proof ya kufilisika. huna hoja unatapika mbege kama wachg wakilewa hiyo pombe yao. huna lolote chuki tu na ukabila. ikulu mtaiona tu sio kutaka kuweka fisadi mfanye ulanguzi.
Keep on dreaming by time u wake up U'll find urself dressless early in the morning at Jangwani cheering Dr Magufuri being sworn as the President of United Republic of Tanzania.
Nahisi hujawahi hata kufika Zanzibar ww.... Kwa taarifa yako hakuna vesper zinazofanya biashara Zenj.... Tatzo Lowasa amezidi kukariri, hadi sera mmmh! Majanga kwa kweli
Hah hah haaa. Kweli dawa imeshawaingia na kukolea, ... yaani magamba yoote yameshikwa sehem sehem pabaya. Hata watoto wadogo (yes, there are also big or adult children like Magu-Fool) walijua hiloo ati!!!!!
Hata hivyo ukilinganisha na ya magufuli hiyo ni cha mtoto. Magufuli akihutubia aliwambia wananchi kuwa atawajengea madaraja..wakamwambia hapa mbona hakuna mito....akadakia hata mito nitawaletea.
Huyu mzee kadri mda unavyosonga mbele naona hali yake inazid kuwa mbaya... Ni pale akiwa kisiwani Pemba alipotamka *BODA BODA WOTE NITAWAWATETEA * ikabidi wananchi wamshtue kwa kumwambia mzee Pemba hamna boda boda.... Ikambidi aombe radhi na kuendelea na mambo mengine.... Kukariri Kubaya jaman.