funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,535
- 31,199
lowassa amewashika pabaya wanachama wa vyama viwili hasimu nchini.
Moja
kwa ccm huyu jamaa amewekeza kwa wajumbe wengi iki wampitishe kugombea urais,kamati kuu ikimtosa basi ccm itakuwa vipande vipande.hili ni tishio dhahiri.Nadhani kamati kuu inaogopa kumpitisha kwani chadema yaweza kutumia kampeni dhidi ya ufisadi kumuangusha mwaka 2015.
Pia kambi za sitta,mwakyembe na membe zitachukia na kukimega chama hapo 2015.
Pili
kwa upande wa chadema mheshimiwa huyu amewahakikishia kuwa akitoswa na kk ya ccm basi ataingia chadema na washirika wake kutoka ccm na hivyo kuihakikishia chadema ushindi 2015,tujikumbushe ile kauli ya 'upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm'
Kimsingi chadema kama kilivyo vyama vyote vya siasa kina lengo la kushika madaraka kwa njia yoyote ile halali au hata ikibidi iwe haramu.kuungwa mkono na mtu mwenye nguvu ndani ya ccm ni karata muhimu sana katika kushika dola.
Anachokifanya lowassa kwa sasa ni vitu viwili...
Kuitishia ccm kwamba 'msinipopitisha nitahama chadema'
Pia kuwahaidi wanachadema kuwa ccm wakimtosa basi atagombea na kuiingiza chadema madarakani,ataserve kipindi chake na kuwaachia dola!
Hii karata ya lowassa nailinganisha na kuua ndege wawili kwa jiwe moja.
Mods tuache tujadili hii siasa !
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Moja
kwa ccm huyu jamaa amewekeza kwa wajumbe wengi iki wampitishe kugombea urais,kamati kuu ikimtosa basi ccm itakuwa vipande vipande.hili ni tishio dhahiri.Nadhani kamati kuu inaogopa kumpitisha kwani chadema yaweza kutumia kampeni dhidi ya ufisadi kumuangusha mwaka 2015.
Pia kambi za sitta,mwakyembe na membe zitachukia na kukimega chama hapo 2015.
Pili
kwa upande wa chadema mheshimiwa huyu amewahakikishia kuwa akitoswa na kk ya ccm basi ataingia chadema na washirika wake kutoka ccm na hivyo kuihakikishia chadema ushindi 2015,tujikumbushe ile kauli ya 'upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm'
Kimsingi chadema kama kilivyo vyama vyote vya siasa kina lengo la kushika madaraka kwa njia yoyote ile halali au hata ikibidi iwe haramu.kuungwa mkono na mtu mwenye nguvu ndani ya ccm ni karata muhimu sana katika kushika dola.
Anachokifanya lowassa kwa sasa ni vitu viwili...
Kuitishia ccm kwamba 'msinipopitisha nitahama chadema'
Pia kuwahaidi wanachadema kuwa ccm wakimtosa basi atagombea na kuiingiza chadema madarakani,ataserve kipindi chake na kuwaachia dola!
Hii karata ya lowassa nailinganisha na kuua ndege wawili kwa jiwe moja.
Mods tuache tujadili hii siasa !
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!