Lowassa kuanza kampeni wiki ijayo

Lowassa kuanza kampeni wiki ijayo

Sidhani kama Lowassa ataudhuria kusimikwa kwa askofu Ifakara,maana kanisa limekataa watu kama hao kualikwa kwenye shughuli kama hzo,ni tamko kutoka kwa askofu fulani jina nimelisahau ila tamko lilitolewa last week!labda Lowassa ajipeleke!
 
Kitu ambacho kinanifurahisha Lowassa ana watu wake kila chama cha siasa, ukienda CDM kuna kundi lake ukienda CUF ndiyo usiseme, ukienda NCCR Mageuzi ana kundi lake mtu kama huyu kupambana nae ni kazi.
Mkuu hebu thibitisha kauli yako
 
Kwa heshima alizonazo ni aibu kwake kujitokeza wazi kutetea dushelele la mwanae
 
kama wameru ni waroho wa pesa za kifisadi basi kauli yako ina ukweli maana EL ni sabuni ya roho ya pesa za kifisadi,
[/QUOTE

du fedha hatuziachi kabisa tutazila kabla za Matlda kwa sababu ni pesa za Taifa letu lakini kura kwa huyo mkwe wake hasahau ka
bisa
 
Wewe nawe mnafiki kweli unaiponda CcM lakn wakati huo huo unamshabikia huyu FISADI wa kimataifa
Huyo dogo huoni watu wanampotezea siku hizi,yeye hayuko chama chochote bali anasukumwa na udini,anataka rais awe mlutheri mwenzake kutoka chama chochote kile we hujamuelewa tu
 
Kwa heshima alizonazo ni aibu kwake kujitokeza wazi kutetea dushelele la mwanae

siasa za majimboni ndio size yake kwa sasa akapigwe na vumbi huko na hizo homa zake za vipindi,pia chadema ndio size ya lowassa sio ccm yote ishindane na chadema,lowassa anawatosha,tumemtuma muhangaike nae ili alipe kisasi cha arusha mjini mlichomtenda.
 
siasa za majimboni ndio size yake kwa sasa akapigwe na vumbi huko na hizo homa zake za vipindi,pia chadema ndio size ya lowassa sio ccm yote ishindane na chadema,lowassa anawatosha,tumemtuma muhangaike nae ili alipe kisasi cha arusha mjini mlichomtenda.
Naona taratibu umeanza kumsujudia Lowassa. Ukweli mchungu ila itabidi uumeze hivyohivyo.
 
Huyo dogo huoni watu wanampotezea siku hizi,yeye hayuko chama chochote bali anasukumwa na udini,anataka rais awe mlutheri mwenzake kutoka chama chochote kile we hujamuelewa tu
Kahawa na halua zinakusubiri!
 
Mbona NEC wanampango wa kumfuta Siyoi wiki ijayo mapema? ... i think..

Ukisema NEC, umeisema CCM. Haiwezekani CCM kumfuta mgombea wake waliyemchagua kwa zaidi ya 220 mil. Itakuwa tetesi, au 1 april inakaribia. Tena ni jana tu magazeti yameripoti kuwa PINGAMIZI LA CDM latupwa
 
Mtabaki na hiyo mentality kuwa Lowasa ni fisadi..
Wameru wanamkubali Lowassa. He is their hero!

Their hero? hw? huyu si alikua mmeru akabadilisha kabila na kuwa mmasai? ni hero wa kimasai, laigwanan tena, tena wameru wanapaswa wamtoe baru cuz kasaliti kabila lake
 
Ila jana kupitia Msemaji rasmi wa Lowasa ndugu Pascal Mayalla alitupasha hapa jamvini kwamba Lowasa hana sababu ya kwenda Arumeru kwa sababu Sioyi ameshashinda uchguzi anasubili kuapishwa tu!!
 
Back
Top Bottom