Lowassa, Chenge were lined up for Speaker's job

Acheni kutufanya sote kuwa asusa za kazi zenu za UHANDISI WA HABARI. Hawa jamaa wanaweza wakawa wanasumbuliwa na arrogance ya power lakini kamwe si wajinga kiasi cha kupendekeza LOWASA na CHENGE kuwa SPIKA...


omarilyas
Mkuu Omarilyas hakuna lisilo wezekana kaka mi nilivosikia yaliyotokea Dodoma nikasema wajumbe hawawezi kua mambumbu kusurpport mafisadi hadhalani lakini nilipokuja kugundua ni kweli walisema waliyoyasema sikuamini! EL hasindwi kirahisi na wala hakati tamaa haraka umesahau ya uchaguzi wa CCM 1995??? alishindwa tena kwa kashfa kwamba kapata wapi pesa ya kukodi ndege ye na swahiba wake halafu akarudi 2005. hakomi huyu muungwana ndugu atarudi tuuu!!!
 
Wakuu,

Hii habari mimi sishangai, sababu najua jinsi wabunge wengi wa CCM wanavyotapa tapa kutafuta hela za uchaguzi mwakani. Hawa Lowassa, Chenge na Rostam ndio wenye fedha au wanaojua vyanzo vya fedha.

Mwakani sio mbali hivyo huu ni wakati muafaka wa kujipendekeza kwao. Ndicho kinachoendelea hapa, wanatafuta fedha za kampeni kwa gharama ya Taifa.

JK anachekelea kwa sababu anajua mafisadi wakimuunga mkono watampa wabunge wa kutosha kwenye Bunge lijalo na pia hakuna atayekuwa na sauti ya kuweka jina lake kwenye uraisi 2010 kwa tiketi ya CCM.


Lengo lao ni kila mmoja wao awe mshindi isipokuwa Watanzania, kwa gharama yoyote.
 
Acheni kutufanya sote kuwa asusa za kazi zenu za UHANDISI WA HABARI. Hawa jamaa wanaweza wakawa wanasumbuliwa na arrogance ya power lakini kamwe si wajinga kiasi cha kupendekeza LOWASA na CHENGE kuwa SPIKA...


omarilyas

Mkuu naona wewe bado unadhani CCM hii ya leo ni ile ya Nyerere. Hawa wa leo hawana haya wa soni....na usiku wanalala usingizi mnono kabisa.

Sasa Makamba anasema, Serikali, Bunge na Spika ni wao. Bado huamini arrogance yao..??
 
Wana-jf tufanyeje? Wanaamua wao, wanafisadi nchi, walio wengi wanabakia makapuku..
Kumbe ndo mana zile sehemu nyingine za dunia, mmoja hujitolea kuondoka nao ili waliobaki waendeshe maisha yao bila kadhia za kifisadi..
 
najionea huruma kuwa katika nchi ya kuburuzwa namna hii, wanatuona wote vilaza, narudia statement yangu ya mwanzoni kuwa nahisi watanzania tumelogwa, lazima tutafute mchawi wetu, kwani tunageuzwa vichaa na tunakubali tena bila hata kusita, yule kijana wa muziki wa bongo flavor kasema "usinikubali haraka" na sisi tunashindwa kabisa kukataa kidogo.... sob sob!!
tumekubali kuwa vilaza kwa kuendeleea kuililiiaa CCM..Hivi tuna tatizoo gani na mapenzi ya aina gani kwa taasisi hiii?????
 
watapata wanachokitata yani wananchi tulivyolala hivi watapata kila kitu wanachokitaka na Jela ambako wanatakiwa wakamalizie maisha yao hawaendi ng'ooo.Labda sio CCM hii tunayaendelea kuikumbatia
Changes will come only if we people tutakapoa amua kuiondoa CCM.
 
najionea huruma kuwa katika nchi ya kuburuzwa namna hii, wanatuona wote vilaza, narudia statement yangu ya mwanzoni kuwa nahisi watanzania tumelogwa, lazima tutafute mchawi wetu, kwani tunageuzwa vichaa na tunakubali tena bila hata kusita, yule kijana wa muziki wa bongo flavor kasema "usinikubali haraka" na sisi tunashindwa kabisa kukataa kidogo.... sob sob!!

walituloga kwa kutotupeleka shule, hakuna kingine lakini yana mwisho.
 
