mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 638
- Thread starter
- #21
Mkuu mie naona hapo ndiyo mwisho wa EL. .... Hapa sasa hata achacharike vipi....habari yake imeisha na waliommaliza ni wana ccm wenzakeyeah lakini wamemuharibia sana EL sababu ndoto zake ilikuwa siku moja kuja kuongoza nchi hii. Tangu zamani hata wakati ule baba wa taifa bado hai alionyesha utashi huo, nafikiri safari yake imeishia hapa rasmi, unless afanye Move kali ambayo itashangaza nchi sababu ana wafuasi wengi sana nyumba yake.