nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Kwa kweli kuna maisha baada ya uchaguzi lakini wanomtesa huyu Bwana kwa kutaka kura Mungu atawahukumu, Hasahasa daktari wake. Alipashwa kuwa kwenye matibabu na mapumziko ya kutosha sana sio nginjanginja hii.
Na ww acha uongo zipo vespa zinakodishwa Zanj
sasa mm ndio nilikuwepo mkutanoni hapo nime edit tu.. Alikuwa akizungumzia boda boda upande wa pemba... Mzee anatia huruma kwa kweli.
labda wa mkeo!
kanjanja tu...eti 'he have..badala ya he has..mnajidai kuhoji kiingereza cha magufuli mtu msomi wa Phd. wakati mko kaput kinoma. watu wajinga hadi mnahoji kiingereza cha mhitimu Phd udsm...mizungu mazingaombwe yenu mwisho barabarani. hapa kazi tu oct 25 tunachagua tingatinga magufuli.
sasa una edit nini? Wewe mwongo sana maana hiyo thread yako ulikusudia kuonyesha kwamba lowassa kusema bodaboda pemba ni kukosea ukasahau hata hizo vespa ni bodaboda..hata hivyo lowassa anagombea urais wa jamuhuri ya muungano wa tanzaia anaweza kuongelea maswala ya kitaifa popote....ccm mnatia aibu sana mwaka utafikiri ninyi ndio wapinzani
Huyu mzee kadri mda unavyosonga mbele naona hali yake inazid kuwa mbaya... Ni pale akiwa kisiwani Pemba alipotamka *BODA BODA WOTE NITAWAWATETEA * ikabidi wananchi wamshtue kwa kumwambia mzee Pemba hamna boda boda.... Ikambidi aombe radhi na kuendelea na mambo mengine.... Kukariri Kubaya jaman.
Huyu mzee kadri mda unavyosonga mbele naona hali yake inazid kuwa mbaya... Ni pale akiwa kisiwani Pemba alipotamka *BODA BODA WOTE NITAWAWATETEA * ikabidi wananchi wamshtue kwa kumwambia mzee Pemba hamna boda boda.... Ikambidi aombe radhi na kuendelea na mambo mengine.... Kukariri Kubaya jaman.
Akili yako ni fuuupiii kama kidudu chako
Punguani weNime edit kwa sababu alikuwa anaongea utumbo mwingi,vesper na bodaboda ni vitu viwili tofauti hasa kwa huku Zenj, kama hujui kitu kaa kimya.
Punguani we
Nime edit kwa sababu alikuwa anaongea utumbo mwingi,vesper na bodaboda ni vitu viwili tofauti hasa kwa huku Zenj, kama hujui kitu kaa kimya.
Una akili fupi sana, zanzibar ni sehemu ya muungano. He have to speak national matters sio ishu za jikoni kama akina magufuli kusonga ugali!