Lowassa awageuka tena Polisi

Akiwa kwenye mikutano yake ya kampeni ya awali alisema ataboresha maslahi ya polisi. Leo jijini Tanga amesema atawapeleka mahakama ya uhalifu wa kivita icc kwa madai ya kuwanyanyasa bodaboda! Hivi huwa anapoteza kumbukumbu or?

Hivi jamaii forum haina jukwaa la watoto wanaojifunza siasa?
 
Hapo nimeelewa maana mi alipoongea kauli hiyo nilikua najiuliza maswali sana mzee wetu anamaanisha nini na kauli ingine alisema ukitaka kuoa hata wake watatu itakua rahisi sana
 
Akiwa kwenye mikutano yake ya kampeni ya awali alisema ataboresha maslahi ya polisi. Leo jijini Tanga amesema atawapeleka mahakama ya uhalifu wa kivita icc kwa madai ya kuwanyanyasa bodaboda! Hivi huwa anapoteza kumbukumbu or?
Mi ni si mwanachama wa chama chama chochote ila nafikir kuboresha ni haki yake na wajibu wake kama kiongoz na kuwapeleka icc wavunja sheria pia ni wajibu wake kama kiongozi. Nina wasi wasi na uelewa wako.
 
Akiwa kwenye mikutano yake ya kampeni ya awali alisema ataboresha maslahi ya polisi. Leo jijini Tanga amesema atawapeleka mahakama ya uhalifu wa kivita icc kwa madai ya kuwanyanyasa bodaboda! Hivi huwa anapoteza kumbukumbu or?

Acha uvivu Wa kuchambua mambo, kwa hiyo ulitaka awapongeze. Sijaelewa kwani mtu akimtendea mwingine isivyo anapongezwa et ehh. Tafakari chukua hatua.
 
Akiwa kwenye mikutano yake ya kampeni ya awali alisema ataboresha maslahi ya polisi. Leo jijini Tanga amesema atawapeleka mahakama ya uhalifu wa kivita icc kwa madai ya kuwanyanyasa bodaboda! Hivi huwa anapoteza kumbukumbu or?

wewe ndiye unatatizo la kuconnect dots and sentences...nini kilipelekea akasema habari za ICC? mbona hilo husemi?
 
Mi ni si mwanachama wa chama chama chochote ila nafikir kuboresha ni haki yake na wajibu wake kama kiongoz na kuwapeleka icc wavunja sheria pia ni wajibu wake kama kiongozi. Nina wasi wasi na uelewa wako.

Huna lolote we ni chadema tu! Hata mimi nina wasiwasi na uelewa wako.
 
Akiwa kwenye mikutano yake ya kampeni ya awali alisema ataboresha maslahi ya polisi. Leo jijini Tanga amesema atawapeleka mahakama ya uhalifu wa kivita icc kwa madai ya kuwanyanyasa bodaboda! Hivi huwa anapoteza kumbukumbu or?


Kuboresha maisha ya Police Na makosa ya Police kwa Raia Ni vitu 2 tofauti, hata kwa akili yako ndogo umeshindwa kutofautisha Hilo?
 
Akiwa kwenye mikutano yake ya kampeni ya awali alisema ataboresha maslahi ya Polisi. Leo Jijini Tanga amesema atawapeleka mahakama ya uhalifu wa kivita ICC kwa madai ya kuwanyanyasa bodaboda.

Hivi huwa anapoteza kumbukumbu or?

Wewe ndiyo umepoteza kumbukumbu. Hakusema kuwa atawaboreshea maslahi kwa kutenda uhalifu. Jaribu kukumbuka
 
Ccm tunajidhalilisha sana. Kwa ni ni ndugu zangu mnashindwa kuelewa hata maswala yaliyo dhahiri?


Kuboresha maslahi hakuna maana ya kufuga uharifu.

Kushughulikia waharifu hakuzuii kuboresha maslahi.

Huo ndio utawala bora na utawala wa sheria.


Hatua za kisheria dhidi ya wahalifu, hazikinzani hata kidogo ya uboreshaji wa mazingira.


Unaposhughulikia wahalifu katika jamii, haina maana kwamba jamii yote uiingize kwenye hatia na adhabu.

Hao wahalifu wanaoshughulikiwa, ni binadamu pia ambao wanastahili kuboreshewa maisha yao na familia zao, lakini pia wanapaswa kuwajibika kwa makosa yao. Nani aliyesema hukumu ya mharifu ni kutokumpa haki yake?

Hii ni mentality iliyojengwa na jeshi la polisi chini ya ccm. Kwamba polisi anaweza kumpiga mtu na kumtesa mtuhumiwa hata kumdhalilisha. Serikali ya ccm inaweza wafungwa katika magereza mabovu yenyy hali hatarishi kwa maisha yao wakati mahakama haikuwahukumu kuishi maisha hatarishi.

Na hapa ndipo mwanzo wa kuona tofauti ya wenzetu UKAWA na sisi ccm. Tujaribu kujifunza kwa UKaWA. Tunapokurupuka na kuropoka ropoka tunawapa scores na sisi tunazidi kushuka chini kwamba hakuna tunalolielewa.

UKAWA wewe
 
Kuboresha maisha ya Police Na makosa ya Police kwa Raia Ni vitu 2 tofauti, hata kwa akili yako ndogo umeshindwa kutofautisha Hilo?

Police hawawezi kumkamata bodaboda bila kosa, na laiti ungekuwa mkweli, hakuna watu wanaovunja sheria za barabara kama bodaboda!
 
Acha uvivu Wa kuchambua mambo, kwa hiyo ulitaka awapongeze. Sijaelewa kwani mtu akimtendea mwingine isivyo anapongezwa et ehh. Tafakari chukua hatua.

Ukawa wengi hamjuia hata kwa nini mnampenda Lowasa, kwa hiyo mnaweza kubishana mpaka asubuhi bila hoja za msingi. Mkapimwe.
 
Back
Top Bottom