Lowassa, jiwe litakaloitesa CCM 2020

Lowassa, jiwe litakaloitesa CCM 2020

Hutaki acha,huu ndio ukweli wenyewe!!!!

Ukweli ni kwamba mpaka sasa Lowassa sio fisadi na wala hana ubadhirifu wowote.Aliitwa fisadi lakini mpaka leo pamoja na uwepo wa mahakama ya mafisadi hajawahi kuitwa,kukamatwa na kuhojiwa mahali popote, sio TAKUKURU wala POLISI na hana shitaka lolote mahakamani juu ya uhujumu uchumi,matumizi mabaya ya madaraka wala kujilimbikizia ukwasi.


Alitengenezewa Zengwe na mahasimu wake wa kisiasa,wakamuundia tume iliyokua imebeba maslahi ya watu wachache na wakafikia maamuzi ya kumbebesha mzigo usiomhusu wala siokua na uhalisia wowote! Aliundiwa ushadihi wenye mkanganyiko na ubabaishaji ambao hata leo ushahidi huo umetiwa kapuni na hukutumika mahali popote kumtia hatiani.


Zilikua ni propaganda chafu za kisiasa ambazo mpaka kufikia hivi sasa zimeshindwa vibaya sana, hakuna ukweli wowote kuonesha au hata kuhisia kua Lowassa ni "FISADI".


2020 atawaambia watanzania kua " Nilifadhaishwa sana,lilidhalilishwa sana,nilionewa sana kwakua tu tatizo lilikua ni uwaziri mkuu" Watanzania amueni wenyewe na kisha toeni hukumu wenyewe.Kwahiyo kwa mwenye uelewa atakua amenielewa.


Mahitaji ya Mh Lowassa ni makubwa sana hivi sasa kwa wananchi, wanamhitaji kuliko hata ilivyokua awali na kama haki itatendeka kwenye uchaguzi mkuu 2020 endapo akisimamishwa na chama chake sidhani kama kuna mtu wa kushindana nae. In short ni kwamba Lowassa hana mshindani kwenye sasa za nchi hii endapo vyombo vya dola pamoja na wa tawala wakaacha taratibu na sheria zikatumika badala ya maekekezo.


Angalizo

Ni lazima kuwe na tume huru ya uchaguzi, haijalishi chama tawala hakipendi kulisikia hili lakini kwa namna yeyote ile ni lazima kuwe na mabadiliko kwenye tume ya taifa ya Uchaguzi.
MBELE YA JPM HILO NI DONGO TU WALA SI JIWE CHOCHOTE. ENDELEA KUOTA NDOTO ZA MCHANA !
 
Jiwe litakalo jitesa jenyewe kwa kupigwa nyundo na watu watoe kokoto za kujengea
 
Jamaa mnatia kinyaa sana mnapokuja humu kututangazia viwango vyenu vya upumbavu.

Lowassa alitajwa kuwa fisadi kwenye list of shame mwaka 2007 kabla ya tume ya Mwakyembe ya mwaka 2008.

Au CDM nao waliunda tume ya List of shame ndiyo unailalamikia hapa?

Kama mliweza kuwahadaa watu kwa miaka 8,Kuna haja ya kuaminiwa kwa lipi sasa?

Mnatakiwa mumuombe msamaha huyo mshua na watanzania kwa ujumla.
 
Hutaki acha,huu ndio ukweli wenyewe!!!!

Ukweli ni kwamba mpaka sasa Lowassa sio fisadi na wala hana ubadhirifu wowote.Aliitwa fisadi lakini mpaka leo pamoja na uwepo wa mahakama ya mafisadi hajawahi kuitwa,kukamatwa na kuhojiwa mahali popote, sio TAKUKURU wala POLISI na hana shitaka lolote mahakamani juu ya uhujumu uchumi,matumizi mabaya ya madaraka wala kujilimbikizia ukwasi.


Alitengenezewa Zengwe na mahasimu wake wa kisiasa,wakamuundia tume iliyokua imebeba maslahi ya watu wachache na wakafikia maamuzi ya kumbebesha mzigo usiomhusu wala siokua na uhalisia wowote! Aliundiwa ushadihi wenye mkanganyiko na ubabaishaji ambao hata leo ushahidi huo umetiwa kapuni na hukutumika mahali popote kumtia hatiani.


Zilikua ni propaganda chafu za kisiasa ambazo mpaka kufikia hivi sasa zimeshindwa vibaya sana, hakuna ukweli wowote kuonesha au hata kuhisia kua Lowassa ni "FISADI".


2020 atawaambia watanzania kua " Nilifadhaishwa sana,lilidhalilishwa sana,nilionewa sana kwakua tu tatizo lilikua ni uwaziri mkuu" Watanzania amueni wenyewe na kisha toeni hukumu wenyewe.Kwahiyo kwa mwenye uelewa atakua amenielewa.


Mahitaji ya Mh Lowassa ni makubwa sana hivi sasa kwa wananchi, wanamhitaji kuliko hata ilivyokua awali na kama haki itatendeka kwenye uchaguzi mkuu 2020 endapo akisimamishwa na chama chake sidhani kama kuna mtu wa kushindana nae. In short ni kwamba Lowassa hana mshindani kwenye sasa za nchi hii endapo vyombo vya dola pamoja na wa tawala wakaacha taratibu na sheria zikatumika badala ya maekekezo.


