Lowassa ashusha neema kwa wanaotafuta ajira

Lowassa ashusha neema kwa wanaotafuta ajira

Wewe ni mwehu, Lowassa anaanda sera zake binafsi kwani kawa mgombea binafsi ? Atatakiwa kutekeleza sera za CCM ......
Mkuu Utekelezaji wa ahadi unategemeana na Raisi aliyeko mdarakani kwani ilani ipo siku zote ila utekelezaji unategemea msukumo wa raisi. mangapi hayapo kwenye ilani lakini yametekelezwa kwa sasababu ya riasi kuona umuhimu wake. Kila jambo linawezekana ni mipango tu, Libya walikuwa na wanatoa pesa kwa kila kijana aliyekuwa anaoa kwa ajili ya kuanzia maisha enzi za gadafi baada ya raisi huyo kupita sasa hivi ni historia tu.
 
Mafisadi Kama wewe na kna makonda mnamuogopa lowasa cz mnamchafuaga na mnajua akshka nchi atawanyoosha mpaka mrudshe pesa za ghadafi na mafuta wanayouza na kula pesa za ewura na iptl...pia atakomesha biashara yenu ya sembe

Hahahahahahaha kaka umemaliza kila kitu, kwa maana nyingine ule msamaha alioutoa Rais wa china kwa prince aliyekamatwa na sembe utaisha na sheria itachukua mkondo wake patamu hapo hahahahahaha.....
 
Hizo ni kelele tu hamna kitu hapo kwan JK alikuja na kip?..
Maisha bora yakuap ?
 
Hakuna Waziri Mkuu muongo na mbabaishaji aliyewahi kutokea Tanzania kama Lowassa.

Alipoingia madarakani alianzisha mpango wake wa kutatua matatizo ya ardhi, akatupeleka mbio kupeleka documents zetu mwisho wa siku, hakuna kilichotendeka.

Huyo ana uchu wa madaraka na hafai kabisa.
Wenyewe wanasema ataingia Ikulu kwa gharama zozote, hata ikibidi kwa baadhi ya watu kama nyie kina Faiza kuchinjwa.
 
Kumkabidhi nchi hii fisadi ni sawa na kuiuza nchi yetu.Ajibu tuhuma zinazomkabili na tujilizishe usafi kupitia utetezi wake bila kuwa na shaka.Pili atuambie hao marafiki zake wanaomchangia kila siku pesa anazogawa makanisani wananufaika na nini na kwa kutoa pesa hizo, Tatu pasipo shaka atueleze kwa nini alikuwa amwagi pesa toka zamani na kwa nini iwe sasa.Kuuza nchi yetu kwa mlanguzi haitowezekana kamwe.

Kuhusu Richmond tulieni anytime kila kitu kinawekwa wazi na kuonyesha washiriki wakubwa wote akiweno Baba mwenye nyumba.....

Kuhusu kuchangiwa mbona Membe juzi kachangiwa fedha mwanza ila hamsemi, tena mbaya zaidi kachangiwa mpaka na tapeli wa kizungu aliyeletwa na Nyalandu eti ndio Buffet billionea wa marekani, kumbe uongo na ulaghai mtupu; kipindi huyo mzungu yuko nchini Buffet original alikuwa Norway (naweka atachment muda sii mrefu kuthibitisha hili), kwa maana nyingine Membe akitoa fedha ni halali yake ila Lowassa akitoa fedha mnataka aeleze katoa wapi? hamuongelei fedha za joka la mdimu anazopata kutoka kwa wafadhili kupitia WAMA (Na ndio maana msishangae sana Mama Salma kuwa front sana kwa Membe ni syndicate kubwa sana waliyonayo ya kuchukua fedha kwa wazungu, mbona hamuulizi fedha za Gadhafi alizokula jamaa, mbona haulizi fedha alizopewa na Buffet feki kupitia kwa nyalandu kumbe fedha hizo ni za kanisa moja lililopo marekani linalosifika kwa kuuza unga ( connect the dot hili swala la unga na mtoto wa mkulu alivyokamatwa china)......
 
Achana na hao akina "Lowassamaniac"...wakishasikia jina Lowassa basi na akili zao huamini kuwa mijeledi mingi yaweza kuamsha ngamia aliyekufa!

