jerry miner
Senior Member
- Jul 30, 2015
- 147
- 41
October 25 wataelewa tu.
it's just a matter of time
lowasa for president.
vote for LOWASSA.
it's just a matter of time
lowasa for president.
vote for LOWASSA.
Uloi nga mâché68;13922711 said:Inaonekana wewe umezaliwa miaka ya 2000. Elimu bure mpaka Vyuo Vikuu Sera hiyo haipo popote duniani kwenye Uchumi wa Soko.
Pia hesabu zako zinapotosha kwa kuwa Vyuo na Shule haviendeshwi kwa ADA pekee. Kuna Ruzuku kutoka Serikalini na Vyanzo vingine. Nafikiri uchambuzi wako ni wa mtu aliyezidiwa na VIROBA. Shame![/QUOT
Hapa mwenzio kakuwekea gharama ambazo hubebwa(hulipwa/huchangiwa) na mwanafunzi/Mzazi moja kwa moja ambazo kwa Sera hii ya elimu bure kuanzia chekechea hadi Chuo kikuu, gharama zitabebwa na serikali!!
Sasa wewe unaongelea ruzuku. Tangu lini ruzuku ikawa inachomolewa kwenye mifuko ya wazazi na kupelekwa mashuleni/vyuoni?
Hii haiwezi kuingia huku kwa sababu tangu awali lipo fungu ambalo linatoka moja kwa moja serikalini kwenda kwenye shule/vyuo hivi ambalo hata usipoileta Sera hii lenyewe lipo tu!!
Siku nyingine jifunze kujibizana na watu kwa hoja na si kutumia lugha chafu na ya matusi!!
Kwa nini umwambie mwenzie kanywa viroba? Kwa nini umwambie mwenzio "shame on you?"
Ina maana ungezungumza tu kwa lugha ya kawaida yenye staha usingeeleweka eeh!!??
Hujanisoma rafiki, sijakataa umuhimu wa elimu, wala sijalinganisha Tanzania na nchi za dunia ya kwanza, nilichokuwa najaribu kuelezea ni kuwa kwa kuwa nchi yetu ni tegemezi, misaada itakuja na mashariti ya uchangiaji na ushilikishwaji wa wananchi. Na hapo ndo elimu ya bure inatagonga kisiki. Mimi nasapoti elimu ya bure, ila anayeiahidi anatakiwa atupe maelezo ya kutosha juu ya jinsi atakavyo-implement, isije ikawa tunadanganywa.
Miaka ya nyuma tulishawahi kuwa na sera ya elimu bure na matibabu bure. Unafikiri ni nini kilitubadilisha? Ni IMF na WB, waligoma kutoa misaada mpaka nchi iweke utaratibu wa kuchangia. Utetezi wao ni kwamba mtu anajituma zaidi na anaweka thamani zaidi kwa kitu alichokilipia (Hii niliisikia mwenyewe katika moja ya speech ya Vice President mmoja wa WB alipotembelea TZ). Kama bado tunahitaji pesa za IMF na WB ni vigumu kuongelea elimu ya bure.
Na umeongelea swala la watawala kuuwa shule za umma na kupeleka watoto nje; unafikili hili litakomeshwa na elimu ya bure?
jamani haina haja ya kubishana magufuli mwenyewe alishasema nchi hii ni tajiri sana tatizo liko kwenye matumizi.
jamani haina haja ya kubishana magufuli mwenyewe alishasema nchi hii ni tajiri sana tatizo liko kwenye matumizi.
Swala la kutokuwezekana kwa elimu ya bure halipo kwenye mapato, nchi za ulimwengu wa kwanza zina mapato makubwa sana, lakini elimu siyo bure.
Kwa bajeti zetu zilivyo tegemezi unafikiri nchi za kipepari zitakubali kukupa msaada ili ufanye kitu ambacho wao wanaamini ni kinyume na principles zao? Kwa principle za kibepari ni kwamba mtu huthamini kitu alichokigarimia, ndo maana hata shopping bags (za plastic kwenye supermarkets) serikali za kibepari huwa zilalazimisha ziuzwe ili mtu asiitupe ovyo.
