Lowassa: Kikwete Ameharibu Uchumi

Hii ni nchi ndugu yangu. Haijaribiwi kwa benefit of doubt. Who will be his victim? Thought of Mwakyembe, Sitta or common wananchi. Lowassa anatakiwa aanze kuyajibu maswali yetu na anafaham wenye mashaka kwanini hawataki kumchagua. Anafaham uchafu wa nchi hii kwa sababu alikuwa ndani ya mfumo. Asimame na aanze kutueleza uchafu ule na namna ya kuusafisha kama anauwezo huo. CCM wanamfaham vilivyo akifungua mdomo wake watamueleza kila lililo lake. Baada ya miezi 3 kama atashindwa uchaguzi, Lowassa atakubali historia imuandike kwamba alikufa amevaa gwanda?
Kwenye ile kashfa ya Richmond, CAG alisema lowassa ameiba sh ngapi? Mbona sasa tusimjadili huyu magufuli ambae ni mwizi na CAG ameshatoa ripoti yake kuwa bilion 262 ameiba. Au hizi sio hela jaman?
 
Hata kama kaharibu uchumi yeye alikuwa huko kwa rafiki yake alipoona anaharibu uchumi kwa nini asimshauri huuu unafiki was nini sasa nyie chadema jitoeni fahamu huyu MTU sio kwanza nyie si kitu mmbele ya lowasa nyie anawatumia lowsa ana kundi lake kwanza anagombea uraisi kwa katiba ile ya zamani ambayp inampa madaraka makubwa raisi akisha pita atawakimbuka nyie vilaza au rafiki zake was miaka mingi waliokuwa wanampa mipesa juwekeza kanisani na misikitini eti mwataka kutoa mfumo mfumo ni nini mfumo no watu wAtu wenyewwe ni wakina lowasa mbmnaowaona wema sasa mtakumbuka Dr slaa na lipumba
 
Katika mkutano wa kihistoria, mh" rais mtarajiwa amesema JK ameharibu uchumi, watu weng wamekua maskini, bidhaa juu, hoi

Jana nilimsikia Mheshimiwa Edward Lowasa akisema Kikwete amesabisha maisha kuwa magumu, ni kweli tangu aingie madarakani maisha yamekuwa yakipanda, EL akatoa mfano kipindi JK anaingia ikulu kg moja ya sukari ilikuwa 650/= sasa ni sh 2300/=. Lakini LOWASA hawezi kujitenga na maisha kuwa magumu kwaani alikuwa ni sehemu ya utawala wa CCM, mfano akiwa waziri mkuu mfumko wa bei ulikuwa ukipanda, je alifanya nini? LOWASA kaifanyia nini Tanzania mpaka ajipambanue kuwa mtetezi wa wanyonge?

angalia mfumko wa bei kipindi akiwa waziri mkuu:-

Year Inflation, average consumer prices
2005 4.359 LOWASA WAZIRI MKUU
2006 5.612 LOWASA WAZIRI MKUU
2007 6.251 LOWASA WAZIRI MKUU
2008 8.405 LOWASA WAZIRI MKUU

2009 11.826 PINDA WAZIRI MKUU
2010 10.496 LOWASA WAZIRI MKUU


Tanzania GovernmentPrime Minister20052/8/2008
Ministry of Water and Livestock DevelopmentMinister20002005
State, Vice President's OfficeMinister for Environment & Poverty19972000
The Parliament of TanzaniaMember - Monduli Constituency19952015
Ministry of Lands, Human Settlement DevelopmentMinister19931995
State, Prime Minister's Office and First Vice PresidentMinister (Judiciary &Parliamentary Affairs)19901993
 
“Katika utawala wa Rais Kikwete, Tembo wameuawa kuliko kipindi chochote katika historia duniani kote. Kila aina ya mnyama ameuawa kuliko kipindi chochote katika historia ya nchi yetu".

Nini ukweli wa hii kauli. Wahifadhi wa wanyamapori (TANAPA) tupeni ukweli...au imewekwa kisiasa!
 
Katika mkutano wa kihistoria, mh" rais mtarajiwa amesema JK ameharibu uchumi, watu weng wamekua maskini, bidhaa juu, hoi

Kweli hatutaki viongozi wa mipasho kusafiri nje na kauli kutofautiana. Watanzania mnaanza kuwa na tabia za watu wa pwani maana pamoja na kupewa maendeleo bado wapo nyuma so tunaitaji rais mwenye kauli moja na tutajua wakati wa kampeni
 
Anafahamu mpaka bei ya kiberiti, hiki hiki ninachotumia mimi au? swahili ni kwamba yeye ushiriki wake katika hali hii ukoje kwani yale mamilioni yaliyokuwa yakichotwa pale Hazina kupitia Tanesco kwa mgongo wa mradi wa Richmond yalisaidia kuimarisha au kuporomoa uchumi?

