DoubleOSeven
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 661
- 145
Old wine rebottled and rebranded under the cellars of the same chateau! Denomination Monduli Controlee!
Nchi yoote hii, watu woote hawa, mnayemuona ni huyo TU?
Naamini kabisa wanaofikiri nje ya boksi wanaweza kuona mbali zaidi. Pamoja na umuhimu wa kumpata kiongozi mwenye thubutu ya utoaji maamuzi magumu binafsi naamini matatizo ya Tz ni zaidi ya hapo. Nawashangaa sana wanaohubiri ati anahitajika DICTATOR awamu ijayo. Ijulikane madikteta ni pamoja na wendawazimu kina Idi Amin Dada, Sadam Hussein, Pinochet, General Franco, Stalin, Bokassa, Mobutu, Mengistu, Mugabe et al! Eeh? What a load of most foul hogwash.
Karne hii ya 21?
Sasa nyie mnaopiga debe kuhusu huyu jamaa niambieni ana sera gani??? Atanieleza nini katika kunipunguzia msululu wa matatizo ya ugumu wa maisha yangu ya kila siku? afya, Chakula bora, Elimu bora na malazi bora? Uchumi wa nchi hii ataufanyia nini ili hayo yawezekane?
iweje watu wazima na akili zao tuishie kupiga debe tu ati flani anafaa bila kuzungumzia ni kwa vigezo gani? How do you meter that?
Nchi yoote hii, watu woote hawa, mnayemuona ni huyo TU?
Naamini kabisa wanaofikiri nje ya boksi wanaweza kuona mbali zaidi. Pamoja na umuhimu wa kumpata kiongozi mwenye thubutu ya utoaji maamuzi magumu binafsi naamini matatizo ya Tz ni zaidi ya hapo. Nawashangaa sana wanaohubiri ati anahitajika DICTATOR awamu ijayo. Ijulikane madikteta ni pamoja na wendawazimu kina Idi Amin Dada, Sadam Hussein, Pinochet, General Franco, Stalin, Bokassa, Mobutu, Mengistu, Mugabe et al! Eeh? What a load of most foul hogwash.
Karne hii ya 21?
Sasa nyie mnaopiga debe kuhusu huyu jamaa niambieni ana sera gani??? Atanieleza nini katika kunipunguzia msululu wa matatizo ya ugumu wa maisha yangu ya kila siku? afya, Chakula bora, Elimu bora na malazi bora? Uchumi wa nchi hii ataufanyia nini ili hayo yawezekane?
iweje watu wazima na akili zao tuishie kupiga debe tu ati flani anafaa bila kuzungumzia ni kwa vigezo gani? How do you meter that?