Lowassa kutikisa Dar Jumapili hii

Status
Not open for further replies.
Future P. Mpk kieleweke mwanzo mwisho. Tuko pamoja

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
angalia kama utapata shule hata ya evening classes ufundishwa namna ya kuandika unatupa shida sana ya kukuelewa
 

Oyaaaa! Atakuwa mtaa gani katika jiji? Mimi napendekeza atakapotokea akute tumeandaa mdundiko na maShangingi wengi sana wanaoimba: " Halifichiki eeeeeeee halifichiki! Halifichiki pembe ra ng'ombe halifichiki!" Ni wimbo alioupenda sana Mheshimiwa wetu huyu wakati akiwa Waziri Mkuu.
 
lowasa ndio habari ya mjini...majoka ya midimu na kna sta wazee wa CCJ TUPA KULEEEEEE...LOWASA NDIYE TUMAINI LILILOBAKI KWA WATANZANIA WENGNE NJAAAA KALI..MCHAPA KAZ WA UKWELO NI LOWASA NCHI HII OLE WENI CCM MSPOMPTSHA KUA MGOMBEA URAIS 2015 NDIO MWSHO WA CCM cz 99% ya wana ccm wanamkubali lowasa na atahama nao
 
Lowassa for President! Viva Tanzania viva, vivaaaa!
 
angalia kama utapata shule hata ya evening classes ufundishwa namna ya kuandika unatupa shida sana ya kukuelewa

we hyo shule ulio soma imekusaidia nn,zaid ya hyo gongo unayokunywa kule ufipa,acha upuuz wako!!xiyo kila kichaka kinafaa kuweka kinyesi,vingne vina miiba
 

huyu jamaa hata mimi namkubaliaga hapohapo,huwa hana siasa za kumtukana mtu,anapiga siasa za kigreat thinker za kudiscuss ishu sio watu na vyama
 
go lowasa go , watanzania ndio wataamua
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…