ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,728
- 34,850
Hili ni balaa jamani...!!!
Hapo watu hawajatangaziwa kuhusu ujio wake wala nini, Watu wananusa kila alipo huyo Lowassa. Kweli hakuna namna, Huwezi kuyazuia Mafuriko kwa Viganja vya mkono...!!!
Hivi mtu unaanzaje kuwa Mwanaccm kwa Mfano!!!
BACK TANGANYIKA
Upo sahihi mkuu habari ya EL kuwepo kitaa hicho watu hawakuwa na taarifa rasmi lkn wamejaa balaa! mafuriko haya
Tena nawapenda sana wapinzani wangu wa celebrities siku hizi.
Ila ni wale ambao wako UKAWA tu, wengine unyama unyamani.
Hujui kusoma alama za nyakati, zamu yenu kukatwa na wananchi, acha utani inchi imezungukwa na misitu lkn watoto wa shule za msingi wanakaa chini! ? Chama kipo madarakani miaka hamsini? hapana waache uchawiHaya mazingaombwe kwa tuliokuwa tunamfuatilia mamvi kabla hajakatwa pale dodoma tunajuwa mwisho wake. Lazima ATAKATWA tu Mungu anawapenda watanzania na nchi yao hawezi kuruhusu majambazi yaingie ikulu.
labda ww ndo hukuwa na taarifa
Nataitafuta ile T-shirt ya CDM aisee ni nzuri niaje
Usilalamike kama ww ni ukawa pamoja, ila kama ww ni ccm tambaa kimpango wako.
Ngoja nimsaidie bro wangu though si official ila nina uhakika Azam wataonyesha
wamejipanga walionyesha hata uchukuaji wa fomu kwa magufuri pamoja na
mkutano mkuu wa chadema
Lazima utakuwa katili teh teh.