Kwangu mimi kinachonitatiza ni jinsi ambavyo umma unadhani kuwa CCM kimesimama wima na imara toka wakati wa Mwalimu hadi sasa. CCM inabadilika na kwenda na wakati kama itokeavyo kwa vyombo au taasisi zo zote hai. Pengine mabadiliko yao si kwa neema yako, lakini hakika ni kwa neema ya waliopo ndani ya CCM.

CCM ya Nyerere si CCM ya Mwinyi, CCM ya Mwinyi si CCM ya Mkapa, na CCM ya Mkapa si CCM ya Kikwete. Mbali ya jina kubakia CCM na rangi kubaki kijani/njano, masilahi, mwelekeo, uongozi, mantiki na hata uadilifu kati ya hizi CCM nne ni tofauti sana.

Na ndiyo maana utaona pia sauti za CCM ya Nyerere, Mwinyi au CCM ya Mkapa si sauti tena katika CCM ya Kikwete. Kwa hali hiyo, kwa watu kukaa na kutegemea yale yale ya CCM zilizopita katika mustakabali wa CCM iliyopo ni kujitakia majuto na majonzi yasiyo fanaka.

Kama wewe unaona huwezi kuiacha CCM, basi CCM hii wanaona wanaweza kukuacha wewe. Lingana ili uendane nayo, la sivyo kubali kuachwa.
 
- Badala ya kuwepo Segerea where they belong, wapo bungeni na wanajaribu hata kuchukua u-Spika wa Jamhuri, only in Tanzania inawezekana haya mambo.

- Hii cancer ya Lowassa sijui tutaondokana nayo vipi na lini, maana inaonekana it is here to stay mpaka arudi kwenye power by any means necessary! Naona uamuzi ni wetu wananchi kumruhusu au kutomruhusu!

Mungu Aibarikie Tanzania!

Respect.

Field Marshall Es.

Hii cancer haiwezi kuisha as long as SISIEMU iko madarakani na mshikaji wake akiendelea kuwa prezidaa. Solution hapa ni kuondoa hiki chama madarakani kwa kupitia kura. Vinginevyo fisadiz wataendelea kuwa-corrupt viongozi walioko madarakani.
 
Sources say some NEC members received between 3m/- and 5m/- 'to ensure that the plan to get rid of Sitta succeeded.'


SOURCE: http://www.thisday.co.tz/News/6221.html

Sasa hawa UWT, polisi na TAKUKURU wako wapi??? Kazi yao ni nini??
Eti hii kazi inaachiwa Kamati ya kurejesha uelewano ndani ya CCM. Hivi kweli tuna serikali kweli au picha ya serikali. This is DISGUSTING and smells NASTY. JK hebu tuwe serious even for couple of minutes
 
Media ziko hovyohovyo, zinapotosha umma kwa makusudi ya kujipatia mafao, ni ufisadi uliokithiri. Ndio maana hata kesi ya zombe tuliingizwa mkenge humu na media zetu.

Kila kitu ni hovyohovyo, why?? Jf tunapaswa tunyooshe mstari kwa kutafakari kabla hatujatoa hoja zetu au hukumu zetu.
 
Its very painful kuona watu tunashabikia hii spinning ya ndugu yetu Mzee Mengi, waandishi wa habari waliojaa urambo walikuwa ni wa IPP MEDIA, bahati mbaya maandamano yakawa a BIG BIG FLOP, ikabidi aite waandishi wa habari nyumbani kwake nidyo aongee na kesho yake akaenda kwenye mkutano wa injili tabora mjini ili anagalau Mengi apate picha zenye umati wa watu. Gazeti la serikali Habari Leo na menigne mawili yalisema masafara ulikuwa na magari mawili urambo.. Inasikitisha na inauma, nilifikiri Sitta ni kipenzi cha wananchi.

Lakini jamani tuangalie hata hii habari yenyewe:
It has been confirmed that the entire plan to remove Sitta and put in place a smooth replacement system was hatched and finalized during a series of secret meetings in Dodoma, Dar es Salaam and Mbeya ahead of the Dodoma meetings involving CCM’s central committee and national executive committee (NEC).

