MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Lowassa si mtu wa siasa za majitaka.Ni haki yake kupiga kampeni, ila siropoke tu.
Lowassa si mtu wa siasa za majitaka.Ni haki yake kupiga kampeni, ila siropoke tu.
Mtabaki na hiyo mentality kuwa Lowasa ni fisadi..
Wameru wanamkubali Lowassa. He is their hero!
Wivu wa kike unakusumbua.anafaa kwa CCM..
Anafaa zaidi kwa mkwewe...
Anafaa mno kwa binti yake Pam!
Hata Hitler alikuwa Hero wa kundi fulani la watu, na bado kuna watu miaka zaidi ya 65 baadaye bado wanamuona Hero.
Amina alikuwa Hero.
Mobuto alikuwa Hero.
Hata Ian Smith alikuwa Hero
Hii si mentality ni Truth Mheshimiwa huyu Edward Lowassa ni FISADI.
Ila kuna watu UFISADI wanaita kuchangamka.
Lowassa ana mvuto wa asili kisiasa, ni born leader.Kitu ambacho kinanifurahisha Lowassa ana watu wake kila chama cha siasa, ukienda CDM kuna kundi lake ukienda CUF ndiyo usiseme, ukienda NCCR Mageuzi ana kundi lake mtu kama huyu kupambana nae ni kazi.
Mbona NEC wanampango wa kumfuta Siyoi wiki ijayo mapema? ... i think..
Chadema wajanja sana. Wanajuwa wazi kwamba kuna uwezekano mkubwa wa kushinda kiti cha urais 2015 endapo CCM watamchagua EL kuwa mgombea wa CCM wa kiti hicho. Wanachofanya sasa nikumpandisha chati EL na kumsaidia kuanza kampeni zake haraka. Take my words, in the coming year before 2015 chati ya EL itatoboa dali.
Mbona Lowassa akitajwa kuna watu wanaweweseka!!
Mbona Lowassa akitajwa kuna watu wanaweweseka!!
Wivu wa kike unakusumbua.
Mgonjwa,
Hivi kweli CDM ndiyo wanampandisha chati Lowassa wewe kweli mgonjwa.
you are the first lady kukuona unamcriticize Lowassa..excuse me?? Did you say hero.? You are not serious.
nadhani mh.lowasa atasafisha hali ya hewa hapo arumeru,ambayo imewakuta ccm