Ukiwa kwenye nyumba ya vioo usirushe mawe...........
 
Alikuja hapa Bongo mchina anatokea kitengo kinachoshuhulikia maswala ya uchumi China,akasema ameshangazwa sana kuona tunatafuta uchumi mkubwa huku tumetelekeza njia za reli badala ya kuziimarisha!nchi yoyote duniani yenye bandari inategemea njia za reli kusafirisha mizigo mizito na hivyo kulinda barabara zisiharibiwe na malori makubwa.
Hivi leo hapa Tanzania viongozi fulani akiwemo mtoto wa Rais JK ndio wanaomiliki malori mengi,kwanini nisiamini wao ndio wamezitelekeza na kuhujumu njia za reli?
Leo hii tunalishwa uongo,eti tumefanikiwa kujenga barabara nchi nzima katika kiwango cha lami na huku barabara zenyewe zikiwa chini ya kiwango na pia tunachangia kuzibomoa kwa kupitisha malori yenu.
 
Maneno Maneno mwisho wa siku Rais Magufuli ....wabunge ndio ukawa full stop ! :couch2:
 
2years on jk govt,
can you....add into uozo

Ooh yes very possible
In fact, I am shocked why is Lowasa criticizing the Government at this time.
He was a Member of Parliament for over eight years after his resignation. He didn't challenge or condemn the government,then why is he contradict himself?
I am sure Tanzanians are too smart for that trap.
 
Lowasa huyu amekuwa PM kwa miaka miwili ya mwanzo ya utawala wa JK, akapiga dili la wizi wenzake wakamsulubisha. Wakati akiwa PM hamna alofanya kuinua uchumi na ndio aliuwa uchumi kwa maigizo mengi na kupiga dili za wizi tu. Huyu jamaa safari hii anakatwa na wananchi sasa sio kamati maadili tena. Wanavyomsindikiza yy anafikiri ndo watampa kura, wale waliomsindikiza majority pale hapati kuea zao. Mwaka huu atalia na kusaga meno

Katika mkutano wa kihistoria, mh" rais mtarajiwa amesema JK ameharibu uchumi, watu weng wamekua maskini, bidhaa juu, hoi
 
EL ni kituko ila yy hajijui tu. yy ndo mwaribifu namba moja, anapiga dili za kila namna , alikuwa anawapa watu wa kabila lake vyeo kwa upendeleo alafu leo analalamika uchumi aliouwa yy mwenyewe, au aliuharibu makusudi ili apate

Ooh yes very possible
In fact, I am shocked why is Lowasa criticizing the Government at this time.
He was a Member of Parliament for over eight years after his resignation. He didn't challenge or condemn the government,then why is he contradict himself?
I am sure Tanzanians are too smart for that trap.
 
Tena Lowassa amekuwa na hekima kwani amempa heshima Kikwete. Nchi hii ina utajiri mkubwa sana na kipindi cha Mkapa pamoja na kupiga piga kwake uchumi wa Tanzania ulianza kupanda sana kiasi cha kuikaribia Kenya. Huo ni ukweli na sio habari za Simba na Yanga. Ameingia Kikwete shilingi ya Tz inakimbizana na hela ya Mugabe. Uchumi hoi. Haya maendeleo mnayo zungumza hapa sijui bara bara, bara bara. Hiyo ni fedha toka World bank na misaada toka nchi nyingine. Kikwete kazi yake ni Kusafiri kwenda kuomba misaada at the same time safari zake hizo anachukua zaidi ya 30% ya hela inayotolewa kwenye misaada. Huu ni uhuni. Achilia mbali deals za wawekezaji. Msitake kuwafanya watanzania wote washenzi. Wakina mama Tibaijuka wanatumia hela za Sida kujenga shule zao binafsi. Miradi ya Malaria wakina mama Mkapa wameifilisi kabisa. HIV imekuwa ni kitendo cha watu. Kikwete amepiga sana. Msitake watu wakaanza kutapika. Mwacheni amalize muda wake kwa amani.
 
Back
Top Bottom