hiyo haiwezekani hao walokatwa tayari atawarudishia ili awe fair??
hata nchi zilizoendelea wanafunzi wooote wanapata mikopo bila kujali anasoma nini ila kulipa lazima na hamna kukwepa sembuse hapa huyu mzee anaona watanzania wajinga sana atoe basi ahadi zinazofanya mtu mwenye akili timamu aamini