nyinyi watanzania mna laana, na hamuendi popote, Lowassa hajawahi kuiba hata Pipi, alikuwa kiongozi pekee mkali kwelikweli na hana huruma wa uoga kwa vitambi au vigogo, bila kiongozi kama huyu hamna maendeleo africa hasa Tanzania, viongozi wetu asubuhi badala ya kuwa na tumbojoto ya majukumu yetu, wana tumbojoto baada ya kuvimbiwa chai heavy, na mda si mrefu lunch babkubwa na ....
Lowassa asiwekeze kwenye Media? awekeze mkenya au mhindi ndio mtafurahi? au mnapenda kuangalia CNN ya bwana R. Madorck? au mnapenda tuendelee kubembelezewa ujinga na mambo kidini yaliyopitwa na wakati na hako ka TBC ambocho kinasababisha watanzania wengi kupenda kuangalia channel za kigeni? haya tv hamtaki, akilima? akijenga? akiendelea na siasa na hatimae kuwa rais na mnajua atashinda tu akiamua? au auwawe ili asisahaulike kama kaka yake na jirani yake aliyemwachia kiti cha ubunge Monduli? angekuwa si msafi jimboni kwake yangetokea haya maajabu ya Loliondo? poleni watanzania, kama vipi wapeni wazenji nafasi japo wajaribu bila umbea wenu, wao walimpenda sana Lowassa, na alikuwa akiwatembelea kila miezi kadhaa, naona Pinda hatii mguu Zenji? sijui anaogopa popobawa?
nyinyi watanzania mna laana, na hamuendi popote, Lowassa hajawahi kuiba hata Pipi, alikuwa kiongozi pekee mkali kwelikweli na hana huruma wa uoga kwa vitambi au vigogo, bila kiongozi kama huyu hamna maendeleo africa hasa Tanzania, viongozi wetu asubuhi badala ya kuwa na tumbojoto ya majukumu yetu, wana tumbojoto baada ya kuvimbiwa chai heavy, na mda si mrefu lunch babkubwa na ....
Lowassa asiwekeze kwenye Media? awekeze mkenya au mhindi ndio mtafurahi? au mnapenda kuangalia CNN ya bwana R. Madorck? au mnapenda tuendelee kubembelezewa ujinga na mambo kidini yaliyopitwa na wakati na hako ka TBC ambocho kinasababisha watanzania wengi kupenda kuangalia channel za kigeni? haya tv hamtaki, akilima? akijenga? akiendelea na siasa na hatimae kuwa rais na mnajua atashinda tu akiamua? au auwawe ili asisahaulike kama kaka yake na jirani yake aliyemwachia kiti cha ubunge Monduli? angekuwa si msafi jimboni kwake yangetokea haya maajabu ya Loliondo? poleni watanzania, kama vipi wapeni wazenji nafasi japo wajaribu bila umbea wenu, wao walimpenda sana Lowassa, na alikuwa akiwatembelea kila miezi kadhaa, naona Pinda hatii mguu Zenji? sijui anaogopa popobawa?
Source:
Daily News, Friday, 24th October 2008, Page 22.
Public Notice
Application for Content Services Licences (Broadcasting Licences) to TCRA.
Name of Station:
ABC Television
P.O. Box 11843
Arusha
Shareholders:
Robert Francis Lowassa (Tanzanian) - 60%
Elias Stephen Kordun Lukumay - 40%
Who is Robert Francis Lowassa and Elias Lukumay?
Source: www.parliament.go.tz/Polis/PAMS/Docs/HS-4-44-2006.pdf
BUNGE LA TANZANIASPIKA: Sina shaka mtakubaliana nami Waheshimiwa Wabunge kwamba, hiyo ni hoja kabambe ya kuahirisha Bunge. Kabla sijawahoji, kuna matangazo mafupi yafuatayo:-
________
MAJADILIANO YA BUNGE
________
MKUTANO WA NNE
Kikao cha Arobaini na Nne Tarehe 16 Agosti, 2006
(Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi)
. . . . . .
Napenda tutambue kuwepo kwa familia ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mama Regina Lowassa, Bwana Fred Lowassa, Bwana Robert Lowassa na Master, kwa hiyo, huyu ndiyo mdogo mdogo tu Richard Lowassa. Wale ambao mmeshiriki vizuri kwenye Bunge na mnahudhuria mara kwa mara, mtakumbuka kwamba, Richard si mgeni sana, hapa kwa sababu mara kwa mara tunaonana naye pale nje, sielewi Mwenyezi Mungu, mambo haya sijui yanakuwaje? Hatujui hatma ya Richard, lakini Mungu aendelee kumsaidia inaelekea anapenda sana Bunge. Pia marafiki zao Bwana John Bakilana na Bwana Elias Lukumai. Karibuni sana na ahsante kwa ushiriki wenu.
. . . . . .[/B][/COLOR][/SIZE][/FONT]
Pesa za kuanzisha TV amechangiwa na RAFIKI zake.Now kwenye hoja:
Kama mtu ameamua kuanzisha biashara yake nihaki yake kwa kadiri ya kwamba biashara hiyo imeanzishwa kihalali na fedha zilizotumika ni za halali. Hadi hivi sasa sijaona madai kuwa hawa jamaa wametumia kwa namna yoyote fedha za serikali au nafasi ya kisiasa ya Lowassa kujipatia leseni hiyo au mtaji wa biashara yao.
Lakini vile vile, hatuwahukumu watoto moja kwa moja kwa makosa ya wazazi wao isipokuwa kama watoto hao wanatumika na wazazi wao kuficha madhambi yao. So, kwenye hili mimi sijui hawa jamaa wanabiashara gani nyingine ya kuweza kuwapatia kipato cha kuweza kuanzisha televisheni. Kama uwezo huo wanao kibiashara basi ni haki yao kama mtanzania yeyote mwenye uwezo, kipaji na nia ya kutumia uwezo huo kujipatia mlo wa kila siku.
Vinginevyo, endapo kuna tetesi zenye kuashiria kuwa fedha hazikupatikana kihalali, utaratibu wa leseni haukufuatwa au sheria zimepindwa au kuvunjwa katika mchakato mzima basi vidokezwe. Vinginevyo, ABC kama zilivyo shughuli nyingine itapimwa kwa matunda yake, na tutaipima kwa kadiri inavyotumika aidha katika kupinga ufisadi, kutetea utawala bora na utawala wa sheria au kama itatumika kinyume na hayo. Hapo ndipo hukumu ya wananchi inapaswa kutolewa.
Kwa sasa nawapa asilimia 100!