Kwenye gazeti lao la kiswahili KULIKONI walisema vikao vingne vilifanyika Zanzibar, kwahiyo hapa unaongelea kona zote za nchi, yaani Dodoma, Dsm, Mbeya na Znz, kwa maana hii upinzani wa Spika kwenye chama chake ni mkubwa sana.. tujiulize kwanini? Tusishabikie wamenunuliwa, maana yake ndiyo easy way out siku hizi, huwezi kununua wenzako wenye akili timamu ili waseme ambayo hawayaamini, hata kama ungekuwa Bill Gates.

Halafu hii spinning kusema a reliable source bila kumtaja nidyo yale yale ya kuaminishwa mambo ili wafikishe ujumbe wao, lakini bado hiyo source inasema hana uhakika kama Lowassa na chenge walikuwa na taarifa.. maana yake nini sasa??

He continued: ”The names that came up were Lowassa or Chenge. But would either of them have actually agreed to have their names nominated for election as Speaker, had the plot to remove Sitta succeeded? Of that I am not sure.”

It is also unclear if either Lowassa or Chenge were even aware that they were in line to replace Sitta at short notice, if it had come to that.

Yale yale niliyosema ya kununuliwa, kwahiyo mnataka kuniambia Mzee Kingunge alipewa Tsh ngapi?? Alisema Sitta hatufai na arudishe kadi yetu.
According to THISDAY findings, the plot to remove Sitta from the post of Speaker is understood to have involved large sums of money exchanging hands within the CCM-NEC ranks.

What a shame?? Tunasema leo wajumbe walipewa 3M na 5M, mimi ningekuwa mwenyekiti wa CCM ningewa-summon hili gazeti ili wathibitishe, yaani hizo pesa ndiyo za kununua wajumbe wa NEC? Embu haraka haraka jitajie mwenyewe majina ya wajumbe wa NEC wenye shida na 3M - 5M, mpaka wajidhalilishe kuongea jambo ambalo hawaliamini mbele ya umati wote huo

Sources say some NEC members received between 3m/- and 5m/- 'to ensure that the plan to get rid of Sitta succeeded.'

Hii closing statement ndiyo ya kufa mtu, inasikitisha. Tumeona picha kwenye magazeti ya Mengi wakijaribu kutafuta best angles ili tuamni kulikuwa na watu imeshindikana, watu siyo wajinga tena.

Speaker Sitta was on Saturday accorded a hero’s welcome on returning to his Urambo parliamentary constituency in the wake of the failed plot to oust him. He vowed to soldier on with his work in the National Assembly, to ensure greater transparency and accountability in government.

Jamani vita ya ufisadi ni muhimu kwa taifa lolote, lakini ni muhimu ifnaywe bila kuonea watu fulani. Mengi anataka kutuaminisha mafisadi ni hao aliowataja yeye, bahati nzuri tukapewa facts za ufisadi wake na akabatizwa FISADI NYAGUMI, lakini zote hizo ni allegations tu ambazo zimeruhusiwa kwenye vyombo vya habari, lakini hamna mtu mwenye haki ya kumnyooshea mwenzake kidole kumuita fisadi, tusimamie sheria zetu vizuri na haya mambo hayatasumbua, UFISADI sasa hivi unatumika kama kete ya kisiasa kuwashughulikia watu wote waliokuwa karibu na JK tu. Kwa mwendo huu hatutafika popote.
 
Media ziko hovyohovyo, zinapotosha umma kwa makusudi ya kujipatia mafao, ni ufisadi uliokithiri. Ndio maana hata kesi ya zombe tuliingizwa mkenge humu na media zetu.

Kila kitu ni hovyohovyo, why??
Jf tunapaswa tunyooshe mstari kwa kutafakari kabla hatujatoa hoja zetu au hukumu zetu.

maneno mazito sana haya mkuu!
FACT!
 
Jamani vita ya ufisadi ni muhimu kwa taifa lolote, lakini ni muhimu ifnaywe bila kuonea watu fulani. Mengi anataka kutuaminisha mafisadi ni hao aliowataja yeye, bahati nzuri tukapewa facts za ufisadi wake na akabatizwa FISADI NYAGUMI, lakini zote hizo ni allegations tu ambazo zimeruhusiwa kwenye vyombo vya habari, lakini hamna mtu mwenye haki ya kumnyooshea mwenzake kidole kumuita fisadi, tusimamie sheria zetu vizuri na haya mambo hayatasumbua, UFISADI sasa hivi unatumika kama kete ya kisiasa kuwashughulikia watu wote waliokuwa karibu na JK tu. Kwa mwendo huu hatutafika popote.

mkuu umesomeka!umesomeka kwelikweli!kuna influence ya medias to some extent,kwa sababu za kibiashara!kitu ambacho ni hatari sana.
 
