Fisaaaadiiii huyoooooo
MAPOKEZI YA MH. LOWASSA MJINI BUKOBA HAYANA MFANO, AZIDI KUDHAMINIWA KWA KISHINDO http://matukiosiasa.blogspot.com/2015/06/mapokezi-ya-mh-lowassa-mjini-bukoba.html
Fisaaaadiiii huyoooooo
Mtumwa wewe wa fikra zako mwenyewe na nafsi yako ambae pia ni mbinafsi kwa chuki zako binafsi dhidi ya lowassa
Wewe hoja gani ulioitoa hapo ya maana mpaka ujibiwe kwa hoja kuitwa kunuandama baba wa watu kwa majina ya ajabu tupisheni huko
Ila LOWASSA ndio rais wa Tanzania yani ndio hivyo
ingelikuwa misaada anayowapita lowassa ndo yenye power kumfanya awe rais angekuwa tokea 2005. mwache azomewe tutajuwa july kama ukoo wa lowassa utamsaidia kuwa rais JMT
MAPOKEZI YA MH. LOWASSA MJINI BUKOBA HAYANA MFANO, AZIDI KUDHAMINIWA KWA KISHINDO MATUKIO - SIASA: MAPOKEZI YA MH. LOWASSA MJINI BUKOBA HAYANA MFANO, AZIDI KUDHAMINIWA KWA KISHINDO
EBU JIFUNZENI KUDADAVUA MAMBO, WATU HAO WANAJITOKEZA KILA SIKU WANAPOENDA WAGOMBEA WA CCM, EBU MSITAKE KUYAKUZA MAMBO WAKATI HAMNA KITU CHA MAANA, WA AJABU AJABU SANA NYIe
Mwizi huyo Wangepiga na kuchoma moto jiz kuu hilo
#SIJAWAHI ONA MTU MPUUZI KAMA HUYU ALIYEPOST HII VIDEO YAANI YEYE NDIYE ANAYEICHUKUA HIYO VIDEO NA NI YEYE NDIYE ANAYEISEMEA KWA NYUMA / hatumtaki aende!!!/ what's types of shits
Imekugusa kwenye ugoko kong'ooooo
LOWASSA habari nyingine hyo inaonyesha jinsi gani anakubalika mbona wengine hawapokelewi na umati mkubwa
Oyoooo soma alama za nyakati that is Edward Lowassa the presidaaaa
UYO FISADI NI MAARUFU NDANI YA CCM UKO UFISADINI, SISI UKAWA TUNAMCHUKULIA KAMA KUKU WA SIKUKUU AMBAPO UPEWA MAJI, KURUSHIWA MAHINDI ILI AJIONE KUWA ANAPENDWA SANA, IKIFIKA SIKU RASMI NDO MTAELEWA UKAWA NI LIDUBWANA LENYE ROHO MBAYA SANA HASA KWA MIJIZI PIA MIFISADI KAMA UYU RAFIKI YAKE CHENGE MAKENGEZa
Lowassa akutana na aibu Mkoa wa Katavi.
Lowassa alipozomewa na watu wa Katavi ktk udhamini - YouTube
[video=youtube;ffx0NhfoT6c]https://www.youtube.com/watch?v=ffx0NhfoT6c[/vi
Mwenye masikio amesikia
Kumbuka wapo watu wanamasikio lakini hawasikii
Wanamacho lakini hawaoni
Palipo na watu wengi hapakosi maovu
naunga mkono hoja,LOWASA anayeongoza kwa kashifa mbaya nchi nzima kuungwa mkono na watu kamiki haiwezekani.
1, lowasa aliyesemekana kuanda mpago wa kumpa sumu mwakyembe,
2, lowasa ailiyesemekana kuanda mpago wa kumpa sumu mwandosya kuondoa list ya urais ya nyerere
3, lowasa ailyeanda mpago wa kumuvua wenyekiti wa chama kikwete ili akose nguvu ya kuongoza chama wakati anajua huo ndo mfumo ambao umekifanya chama kuwepo 50yrz
4, richmond
hayo yote mabaya wanamtuhumu yeye tu then watu wanasema chaguo la mungu labda la shetani.