siasa na hujuma zinavyopangwa kuhakikisha Lowasa anaukwaa urais. Kumbuka tu huyu mtu alipingwa na Hayati baba wa Taifa lakini bado akaja kuwa waziri mkuu na wabongo wenzangu wengi tu mkapiga makofi sana siku ya uteuzi wake.
Pia kuwadokezea tu, kuna redio mbao imewahi kuripoti kuwa JK amewahi kutia sahihi MOU(memorundum of understanding) na wanamtandao, kuwa JK angeongoza miaka mitano tu, kisha angemwachia mmasai wa kichina........sasa kimbembe kinaanzia hapa.......pesa ya mganga.....................?????!!!!~~~>>