Hhahahahahaha wewe ukisikia jina la Membe unadhani mama Salma anaweza kumpitisha ngamia kwenye tundu la sindano
 
Hakuna Waziri Mkuu muongo na mbabaishaji aliyewahi kutokea Tanzania kama Lowassa.

Alipoingia madarakani alianzisha mpango wake wa kutatua matatizo ya ardhi, akatupeleka mbio kupeleka documents zetu mwisho wa siku, hakuna kilichotendeka.

Huyo ana uchu wa madaraka na hafai kabisa.

Kwa upeo wako unafikiri unaweza kutatua matatizo ya Ardhi kwa mwaka moja na nusu aliyokaa, (Then nimekusoma vizuri kuwa alianzisha mpango, du kumbe jamaa ni noma aliweza kuanzisha mpango unazidi kutoa tu credit kwa jamaa, nilikuwa sijui hili kuwa alianzisha mpango wa kutatua Ardhi, basi take a promise kuwa akiingia 2015 tatizo la ardhi litakuwa historia kama tatizo la watoto wa masikini wa vijijini kupata access ya shule ilivyo historia saizi kwa juhudi za Edo boy)

kaka ebu jiongeze kidogo aisee usidhalilishe upeo wako.......hakuna swala lililo tite sio tu Tanzania bali ulimwengu wote kama issue ya Ardhi angalia Africa nchi nying are in chaos kutokana na maswala ya Ardhi, angalia mashariki ya kati....jiongeze kdg kamanda...Land management and solving needs allot of time...
 
Wasomi gani hao ambao wanaandaa sera ya kutoa posho kwa unemployed graduates? Huu ni utumbo mtupu na ni mvivu wa kufikiri ambaye anaweza kuvutiwa na sera potofu kama hii.
 
Hahahahahaaa..............Serikali hii ya CCM inashindwa kutoa allowance kwa kazi za ziada za madaktari na wauguzi, leo hii iweze kutoa allowance kwa watu wasiofanya kazi?

Kweli kuna viazi nch
i hii.
viazi chakula mkuu hebu mtafutie jina sawia
 
Wasomi gani hao ambao wanaandaa sera ya kutoa posho kwa unemployed graduates? Huu ni utumbo mtupu na ni mvivu wa kufikiri ambaye anaweza kuvutiwa na sera potofu kama hii.

Naomba ifike nyakati mtoto/watoto wako wapate shida hii tunayokumbana nayo vijana hasa sisi watoto wa masikini ili next time upate adabu kidogo......

tembelea vyuo vya serikali uone watoto wa masikini wananvyopata taabu, wakimaliza ndio usiseme sasa wanavyopata shida ya kuomba kazi, ukimuona popote pale kashikilia bahasha anazurura maofisini, kiatu kimechoka, chai ajapata, chakula ajapata, shati kola limelika, wiki nne ajanyoa, huyu ndio kijana wa leo anayeongelewa kuwa japo kwa mwezi mpe kiasi fulani ili akiwa anapeleka barua Kisutu katika ofisi za sekretariate ya ajira awe na nauli....
 
Kama wewe ni kijana, mtoto wa maskini, na huna kazi na huna mtu wa kukubeba ili upate ajira I am sure lazima utaunga mkono hili swala....ila naona kuna baadhi ya watu wana comment kwa kejeli hii inaonyesha kuwa wana ajira tayari hivyo hawajui uchungu na usumbufu wa kupata ajira kwa sasa....ngoja niwafumbue macho kidogo msijifanye kuwa hamuoni tatizo la ajira na jinsi wanaohitumi wanavyopata tabu kupata ajira hasa ukiwa huna mkubwa serikalini na mbaya zaidi hata kwenye ma NGO limeingia hili swala la kubebena.

-TRA waliitaji nafasi 4 wakaita watu 558

-Uhamiaji nafasi 70 waliitwa watu 16,057

-ustawi wa jamii (sekretariate ya ajira) nafasi 74 waliita watu 23,27

-ppf waliitaji nafasi 18 (jumla) waliita watu 896

-Pspf waliitaji watu 21 waliita watu 618

-NHIF nafasi 6 waliitwa watu 3964

Naomba kuishia hapo, nafkiri vijana watakuwa wanakumbuka hizo interview kwa machungu na hata wengine kulia, hii ni kwa sababu walikosa kazi sio kwamba hawana uwezo ila ni kwa sababu hawana ndugu zao katika hizo taasisi, vile vile wengine hawakuweza kutuma maombi, hivyo basi tunapopata mtu wa kubeba agenda yetu vijana bila shaka hatuwezi kumuacha kamwe......katika kudeal na hili swala ni kujenga na kuimarisha viwanda vikubwa na vidogo pamoja na extensive investment katika kilimo..