Angalizo

Ni lazima kuwe na tume huru ya uchaguzi, haijalishi chama tawala hakipendi kulisikia hili lakini kwa namna yeyote ile ni lazima kuwe na mabadiliko kwenye tume ya taifa ya Uchaguzi.
Kusipokuwa na mabadiliko katika tumr ya uchaguzi asigombee kwa sab tumechoka kusikia ameibiwa kura au tume sio huru.
 
Lowasa ni mwanasiasa mzuri sana. Lakin muda umempita lowasa. Siasa za boys to men zimepitwa..tunahitaji mtandao mpya. Lowasa ana mvuto km tu jk naye angekuwa relevant. Jk kastaafu ni vyema na lowasa naye astaatu. Lowasa bakia na utoe MTU mwngne atakaye leta ushindani kwa rais magufuli.bakia kuwa mzee wa chama maarufu tu.
 
Fisadi no one is clean, tafuta ela kimpango wako utazeekea umu jf hamna msaada. Rat race
 
Tuache kujifariji kwingine, Lowasa angaitesa CCM 2015, sio 2020 maana ndo kwanza alikuwa wa moto wakati ametoka CCM, ukumbuke na hao ccm wenyewe wanajipanga hiyo 2020,.
Kama ni changamoto kwa CCM zitasababishwa na udhaifu wa CCM kwa miaka michache iliobakia, na si nguvu ya mtu (Lowasa). Cha muhimu ni kujipanga na kufukia mapungufu yaliyotokea hapo mwanzo. Ni wazi ana nguvuvza kisiasa ndio maana alipata kura nyingi lakini c kwamba 2020 atakuwa amepata upako wa ziada iki kushinda.
 
Binafsi naamini Lowasa ikulu haendi labda sir God aamue mwenyewe...
 
Hakuna kama lowassa
Ni nani? Na amefanya nini? Mpaka hakuna kama yeye!

Bora ata ungesema hakuna kama Mwl. Nyerere kwa sababu alipigania kuupata uhuru toka kwa wakoloni hapa angalau ambao shule ipo kichwani watakuelewa
 
Mwambieni babu yenu Lowassa
Hatakuja kuja rais wa nchi hii
Aende tu akachunge mifugo yake
Kama alivyoahidi
 
Kwahiyo Lowassa Ashateuliwa Kuwa Mgombea Wa Ukawa 2020 ?

- Chadema - Chama Cha Demokrasia !!!!!
 
Hutaki acha,huu ndio ukweli wenyewe!!!!

Ukweli ni kwamba mpaka sasa Lowassa sio fisadi na wala hana ubadhirifu wowote.Aliitwa fisadi lakini mpaka leo pamoja na uwepo wa mahakama ya mafisadi hajawahi kuitwa,kukamatwa na kuhojiwa mahali popote, sio TAKUKURU wala POLISI na hana shitaka lolote mahakamani juu ya uhujumu uchumi,matumizi mabaya ya madaraka wala kujilimbikizia ukwasi.


Alitengenezewa Zengwe na mahasimu wake wa kisiasa,wakamuundia tume iliyokua imebeba maslahi ya watu wachache na wakafikia maamuzi ya kumbebesha mzigo usiomhusu wala siokua na uhalisia wowote! Aliundiwa ushadihi wenye mkanganyiko na ubabaishaji ambao hata leo ushahidi huo umetiwa kapuni na hukutumika mahali popote kumtia hatiani.


Zilikua ni propaganda chafu za kisiasa ambazo mpaka kufikia hivi sasa zimeshindwa vibaya sana, hakuna ukweli wowote kuonesha au hata kuhisia kua Lowassa ni "FISADI".


2020 atawaambia watanzania kua " Nilifadhaishwa sana,lilidhalilishwa sana,nilionewa sana kwakua tu tatizo lilikua ni uwaziri mkuu" Watanzania amueni wenyewe na kisha toeni hukumu wenyewe.Kwahiyo kwa mwenye uelewa atakua amenielewa.


Mahitaji ya Mh Lowassa ni makubwa sana hivi sasa kwa wananchi, wanamhitaji kuliko hata ilivyokua awali na kama haki itatendeka kwenye uchaguzi mkuu 2020 endapo akisimamishwa na chama chake sidhani kama kuna mtu wa kushindana nae. In short ni kwamba Lowassa hana mshindani kwenye sasa za nchi hii endapo vyombo vya dola pamoja na wa tawala wakaacha taratibu na sheria zikatumika badala ya maekekezo.


Angalizo

Ni lazima kuwe na tume huru ya uchaguzi, haijalishi chama tawala hakipendi kulisikia hili lakini kwa namna yeyote ile ni lazima kuwe na mabadiliko kwenye tume ya taifa ya Uchaguzi.
Kula tano mwanangu.

Lowasa alihujumiwa na Chikwete
 
Lowassa ni mwiba mchungu sana kwa serikali ya ccm hawawez kukaa bila yakumhofiA MTU huyu.
 
Back
Top Bottom