Lowassa azomewa mkoa wa Katavi katika udhamini

Lowassa azomewa mkoa wa Katavi katika udhamini

Mbona ni wahuni wachache tu wanaozomea?huu mtindo wa wahuni kufanya fujo kwenye ni wa kudhauriwa na kupingwa na kila mtu.

Japo simuungi mkono Lowassa lakini siwezi kuunga mkono zaidi kufanyiwa fujo kwenye mikutano yake wala ya mwanasiasa mwingine yeyote.Ni kiwango kikubwa cha ukosefu wa ukomavu wa kisiasa na ukosefu wa ustaarabu wa kawaida.Shame!

Chaggadema ndio aina ya Watu wliopo Kama haumtaki mtu si ulale nyumbani kwako siku ya uchaguzi unatosa inatosha
 
Burton86jm

Hapa ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia au.?
 
Last edited by a moderator:
Mwizi huyo Wangepiga na kuchoma moto jiz kuu hilo


naunga mkono hoja,LOWASA anayeongoza kwa kashifa mbaya nchi nzima kuungwa mkono na watu kamiki haiwezekani.
1, lowasa aliyesemekana kuanda mpago wa kumpa sumu mwakyembe,
2, lowasa ailiyesemekana kuanda mpago wa kumpa sumu mwandosya kuondoa list ya urais ya nyerere
3, lowasa ailyeanda mpago wa kumuvua wenyekiti wa chama kikwete ili akose nguvu ya kuongoza chama wakati anajua huo ndo mfumo ambao umekifanya chama kuwepo 50yrz
4, richmond

hayo yote mabaya wanamtuhumu yeye tu then watu wanasema chaguo la mungu labda la shetani.
 
Hahahaaaaa!!mbona ni ww ulochukua video na watu wako wa3???wale wengine wanashangiliaa???bado haijaka poa wangekua hawamtaki wasingeenda!!jaman tuache uwongoo hautufikishi kokote zaidi unaumbuka kama hapo ww mwenye umeona uko peke yako umenyamazaaa.....saut ya mungu sauti ya watu....viva lowasa vivaaaaaaaaa
 
Nadhani jana mmeona mafuriko, Pinda mwenyewe asha salimu amri, LOWASSA mbele kwa mbele
 
mbona ni ww tu unasema aenda wa watu wawili iv!!!!
 
Hahahahahahhah...mwaka huu utapata raha sana ukiwa na mgombea The Great kama Lowassa...wapinzani wake wanajiuliza maswali halafu wanajipa majibu...KATAVI Lowassa kapata wadhamini 4000..sasa aliezomea labda ni wewe na familia yako ndugu...samahani sisi waleeeeee HII NDIYO SAFARI YA MATUMAINI...ENL2015
 
Hahahahahahhah...mwaka huu utapata raha sana ukiwa na mgombea The Great kama Lowassa...wapinzani wake wanajiuliza maswali halafu wanajipa majibu...KATAVI Lowassa kapata wadhamini 4000..sasa aliezomea labda ni wewe na familia yako ndugu...samahani sisi waleeeeee HII NDIYO SAFARI YA MATUMAINI...ENL2015[/QUOTE

Tukisema lowasa ni mgonjwa wa akili vibara wake wanabisha ccm nchi nzima inataka wadhimini 450,yeye anakusanya maelf anayapeleka wapi? hata taratibu za chama hazijui eti anataka nchi,wapo engine wangeamua kujitangaza Kama yeye nchi ingizizima,lkn wajiamini hawaitaji matangazo na wanaelewa taratibu za chama,kizuri cha juiza name kibaya chajitembeza
,
 
lowasa hana kipaji cha uongozi ila anakipaji cha uongo.
Uwezo wake ni kuongoza ng'ombe sio watu.
Lowasa ni jipu, ukitumbua vibaya utachafuka wewe, linahitaji timing sana
 
Watanzania wanamhitaji Lowassa, Lowassa anabebwa na sifa zake za kiutendaji sasa nyinyi mnaoleta maneno ya fitna mtabaki ivyoivyo
 
Hivi likijitokeza taahira moja likanya pale mbele ya ikulu mtamshutumu rais? Tuwe na uwezo wa kufikiria nje ya box

Lowasa hakutukanwa na umma Bali ni vichaa wawilo ama watatu hivi ndo waliropoka
 
Acha azomewe naye kazidi,hiyo ni dharau hadi kwa mwenyenyumba,Je?mtu akienda munduli yeye atafurahi
 
Hahahahahahhah...mwaka huu utapata raha sana ukiwa na mgombea The Great kama Lowassa...wapinzani wake wanajiuliza maswali halafu wanajipa majibu...KATAVI Lowassa kapata wadhamini 4000..sasa aliezomea labda ni wewe na familia yako ndugu...samahani sisi waleeeeee HII NDIYO SAFARI YA MATUMAINI...ENL2015[/QUOTE

Tukisema lowasa ni mgonjwa wa akili vibara wake wanabisha ccm nchi nzima inataka wadhimini 450,yeye anakusanya maelf anayapeleka wapi? hata taratibu za chama hazijui eti anataka nchi,wapo engine wangeamua kujitangaza Kama yeye nchi ingizizima,lkn wajiamini hawaitaji matangazo na wanaelewa taratibu za chama,kizuri cha juiza name kibaya chajitembeza
,
kanone

LOWASSA hajalazimisha watu kumdhamini ila watu kwa mapenzi yao wanajitokeza kumdhamini.na siasa siku zote ni watu na wanaomdhamini wote ni wana chama wa ccm LOWASSA anakubalika ndani na nje ya chama

Mtalala mdomo wazi mwaka huu mijusi iwangie na kutoka

Mbona akina January wamedhaminiwa na watu 1600 hamsemi?

Team mashetani mwaka huu mmeshindwaaaaaaa


Mtuache watanzania na LOWASSA wetu miaka 800000
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom