Baba Wawili 2012
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 413
- 336
kale malimao wewe...alafu hili jukwaa mmelifanya kama kidali poo!! unaleta umbea tuuu humu ovyo,,,,kabisa
Ahahah kuota ndio mpango mzima aliota martin Luther king kua siku moja marekani itapata rais mweusi na ikawa kweli
So let me dream and iam keeping my dream alive kua LOWASSA ndio Rais wa Tanzania
U hate it ... Poleeee
Haya Fanya timing basi
Hivi dozi ya ukichaa ya milembe ulimalizaga ndugu yangu kama hujamaliza ngoja nikuoe ya malimao 10 x 3 utaona tu na utaelwwa kua LOWASSA ndie Rais wa JAMHURI ya MUUNGANO wa Tanzania
Lowassa akutana na aibu Mkoa wa Katavi.
Lowassa alipozomewa na watu wa Katavi ktk udhamini - YouTube
Lowassa akutana na aibu Mkoa wa Katavi.
Lowassa alipozomewa na watu wa Katavi ktk udhamini - YouTube