Kama wewe ni kibuyu na umesoma kwa madesa tu usitegemee kupata kazi ya kuajiriwa kwenye reputable institution.

Labda kwa mhindi.
Poleni sana vijana mnaotegemea kubebwa na kupewa allowance.
 
Wasomi gani hao ambao wanaandaa sera ya kutoa posho kwa unemployed graduates? Huu ni utumbo mtupu na ni mvivu wa kufikiri ambaye anaweza kuvutiwa na sera potofu kama hii.

sera mbovu sijawahi kufikiria, swala mkononi si kwamba vijana wanahitaji posho ya kudurufu vyeti vyao, bali nafasi za kuajiriwa na kujiajiri, na kujiajiri kuonekana ndio suluhisho kwani kuajiriwa kumekuwa si tegemeo tena kwa kuwa idadi ya vijana wanaomaliza elimu ni kubwa kuliko ajira wanazoweza pata.
Hivyo sera zitakazo_fungua fursa za kweli kwa vijana kujiajiri ndio kipaumbele kwa sasa.

Kodi ikiisha nitalipa mpaka november mwakani iwapo Lowasa atashinda nitahamia hata Burundi.
 
Rafiki yangu , it pays to sit down and think.
Ikiwa kwa sasa serikali inshindwa kulipa madeni ya waalimu, makandarasi wa ujenzi wa barabara, allowance za wafanyakazi wa serikali, madawa ya hospitali nk, ndiyo leo hii itaweza kulipa allowance kwa waliokosa ajira.
Tafadhali naoma takwimu za
  • Wanao maliza darasa la saba
  • wanao maliza form 4 and 6
  • Wanao maliza universities na vyou vingine
Creteria gani itatumika kugawa hizo allowances.
Hivi unaelewa ni nafasi ngapi za kazi zinzaweza kupatikana kwa mwaka visa vi wanaomaliza shule/chuo.
 
Rafiki yangu , it pays to sit down and think.
Ikiwa kwa sasa serikali inshindwa kulipa madeni ya waalimu, makandarasi wa ujenzi wa barabara, allowance za wafanyakazi wa serikali, madawa ya hospitali nk, ndiyo leo hii itaweza kulipa allowance kwa waliokosa ajira.
Tafadhali naoma takwimu za
  • Wanao maliza darasa la saba
  • wanao maliza form 4 and 6
  • Wanao maliza universities na vyou vingine
Creteria gani itatumika kugawa hizo allowances.
Hivi unaelewa ni nafasi ngapi za kazi zinzaweza kupatikana kwa mwaka visa vi wanaomaliza shule/chuo.

Du uelewa ni kazi sana.... Kama umeelewa post ni kwamba katika kutatua tatizo la ajira concentration itawekwa ktk sekta kuu tatu, kilimo, viwanda na elimu, kwa maana hiyo issue ya allowance halitakuwa swala la kudumu kwa idadi kubwa ya vijana ila litakuwa la mpito huku wakisubiri hizo sekta na sekta zingine kumature ready kwa kuchukua vijana zaidi kutokana na nafasi zitakazozalishwa....pili kwa kuanza it has been specified kuwa ni vijana waliomaliza vyuo kama pilot study....kuhusu hayo madeni hapo kamanda elewa kuwa serikali ina uwezo sana wa kulipa sijui madaktari, sijui walimu issue kubwa ni willngness, na uthubutu wetu viongozi, ngoja nikupe mfano msaada wa bure wizarani kwetu imetengwa billioni 1.2 kama chai na maziwa, afu can you say serikali aina uwezo wa kulipa madeni,kwa nini isikate hata nusu ipunguze deni la juma, ally, aisha jacob wanaofundisha huko maswa...Think Big my friend...
 
Back
Top Bottom