"Ni wazi kwamba Chenge, Lowasa, Rostam na wenzao mafisadi ndiyo wanaofanya kila linalowezekana kuzuia mijadala ya ufisadi kwa kupitia media (magazeti ya Umma, Taifa Tanzania, Tazama, Nyundo, Mtanzania, Rai nk"
Good gud, gud sana. Baba kauliza swali mama kanipa jibu ili niulizwe swali oooh swali. Mtakula mtakunywa vyoote ni ju yangu. Mmmmh! Hii kweli ni Silaha ya kumkamatia mnyonge!!!!!!!!!!!!!.
 
Media ziko hovyohovyo, zinapotosha umma kwa makusudi ya kujipatia mafao, ni ufisadi uliokithiri. Ndio maana hata kesi ya zombe tuliingizwa mkenge humu na media zetu.

Kila kitu ni hovyohovyo, why?? Jf tunapaswa tunyooshe mstari kwa kutafakari kabla hatujatoa hoja zetu au hukumu zetu.


Spot on! tungepata watu 5 tu wenye upeo kama wako jamvi hili litarudisha heshima yake iliyopotea
 
Media ziko hovyohovyo, zinapotosha umma kwa makusudi ya kujipatia mafao, ni ufisadi uliokithiri. Ndio maana hata kesi ya zombe tuliingizwa mkenge humu na media zetu.

Kila kitu ni hovyohovyo, why?? Jf tunapaswa tunyooshe mstari kwa kutafakari kabla hatujatoa hoja zetu au hukumu zetu.

Its very painful kuona watu tunashabikia hii spinning ya ndugu yetu Mzee Mengi, waandishi wa habari waliojaa urambo walikuwa ni wa IPP MEDIA, bahati mbaya maandamano yakawa a BIG BIG FLOP, ikabidi aite waandishi wa habari nyumbani kwake nidyo aongee na kesho yake akaenda kwenye mkutano wa injili tabora mjini ili anagalau Mengi apate picha zenye umati wa watu. Gazeti la serikali Habari Leo na menigne mawili yalisema masafara ulikuwa na magari mawili urambo.. Inasikitisha na inauma, nilifikiri Sitta ni kipenzi cha wananchi.

Lakini jamani tuangalie hata hii habari yenyewe:


Kwenye gazeti lao la kiswahili KULIKONI walisema vikao vingne vilifanyika Zanzibar, kwahiyo hapa unaongelea kona zote za nchi, yaani Dodoma, Dsm, Mbeya na Znz, kwa maana hii upinzani wa Spika kwenye chama chake ni mkubwa sana.. tujiulize kwanini? Tusishabikie wamenunuliwa, maana yake ndiyo easy way out siku hizi, huwezi kununua wenzako wenye akili timamu ili waseme ambayo hawayaamini, hata kama ungekuwa Bill Gates.

Halafu hii spinning kusema a reliable source bila kumtaja nidyo yale yale ya kuaminishwa mambo ili wafikishe ujumbe wao, lakini bado hiyo source inasema hana uhakika kama Lowassa na chenge walikuwa na taarifa.. maana yake nini sasa??



Yale yale niliyosema ya kununuliwa, kwahiyo mnataka kuniambia Mzee Kingunge alipewa Tsh ngapi?? Alisema Sitta hatufai na arudishe kadi yetu.


What a shame?? Tunasema leo wajumbe walipewa 3M na 5M, mimi ningekuwa mwenyekiti wa CCM ningewa-summon hili gazeti ili wathibitishe, yaani hizo pesa ndiyo za kununua wajumbe wa NEC? Embu haraka haraka jitajie mwenyewe majina ya wajumbe wa NEC wenye shida na 3M - 5M, mpaka wajidhalilishe kuongea jambo ambalo hawaliamini mbele ya umati wote huo



Hii closing statement ndiyo ya kufa mtu, inasikitisha. Tumeona picha kwenye magazeti ya Mengi wakijaribu kutafuta best angles ili tuamni kulikuwa na watu imeshindikana, watu siyo wajinga tena.



