Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,462
- 4,364
Kwanini tukuamini wewe? tutajua vipi kama wewe siyo spinning doctor?Its very painful kuona watu tunashabikia hii spinning ya ndugu yetu Mzee Mengi, waandishi wa habari waliojaa urambo walikuwa ni wa IPP MEDIA, bahati mbaya maandamano yakawa a BIG BIG FLOP, ikabidi aite waandishi wa habari nyumbani kwake nidyo aongee na kesho yake akaenda kwenye mkutano wa injili tabora mjini ili anagalau Mengi apate picha zenye umati wa watu.
sababu zilizotolewa ni kuwa spika anaiachia mijadala ya ufisadi ijadiliwe bungeni. This is the saddest milestone point we are! Sasa kwanini tusiamini kuwa wamenunuliwa na mafisadi? Kumbuka point kubwa ya NEC ilikuwa ni kuzuia mijadala ya ufisadi au inayodhoofisha chama ndani ya bunge ila ijadiliwe ndani ya kamati ya wabunge wa CCM iliyo chini ya Waziri Mkuu. Sasa wewe unataka twende wapi wakati mambo yote yamewekwa hadharani hata kwenye maazimio ya NEC?Kwenye gazeti lao la kiswahili KULIKONI walisema vikao vingne vilifanyika Zanzibar, kwahiyo hapa unaongelea kona zote za nchi, yaani Dodoma, Dsm, Mbeya na Znz, kwa maana hii upinzani wa Spika kwenye chama chake ni mkubwa sana.. tujiulize kwanini? Tusishabikie wamenunuliwa, maana yake ndiyo easy way out siku hizi, huwezi kununua wenzako wenye akili timamu ili waseme ambayo hawayaamini, hata kama ungekuwa Bill Gates.
wewe ndo unaita spinning, lakini mwandishi na editor wake wamesema reliable source? unahoja gani ya kupinga? mwandishi analindwa na maadili na sheria juu ya kuiweka wazi source yake/wake.Halafu hii spinning kusema a reliable source bila kumtaja nidyo yale yale ya kuaminishwa mambo ili wafikishe ujumbe wao, lakini bado hiyo source inasema hana uhakika kama Lowassa na chenge walikuwa na taarifa.. maana yake nini sasa??
wewe ndo unaona Kinguge hanunuliwi, au bei ya Kigunge ipo juu sana? At least we know that Kigunge used to be socialist but these days has turned to capitalism. Jamaa ni mpebari sasa, hana imani za ki-socialist tena, hivyo ku-support bigshots ndani ya chama ndo sera yake.Yale yale niliyosema ya kununuliwa, kwahiyo mnataka kuniambia Mzee Kingunge alipewa Tsh ngapi?? Alisema Sitta hatufai na arudishe kadi yetu.
anao wanasheria wa chama, wanaweza kufungua mashtaka kama wapo tayari kushinda au kuumbuka. Haya ndo yaliyomkuta Londa na Makamba bungeni. Kipindi cha kufanya uhalifu na kusingiza ushahidi kimepitwa na wakati. Sasa hivi technologia imekuwa, werevu umeongezeka na kujiamini kumeongezeka. Nami nitafurahi kama CCM italishtaki gazeti husika ili haki itendeke, either kwa kumkama mwongo au kuiumbua na kuiua CCM kabisa mafisadi kabisa.What a shame?? Tunasema leo wajumbe walipewa 3M na 5M, mimi ningekuwa mwenyekiti wa CCM ningewa-summon hili gazeti ili wathibitishe, yaani hizo pesa ndiyo za kununua wajumbe wa NEC? Embu haraka haraka jitajie mwenyewe majina ya wajumbe wa NEC wenye shida na 3M - 5M, mpaka wajidhalilishe kuongea jambo ambalo hawaliamini mbele ya umati wote huo
Sawa lakini nani wa kuiongoza hiyo vita? kama Serikali (yenye taarifa zote tena kamili) haichukui hatua, individuals au vikundi vya watu vitachukua hatua kulingana na taarifa chache walizonazo ambazo pia zinaweza zikawa na makosa. Sasa hapa ilaumu Serikali inayokumbatia mafisadi wa Richmond/Dowans, Kagoda, CIS, Meremeta, Tangold etc. Tambua kwamba wananchi hawawezi kuacha kuchukua hatua kwa kiwango wanachoona inafaa ili angalau kuziba pengo lililoachwa wazi na wahusika yaani serikali. Umesoma kusadikika mzee? kama bado kitafute uungane na Shaban Roberts...amani vita ya ufisadi ni muhimu kwa taifa lolote, lakini ni muhimu ifnaywe bila kuonea watu fulani. Mengi anataka kutuaminisha mafisadi ni hao aliowataja yeye, bahati nzuri tukapewa facts za ufisadi wake na akabatizwa FISADI NYAGUMI, lakini zote hizo ni allegations tu ambazo zimeruhusiwa kwenye vyombo vya habari, lakini hamna mtu mwenye haki ya kumnyooshea mwenzake kidole kumuita fisadi, tusimamie sheria zetu vizuri na haya mambo hayatasumbua, UFISADI sasa hivi unatumika kama kete ya kisiasa kuwashughulikia watu wote waliokuwa karibu na JK tu. Kwa mwendo huu hatutafika popote.