Lowassa kustaafu siasa

Status
Not open for further replies.

Atahangaika sana huyu mzee CCM haiwezi kumpokea mtu mchafu mwenye kashfa za kifisadi abaki huko huko kwenye pango la SACCOS yao ccm ni kazi tu
 
Vijana wa IT ofisi za upanga posho zinawalevya.hata mkipakaza vipi rais ni lowasa tu.tumechoka kusikia tuhuma isiyokua na ushahidi.ili kubalance hebu zungumzieni kashfa nyingine kama escrow,uuzwaji kiholela majumba ya serikali,ununuzi wa meli mbovu za mwendo wa kobe n.k. ukawa oyeee!
 
Mnafanya mchezo sana, hivi kwa post hizi mnategemea Nape awalipe kabisa? Tengenezeni propaganda za kueleweka bana, hizi ni nyepesi sana
 
Nasiki alitumwa na CCM kuhudhoofisha upinzani,kama hatashinda uchaguzi huu basi na upinzani utakuwa umeisha tz.
 
mpango mzima ni kuipa likizo ccm bila malipo kama wanavyowafanya wafanyakazi ili wajifunze kuwa kukosa pesa kuna athari gani katika familia,leo hii wao wanapelekana nje kama hawana akili nzuri sababu ya unyanyaji wa haki za wananchi,wakae pembeni kama ukawa ni wagonjwa wao ccm watwambie vyeti vyao vya uzima viko wapi.
 
Hivi kwa akili yako unadhani Lowasa anaweza kuwa na chochote kichwani mwake kuendesha siasa ukiacha masuala ya ufisadi ambayo ndiyo Taluma yake ya kusomea?

Taaluma ya ufisadi? Lazima utakuwa umeutwika kama sio konyagi mwitu basi sigara pori!
 
Atabaki kuwa mfadhili wa chama na kusubiri awamu nyingine ya Urais endapo ataanguka.
 


Bado mahakama itachukua mkondo wake.
 
Anasubiri nini si afanye hivyo kwanza atakuwa ametufanyia favor yenye tija more than 45 millioni of us; kuliko kuendelea unafiki wake.
 
Hivi kwa akili yako unadhani Lowasa anaweza kuwa na chochote kichwani mwake kuendesha siasa ukiacha masuala ya ufisadi ambayo ndiyo Taluma yake ya kusomea?

Kama hana kitu chochote kichwani na anawapeleka watu mchakamchaka kiasi cha kukosa usingizi basi hao watu siwezi kueleza wana nini kichwani.

Huo ufisadi kama ameuendesha kwenye serikali na bado yuko huru, hiyo serikali ina kazi gani kama na yenyewe sio ya mafisadi?
 
kubaki ndani ya chadema baada ya uchaguzi mkuu ni jambo lisilowezekana hata kidogo, na huo wadhifa anaoutaka ndani ya CDM sijui atapewa na nani wakati kile chama ni cha kifamilia. Ataliwa kama muwa, akiisha utamu anatupwa kulee
 

Mzee kachoka yule bora tu apumzikee
 

Ccm itadumu milele
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…