keynessian
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 591
- 422
Lowasa anaomba kujitwisha mzigo mkubwa mno na akishinda atalazimika kutekeleza maana ataandamwa sana tofauti na CCM tuliowazoea
Kutangaziwa neema kama hizo ugumu wa maisha tutaendelea kuulea sis kwa kutaa kumpa nafasi.
Namwombea sana ashinde tuone ukweli WanaCCM walikuwa wanajimegea wenyewe tu au ni kweli haiwezekani?
Anatafuta kiki tu?we kwa akil yako inawezekana,na wale waliolipa je?wale waliojisomesha wenyewe nao atawarudishia hela?Hivi ukiwa mbona miakili yenu imelalalala kama jamaaa