Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
Chadema itampokea Lowassa peke yake au pamoja na kina Rostam, Chenge, Tibaijuka, Karamagi n.k?ijitafakari sana isifanye maamuzi kwa pupa ku respond mhemko wa wana Mtandao, watu wa Kitengo kabla ya kuamua kumtema Lowassa walishajadili Plan B ya Lowassa kuhama. Dkt Slaa arudi Karatu kama kweli Ngoyai atahamia huko
chama kinaendeshwa kwa kufuata upepo wa mitandaoni hicho....