Jipu
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 2,696
- 5,544
yes,waambie hao wezi
Mwizi wa kura yupo chadema na lowassa sasa nani mwizi? Endelea tu kuziba pua
yes,waambie hao wezi
Lowassa mgombea urais CHADEMA amepiga mkwara kuwa CHADEMA hatutakubali matokeo ya Uchaguzi,ikiwa hakutakuwa na mazingira ya uchaguzi huru na haki.
Kamanda Lowasa akiwa anajiamini kushinda amesema kuwa kama uchaguzi huru na haki hawana budi kukubali matokeo.Bali kama kuna goli la mkono hawawezi kukubali.CCM hakuna mteremko mwaka huu.
Chanzo: Mwananchi
Lowassa mgombea urais CHADEMA amepiga mkwara kuwa CHADEMA hatutakubali matokeo ya Uchaguzi,ikiwa hakutakuwa na mazingira ya uchaguzi huru na haki.
Kamanda Lowasa akiwa anajiamini kushinda amesema kuwa kama uchaguzi huru na haki hawana budi kukubali matokeo.Bali kama kuna goli la mkono hawawezi kukubali.CCM hakuna mteremko mwaka huu.
Chanzo: Mwananchi
Bahati mbaya Magufuli hana neno busara kwenye kamusi yake so mkileta ujinga huku mnategemea kwenda kufyonza juice ikulu kama zama za JK,imekula kwenu.
Lowassa mwenyewe hata kuongoza maandamano akiwa front line hawezi maanake zikitua rungu mbili za ugoko basi kesho yake mahema Monduli.
Ngoja tuone...
Lowassa mgombea urais CHADEMA amepiga mkwara kuwa CHADEMA hatutakubali matokeo ya Uchaguzi,ikiwa hakutakuwa na mazingira ya uchaguzi huru na haki.
Kamanda Lowasa akiwa anajiamini kushinda amesema kuwa kama uchaguzi huru na haki hawana budi kukubali matokeo.Bali kama kuna goli la mkono hawawezi kukubali.CCM hakuna mteremko mwaka huu.
Chanzo: Mwananchi
Lowassa mgombea urais CHADEMA amepiga mkwara kuwa CHADEMA hatutakubali matokeo ya Uchaguzi,ikiwa hakutakuwa na mazingira ya uchaguzi huru na haki.
Kamanda Lowasa akiwa anajiamini kushinda amesema kuwa kama uchaguzi huru na haki hawana budi kukubali matokeo.Bali kama kuna goli la mkono hawawezi kukubali.CCM hakuna mteremko mwaka huu.
Chanzo: Mwananchi
Lowassa Mwenyewe ni Jeneza Linalotembea, sasa atamtwanga nani au anataka kuwashakizia vijana wa kimachinga?
This is silly!.. alisema ni lini Uchaguzi haujawahi kuwa Huru na wa haki? Mbona hatujawahi kumsikia akiungana na wapinzani walipopiga kelele ya kukosekana uhuru na haki kwenye chaguzi mbalimbali; au anafikiri tumesahau yaliyotaka kutokea Arumeru Mashariki?
This is silly!.. alisema ni lini Uchaguzi haujawahi kuwa Huru na wa haki? Mbona hatujawahi kumsikia akiungana na wapinzani walipopiga kelele ya kukosekana uhuru na haki kwenye chaguzi mbalimbali; au anafikiri tumesahau yaliyotaka kutokea Arumeru Mashariki?
mh, hawa fisiemu ni kwamba wanajipanga kuhakikisha goli la mkono linatumika pasipo watu kugundua, na ukijifanya umegundua wanakupoteza
Asituletee ujinga wake akapigane na mafisadi wenzake siyo kutuletea huu ujinga kwenye taifa letu.