Lowassa kuhutubia saa 3 usiku huu ITV

Kama sikosei mchana nilisikia kuwa pia hotuba yake tutaipata mtandaoni. Haki ya nani huyu ndio kiongozi wa kizazi kipya, sio wale wanaoona kupanda jukwaani na kukata mauno ndio sera.
Nipo hapa na glass yangu ya wine nasikiliza bila chenga kutoka kiongozi wa kidigitali.
 
Tetesi ni kweli sasa yuko Live anahutubia kwasababu hakusoma pale jangwani kutokana na muda.

Fuatilia.

Kikwete na mkapa wote wanasoma.
Ni lazima asome kwa vile hiyo ni Sera ya ukawa sio ajenda zake.
 
huyu jamaa ni hatari sana kweli naamini alikuwa master mind wa kura 80% ilikuwa akili yake sasa watu wametulia wanamsikiliza kwa makini c pale jangwan ilikuwa makelele 2 sasa watu wote wapo hm wanamtazama na kumsikiliza kwenye radio dah huyu si think tank bali ni great of the greatest thinker
 
Daah!! Hii style mpya kutoka wapi mkuu tujuze maana hata huko Marekani na Ulaya tunaona wagombea urais wanatangaza sera zao kwenye mikutano kwenye tv mara nyingi ni midahalo.
 
Lowassa anapoteza muda wa kulala, sisi tulishamuelewa hata bila sera na hutuba kura zetu anapata.

Sihitaji sera mimi kumchagua Lowassa, nimeichoka ccm kwa hiyo sitaki sera nataka atakaeitoa ccm tu maana kama ni sera ccm wamezisoma kwa miaka 54 na hakuna chochote.

Angepumzika tu mzee wa watu alale kura zetu kwake zipo, Lowassa tumekupenda bure,hatujakupendea hotuba wala sera. Sera hata akiwa anakupa mkeo unaongoza nchi haina shida sisi tutaridhika tu, hatuna shida na sera, tunatak uitoe kwanza ccm.

Lowassa we dearly love you from deepest parts of our hearts. Huna haja ya kusema chochote mheshimiwa.
 
kitendawili atakuwa amekaa au amesimama?


Njoo uone mwenyewe! hebu muogopeni aliyewaumba ipo siku hii thamani ya afya tutaikumbuka pindi itakapoondoka
 
Yupo anau2bia waendelee kusema waltaka aongeze muda jamaa anaongea vzur anatoa sera mzur
 
Huu ni utapeli wa kisiasa..kwanza hotuba na ilani siioni kwenye website ya chama, thn hii ni recorded sio live....daaah sikutegemea hili.
 
Lowassa anapoteza muda wa kulala, sisi tulishamuelewa hata bila sera na hutuba kura zetu anapata.

Sihitaji sera mimi kumchagua Lowassa, nimeichoka ccm kwa hiyo sitaki sera nataka atakaeitoa ccm tu maana kama ni sera ccm wamezisoma kwa miaka 54 na hakuna chochote.

Angepumzika tu mzee wa watu alale kura zetu kwake zipo, Lowassa tumekupenda bure,hatujakupendea hotuba wala sera. Sera hata akiwa anakupa mkeo unaongoza nchi haina shida sisi tutaridhika tu, hatuna shida na sera, tunatak uitoe kwanza ccm.

Lowassa we dearly love you from deepest parts of our hearts. Huna haja ya kusema chochote mheshimiwa.
 
Daah!! Hii style mpya kutoka wapi mkuu tujuze maana hata huko Marekani na Ulaya tunaona wagombea urais wanatangaza sera zao kwenye mikutano kwenye tv mara nyingi ni midahalo.

Kwa hapa tanzania vp?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…