Ptuuu...ni kufikiri gani huku???? Ni Watanzania mamilioni mangapi wako hapa jf..na ni wangapi wanaweza kununua hizo iphone??achana nayo fanya mambo mengne.
maisha magumu unakesha j.miii forum ??
maisha magumu soko la kina iphone. samsung na magar ya bei yamejazanaa foren??
mnataka maisha gan nyinyi ???
unadhan chadema itakuja kutatua matatizo yak ya familia.????
hahahah nifah beiby