EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Habari za kuaminika kutoka kwa mmoja wa watu walio karibu na Lowassa zimedai kuwa Mbunge huyo wa Monduli, wiki ijayo ataanza rasmi kumpigia kampeni za nguvu mgombea waChama cha Mapinduzi (CCM), Sioi Sumari, mara baada ya kurudi kutoka Ifaraka atakakohudhuria sherehe za kumsimika rasmi askofu wa jimbo jipya la Ifaraka la kanisa Katoliki, Salitarus Libena, Machi 19, mwaka huu.
Imedaiwa kuwa Lowassa ataendesha kampeni akipita kila kata za jimbo la Arumeru Mashariki,katika kile kilichoelezwa ni kuhakikisha kuwa mgombea huyo wa CCM ambaye ameoa mtoto wa mbunge huyo, Pamela Lowassa, anashinda katika uchaguzi huo.
MY TAKE Aangalie asiropoke kama Mkapa.
Imedaiwa kuwa Lowassa ataendesha kampeni akipita kila kata za jimbo la Arumeru Mashariki,katika kile kilichoelezwa ni kuhakikisha kuwa mgombea huyo wa CCM ambaye ameoa mtoto wa mbunge huyo, Pamela Lowassa, anashinda katika uchaguzi huo.
MY TAKE Aangalie asiropoke kama Mkapa.