Lowassa azomewa mkoa wa Katavi katika udhamini

Lowassa azomewa mkoa wa Katavi katika udhamini

Acha azomewe naye kazidi,hiyo ni dharau hadi kwa mwenyenyumba,Je?mtu akienda munduli yeye atafurahi

Ahaaaa lowasaaaaaaaaa ninkibokooooo hajawahi tokea katika historia ya Tanzania yani watetemesheeee baba
 
lowasa hana kipaji cha uongozi ila anakipaji cha uongo.
Uwezo wake ni kuongoza ng'ombe sio watu.
Lowasa ni jipu, ukitumbua vibaya utachafuka wewe, linahitaji timing sana

Haya Fanya timing basi


Hivi dozi ya ukichaa ya milembe ulimalizaga ndugu yangu kama hujamaliza ngoja nikuoe ya malimao 10 x 3 utaona tu na utaelwwa kua LOWASSA ndie Rais wa JAMHURI ya MUUNGANO wa Tanzania
 
Hivi likijitokeza taahira moja likanya pale mbele ya ikulu mtamshutumu rais? Tuwe na uwezo wa kufikiria nje ya box

Lowasa hakutukanwa na umma Bali ni vichaa wawilo ama watatu hivi ndo waliropoka


Yani we acha tu kuna watu hawajielewi ilimradi ana account jf basi ilimradi na yeye a post tu


Hivi hakunaga tiba ya kuzibua ubongo kwa wale amabo ubongo umeganda?


Maana mleta mada anahitaji hayo matibabu ya kuzibuliwa ubongo

LOWASSA ndio habari ya Tanzania
 
naunga mkono hoja,LOWASA anayeongoza kwa kashifa mbaya nchi nzima kuungwa mkono na watu kamiki haiwezekani.
1, lowasa aliyesemekana kuanda mpago wa kumpa sumu mwakyembe,
2, lowasa ailiyesemekana kuanda mpago wa kumpa sumu mwandosya kuondoa list ya urais ya nyerere
3, lowasa ailyeanda mpago wa kumuvua wenyekiti wa chama kikwete ili akose nguvu ya kuongoza chama wakati anajua huo ndo mfumo ambao umekifanya chama kuwepo 50yrz
4, richmond

hayo yote mabaya wanamtuhumu yeye tu then watu wanasema chaguo la mungu labda la shetani.

HADITHI CHAFU ZA KUFIKIRIKA ZENYE UBUNIFU UNAOFANANA NA UKWELI/ KWANINI VITA IWE KWA LOWASSA TU/ WENGINE MBONA HAMUWAPIGI MAWE

****MUSHINDWE NA MTOWEKE KTI USO WA NCHI****/i
 
#SIJAWAHI ONA MTU MPUUZI KAMA HUYU ALIYEPOST HII VIDEO YAANI YEYE NDIYE ANAYEICHUKUA HIYO VIDEO NA NI YEYE NDIYE ANAYEISEMEA KWA NYUMA / hatumtaki aende!!!/ what's types of shits

Kuzomewa amezomewa jaman hadi yule mjumbe amejaribu kutuliza vizomeo kwa kusema ccm oyeee na amesema kabisa kama hamtaki kumsikiliza basi nitamruhusu aende. amezomewa hakukua na good welcome hiyo ndo reality.
 
Acha upuuzi mtoa post umetumwa na nani? Watu wameshaujua ukweli mmeongea sana kuhusu Richmond watanzania wengi wameshaujua ukweli ss mnahangaika sasa unawatuma wahuni wazomee halafu unawarecord acha ujinga kamwambie aliyekutuma mkajipange tena
 
Mnafanya fitna nyingi ila EDDO ndiye chaguo letu .

Watanzania kila mahali wanamtaka Eddo
 
Yani we acha tu kuna watu hawajielewi ilimradi ana account jf basi ilimradi na yeye a post tu


Hivi hakunaga tiba ya kuzibua ubongo kwa wale amabo ubongo umeganda?


Maana mleta mada anahitaji hayo matibabu ya kuzibuliwa ubongo

LOWASSA ndio habari ya Tanzania

kama unampenda lowassa ungekuja kwa hoja siyo kebehi, ata ukikataa hakuzomewa itasaidia nini? iyo petroli aliyokuchangia kwenda naye Katavi ni kesho tu itakuwa imeisha, kwa nini unakuwa mtumwa kwa sabab ya umaskini wako?
 
Chadema chama cha wahuni sana tu.
Yaani viroba vinawasumbua sana na mwaka huu mtakoma
 
Haya Fanya timing basi


Hivi dozi ya ukichaa ya milembe ulimalizaga ndugu yangu kama hujamaliza ngoja nikuoe ya malimao 10 x 3 utaona tu na utaelwwa kua LOWASSA ndie Rais wa JAMHURI ya MUUNGANO wa Tanzania

Endelea kuota hivohivo..........Nimeshakunote jina lako stigma
 
kama unampenda lowassa ungekuja kwa hoja siyo kebehi, ata ukikataa hakuzomewa itasaidia nini? iyo petroli aliyokuchangia kwenda naye Katavi ni kesho tu itakuwa imeisha, kwa nini unakuwa mtumwa kwa sabab ya umaskini wako?

Mtumwa wewe wa fikra zako mwenyewe na nafsi yako ambae pia ni mbinafsi kwa chuki zako binafsi dhidi ya lowassa

Wewe hoja gani ulioitoa hapo ya maana mpaka ujibiwe kwa hoja kuitwa kunuandama baba wa watu kwa majina ya ajabu tupisheni huko

Ila LOWASSA ndio rais wa Tanzania yani ndio hivyo
 
Endelea kuota hivohivo..........Nimeshakunote jina lako stigma

Ahahah kuota ndio mpango mzima aliota martin Luther king kua siku moja marekani itapata rais mweusi na ikawa kweli


So let me dream and iam keeping my dream alive kua LOWASSA ndio Rais wa Tanzania

U hate it ... Poleeee
 
Kuzomewa amezomewa jaman hadi yule mjumbe amejaribu kutuliza vizomeo kwa kusema ccm oyeee na amesema kabisa kama hamtaki kumsikiliza basi nitamruhusu aende. amezomewa hakukua na good welcome hiyo ndo reality.

Always haters illusinate things.

LOWASSA vivaaaaaa watetemesheeeee
 
Back
Top Bottom