Antonov 225
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 311
- 45
Akiwa kwenye mikutano yake ya kampeni ya awali alisema ataboresha maslahi ya polisi. Leo jijini Tanga amesema atawapeleka mahakama ya uhalifu wa kivita icc kwa madai ya kuwanyanyasa bodaboda! Hivi huwa anapoteza kumbukumbu or?
Hivi jamaii forum haina jukwaa la watoto wanaojifunza siasa?