Lowassa atakavyoibuka kidedea kwenye mdahalo

Lowassa atakavyoibuka kidedea kwenye mdahalo

Mimi nawashangaa ;sana watu wa xxm, kwani kusimam muda mrefu ndo kujua mambo, akili na kusimama havina uhusiano kabisa, mimi najua Lowassa anaifahamu Tanzania sana kuliko Magufuli, amekuwa kwenye system muda mrefu sana toka 1977, Magufuli ndo kwanza ana miaka 20 kwenye serkali katika utumishi wa maamuzi zaidi ya kuwa Mwalimu wa PCM kwa muda mrefu. Sijui kama hata anajua matatizo ya Watz katika mapana yake. Nafikiri kipindi hiki hatuangalii sana nani kakaa sna serikalini bali tunataka kuondoa mfumo xxm, tunataka hii miaka hamsini tuanze tena upya. China walipata uhuru wao mwaka 1945, lakini baada ya miaka hamsini China wamebadilika sna, hawakuhitaji miaka mia moja kupiga hatua, ila naona sisi kama tutauacha huu mfumo xxm will take MILENIA kufika walipo china sasa.
 
Ni mfumo ambao hata kufikiria tu hauna, wewe umewahi ona wapi nchi haina Think tank, haina instutition ambazo zinakuza na kuapply knowledge za wasomi wao wenyewe zaidi ya kupiga kelele kwenye majukwaa ya siasa, utafikiri siasa ni kitu cha maana, lazima ili nchi iendelee iwe na think tank ya watu ambao they can take a country from dummed stage na kupiga hatua ya maendeleo. Maendeleo hayawezi kuja kwa raisi wetu kusafiri kila kukicha. Think tank ndo inastrategisena kumastermind maendeleo ya nchi.........hizo siasa mpaka raisi wa nchi nasema anamjua mhalifu wa richmond ujue nchi imekosa watu wanaofikiri na ambao wangemshauri raisi vizuri ipasavo. Lets change.
 
Hakuna mtu anayejua kucheza vzr na siasa ya Tanzania. Lowassa ni mastermind anajua watanzania ni washabiki wa matukio.

Anachofanya lowassa na kambi yake nikuwaingiza wapinzani wake kwenye angel kichwa kichwa kana kwamba hataki mdahalo then aibuke kwenye mdahalo na kujibu maswali vzr.

Ni imani yangu mdahalo hauna tofauti na maswali aliyoulizwa Dodoma nyumbani kwake akajibu vzr, kwa uzoefu wake aliokuwa nao kama waziri mkuu mstaafu anazijua vzr sector zote hawezi kushindwa kujibu swali.

Kuhusu ufisadi bado anao wigo mpana wa kulieleza vzr kama alivyokuwa anasema ni mamlaka ya juu imehusika

Binafsi sioni swali litakalimshinda mzee wetu ataibuka kidedea.


Lowassa2015
Akiwekw kwenye mdahalo kwa muda wa saa 1 huku amesimama mimi sitakula mwaka mzima.
 
Angel=angle
Labda Apewe Maswali Wiki 1 Kabla Ndo Atashinda Mdahalo.Afu Huyu Mbatia Kiongozi Mkubwa Lakini Hoja Finyu Kweli,hivi Kweli Mdahalo Wa Urais Ushindanishwe Kati Ya Wenyeviti Wa Vyama Na Sio Wagombea Wenyewe?Hivi Huyu Zimetimia Kweli?
 
Kama mtu hawezi kujibu hoja na badala yake hukumbilia matusi basi ni dalili ya mtu huyo kukata tamaa na anaelekea kushindwa
 
Angel=angle
Labda Apewe Maswali Wiki 1 Kabla Ndo Atashinda Mdahalo.Afu Huyu Mbatia Kiongozi Mkubwa Lakini Hoja Finyu Kweli,hivi Kweli Mdahalo Wa Urais Ushindanishwe Kati Ya Wenyeviti Wa Vyama Na Sio Wagombea Wenyewe?Hivi Huyu Zimetimia Kweli?

Hivi wewe unaona kati yao kuna mwenye akili bas labda mbowe aliyeweza kucheza na akili zao wote
 
Mdahalo uhusishe na wabunge na madiwani.. Angalizo msije mkakimbia kama mchakato majimboni..
 
Tufike mahali tuwe na uwezo wa kujiongeza mi nadhani uraisi ni zaidi ya kusimama na kutetea unachokiamini.. naungana na mleta hoja ya kwanini Lowassa anaeza mgaragaza mpinzani wake.. hii itakuwa inakuwa kama mazoezi ya mpira kati ya mabeki(ccm) na washambuliaji (ukawa).. mmoja atakuwa anashambulia kwa hoja za huyu kushindwa kutimiza ahadi za miaka nenda rudi huku ukawa akitoa hoja za nitawafanyia nini mkinipa ridhaa

Hahahahaha macherehani
 
Lowasa ni mweupeee mno kichwani wamuache tyu kapi wa watu aendelee kutembelea nyota za watu wenye hasira dhidi ya ccm ila kiukweli lowasa nikapiiii
 
Lowasa hawezi mdahalo Jamani muoneane huruma kama mtu ni mzaifu isiwe njia ya kutaka kumuhujumu kisiasa hata kama mimi sio Ukawa lakini kwa hili mnafanya Makosa lazima muangalie afya yake kwanza kama hairuhusu basi mna achana na mdahalo kwani sio lazima uwepo mdahalo
 
Hakuna mtu anayejua kucheza vzr na siasa ya Tanzania. Lowassa ni mastermind anajua watanzania ni washabiki wa matukio.

Anachofanya lowassa na kambi yake nikuwaingiza wapinzani wake kwenye angel kichwa kichwa kana kwamba hataki mdahalo then aibuke kwenye mdahalo na kujibu maswali vzr.

Ni imani yangu mdahalo hauna tofauti na maswali aliyoulizwa Dodoma nyumbani kwake akajibu vzr, kwa uzoefu wake aliokuwa nao kama waziri mkuu mstaafu anazijua vzr sector zote hawezi kushindwa kujibu swali.

Kuhusu ufisadi bado anao wigo mpana wa kulieleza vzr kama alivyokuwa anasema ni mamlaka ya juu imehusika

Binafsi sioni swali litakalimshinda mzee wetu ataibuka kidedea.


Lowassa2015

Lowasa kawatupa mbali sana wagombea wengine watakachomzidi ni kuwa hataweza kusimama muda mrefu sana lkn kwa nondo za Kichwani namuonea huruma mgombea wa CCM.maana atabeba aibu
 
kama anaweza kukimbia mchakamchaka,je atashindwaje kusimama lisaa limoja?,,,lowasa anacheza na mind za ccm, zitabak siku 10 atapiga kazi ajabu

Lowassa ni mjanja kushinda CCM wote,tangu lini Akina mkapa,mkwere,Lusinde wakamzidi ujanja Lowassa atawakimbiza mno
 
Yule mzee ni mgonjwa nyie siutani hataweza mdahalo ataanguka bure?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom