Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Kwenye ile kashfa ya Richmond, CAG alisema lowassa ameiba sh ngapi? Mbona sasa tusimjadili huyu magufuli ambae ni mwizi na CAG ameshatoa ripoti yake kuwa bilion 262 ameiba. Au hizi sio hela jaman?Hii ni nchi ndugu yangu. Haijaribiwi kwa benefit of doubt. Who will be his victim? Thought of Mwakyembe, Sitta or common wananchi. Lowassa anatakiwa aanze kuyajibu maswali yetu na anafaham wenye mashaka kwanini hawataki kumchagua. Anafaham uchafu wa nchi hii kwa sababu alikuwa ndani ya mfumo. Asimame na aanze kutueleza uchafu ule na namna ya kuusafisha kama anauwezo huo. CCM wanamfaham vilivyo akifungua mdomo wake watamueleza kila lililo lake. Baada ya miezi 3 kama atashindwa uchaguzi, Lowassa atakubali historia imuandike kwamba alikufa amevaa gwanda?