Jamani vita ya ufisadi ni muhimu kwa taifa lolote, lakini ni muhimu ifnaywe bila kuonea watu fulani. Mengi anataka kutuaminisha mafisadi ni hao aliowataja yeye, bahati nzuri tukapewa facts za ufisadi wake na akabatizwa FISADI NYAGUMI, lakini zote hizo ni allegations tu ambazo zimeruhusiwa kwenye vyombo vya habari, lakini hamna mtu mwenye haki ya kumnyooshea mwenzake kidole kumuita fisadi, tusimamie sheria zetu vizuri na haya mambo hayatasumbua, UFISADI sasa hivi unatumika kama kete ya kisiasa kuwashughulikia watu wote waliokuwa karibu na JK tu. Kwa mwendo huu hatutafika popote.

U nailed it right on the head!
 
Its very painful kuona watu tunashabikia hii spinning ya ndugu yetu Mzee Mengi, waandishi wa habari waliojaa urambo walikuwa ni wa IPP MEDIA, bahati mbaya maandamano yakawa a BIG BIG FLOP, ikabidi aite waandishi wa habari nyumbani kwake nidyo aongee na kesho yake akaenda kwenye mkutano wa injili tabora mjini ili anagalau Mengi apate picha zenye umati wa watu. Gazeti la serikali Habari Leo na menigne mawili yalisema masafara ulikuwa na magari mawili urambo.. Inasikitisha na inauma, nilifikiri Sitta ni kipenzi cha wananchi.

Lakini jamani tuangalie hata hii habari yenyewe:


Kwenye gazeti lao la kiswahili KULIKONI walisema vikao vingne vilifanyika Zanzibar, kwahiyo hapa unaongelea kona zote za nchi, yaani Dodoma, Dsm, Mbeya na Znz, kwa maana hii upinzani wa Spika kwenye chama chake ni mkubwa sana.. tujiulize kwanini? Tusishabikie wamenunuliwa, maana yake ndiyo easy way out siku hizi, huwezi kununua wenzako wenye akili timamu ili waseme ambayo hawayaamini, hata kama ungekuwa Bill Gates.

Halafu hii spinning kusema a reliable source bila kumtaja nidyo yale yale ya kuaminishwa mambo ili wafikishe ujumbe wao, lakini bado hiyo source inasema hana uhakika kama Lowassa na chenge walikuwa na taarifa.. maana yake nini sasa??



Yale yale niliyosema ya kununuliwa, kwahiyo mnataka kuniambia Mzee Kingunge alipewa Tsh ngapi?? Alisema Sitta hatufai na arudishe kadi yetu.


What a shame?? Tunasema leo wajumbe walipewa 3M na 5M, mimi ningekuwa mwenyekiti wa CCM ningewa-summon hili gazeti ili wathibitishe, yaani hizo pesa ndiyo za kununua wajumbe wa NEC? Embu haraka haraka jitajie mwenyewe majina ya wajumbe wa NEC wenye shida na 3M - 5M, mpaka wajidhalilishe kuongea jambo ambalo hawaliamini mbele ya umati wote huo



Hii closing statement ndiyo ya kufa mtu, inasikitisha. Tumeona picha kwenye magazeti ya Mengi wakijaribu kutafuta best angles ili tuamni kulikuwa na watu imeshindikana, watu siyo wajinga tena.



Jamani vita ya ufisadi ni muhimu kwa taifa lolote, lakini ni muhimu ifnaywe bila kuonea watu fulani. Mengi anataka kutuaminisha mafisadi ni hao aliowataja yeye, bahati nzuri tukapewa facts za ufisadi wake na akabatizwa FISADI NYAGUMI, lakini zote hizo ni allegations tu ambazo zimeruhusiwa kwenye vyombo vya habari, lakini hamna mtu mwenye haki ya kumnyooshea mwenzake kidole kumuita fisadi, tusimamie sheria zetu vizuri na haya mambo hayatasumbua, UFISADI sasa hivi unatumika kama kete ya kisiasa kuwashughulikia watu wote waliokuwa karibu na JK tu. Kwa mwendo huu hatutafika popote.

Unaonyesha una uchungu sana, hakika wewe ni mmoja wao. Kumbuka kila hila mnazofanya zitajulikana kwa kuwa Mungu anachukia uovu.
 
Back
Top Bottom