Jongwe2
Member
- Sep 8, 2015
- 96
- 26
Kuna habari za ndani ya CHADEMA kuwa Edward Lowassa atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA na Fredrick Sumaye atakuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho.
Mtoa habari hizo nyeti ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu amesema makubaliano hayo yamefikia hatua za mwisho kabla ya kupelekwa kwa wajumbe wengine.
Wachunguzi wa mambo wanaona ni mkakati wa CHADEMA kujiandaa na uchaguzi wa 2020.
Mtoa habari hizo nyeti ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu amesema makubaliano hayo yamefikia hatua za mwisho kabla ya kupelekwa kwa wajumbe wengine.
Wachunguzi wa mambo wanaona ni mkakati wa CHADEMA kujiandaa na uchaguzi wa 2020.