Jambo la muhimu hapa ni kuweka garama wanazomudu watu, na kuweka utaratibu wa kuwasaidia wale wasiokuwa na uwezo kabisa.
Hujanisoma rafiki, sijakataa umuhimu wa elimu, wala sijalinganisha Tanzania na nchi za dunia ya kwanza, nilichokuwa najaribu kuelezea ni kuwa kwa kuwa nchi yetu ni tegemezi, misaada itakuja na mashariti ya uchangiaji na ushilikishwaji wa wananchi. Na hapo ndo elimu ya bure inatagonga kisiki. Mimi nasapoti elimu ya bure, ila anayeiahidi anatakiwa atupe maelezo ya kutosha juu ya jinsi atakavyo-implement, isije ikawa tunadanganywa.
Miaka ya nyuma tulishawahi kuwa na sera ya elimu bure na matibabu bure. Unafikiri ni nini kilitubadilisha? Ni IMF na WB, waligoma kutoa misaada mpaka nchi iweke utaratibu wa kuchangia. Utetezi wao ni kwamba mtu anajituma zaidi na anaweka thamani zaidi kwa kitu alichokilipia (Hii niliisikia mwenyewe katika moja ya speech ya Vice President mmoja wa WB alipotembelea TZ). Kama bado tunahitaji pesa za IMF na WB ni vigumu kuongelea elimu ya bure.
Na umeongelea swala la watawala kuuwa shule za umma na kupeleka watoto nje; unafikili hili litakomeshwa na elimu ya bure?
Nitapngeza gharama za Ruzuku za serikali.Mwaka 2010 tuliposema inawezekana hadi Sekondari mlikataa tukaleta Hesabu.Nyerere alisomesha watoto wa Kitanzania kwa Kahawa na Katani tu,Leo kuna kuna Dhahabu,Almasi na Gesi imebuliwa.
Kwa mwaka Mmoja tu Sekta ya Madini inapoteza Trilioni 2.5 kwa mujibu wa Ripoti ya IMF na PAC bungeni
Wakati wa Mabadiliko ni Sasa,Mabadiliko nje ya CCM.
Ben Saanane
Swala la kutokuwezekana kwa elimu ya bure halipo kwenye mapato, nchi za ulimwengu wa kwanza zina mapato makubwa sana, lakini elimu siyo bure.
Kwa bajeti zetu zilivyo tegemezi unafikiri nchi za kipepari zitakubali kukupa msaada ili ufanye kitu ambacho wao wanaamini ni kinyume na principles zao? Kwa principle za kibepari ni kwamba mtu huthamini kitu alichokigarimia, ndo maana hata shopping bags (za plastic kwenye supermarkets) serikali za kibepari huwa zilalazimisha ziuzwe ili mtu asiitupe ovyo.
Jambo la muhimu hapa ni kuweka garama wanazomudu watu, na kuweka utaratibu wa kuwasaidia wale wasiokuwa na uwezo kabisa.
Haujapigia mishahara ya walimu na waadhiri ambayo ilikuwa inatokana na hizo ada za wanafuzi, kwa mfano tu udsm ina jumla ya wafanyakazi 700 kunawanao chukua hadi mshahara wa million 7 kwa mwezi
Haya basi haiwezekani, umefurahi Mkuu? watu wengine huwa mnawaza kutokuweza tu kama sifa vileUloi nga mâché68;13922711 said:Inaonekana wewe umezaliwa miaka ya 2000. Elimu bure mpaka Vyuo Vikuu Sera hiyo haipo popote duniani kwenye Uchumi wa Soko.
Pia hesabu zako zinapotosha kwa kuwa Vyuo na Shule haviendeshwi kwa ADA pekee. Kuna Ruzuku kutoka Serikalini na Vyanzo vingine. Nafikiri uchambuzi wako ni wa mtu aliyezidiwa na VIROBA. Shame!