OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Du hii sasa imemaliza kila kitu..Jana jioni nilipata bahati ya kukutana na think tank ya Lowassa ambao ni wahadhiri wa vyuo vikuu maarufu hapa Tanzania, kama UDSM, Mzumbe, IFM, SUA, CBE na Tumaini.
Kikubwa kilichonifanya kuona hii kambi ni noma na hatari, ni sera mbali mbali zilizo kwenye maandalizi na jana walikuwa wanaangalia tatizo la ajira kwa ujumla.
Katika hilo Lowassa aliahidi kuwa, akiingia magogoni kila mwezi atakuwa anatoa allowance (kaela kadogo), kwa vijana ambao hawana kazi, na kwa awamu ya kwanza ataanza na waliomaliza vyuo ili waweze kupata ela japo ya kutoa photocopy na chakula ili waweze kuwa na nguvu za kufanya application na ili wawe fiti kufanya kazi katika viwanda vitakavyooanzishwa.
Kisha ataangalia utaratibu gani wa kutoa kwa wengine pia alizidi kusisitiza kuwa gesi ikitumika vizuri hakuna kisichowezekana katika hili na hiyo gesi ni neema kubwa sana kama itatumika vizuri.
Moja wa wajumbe katika kutetea hoja hii ya Lowassa, alitoa mfano wa libya enzi za Gadafi, ambapo wanafunzi waliokuwa wanamaliza vyuo walikuwa wanapata allowance za kusogeza maisha yao huku wakisubiri kupata kazi za kudumu na sio miujiza ni mafuta tu ndio iliweza kufanya haya yote, hivyo basi ni wazi katika mpango huu vijana mumeombwa kuendeleza mjadala na kuchangia mjadala na kuona ni namna gani uweze kuboreshwa kwa faida ya Taifa.
NB: Kwa hakika mimi kama kijana nasema asilimia 100% nimepokea hizi jitiada za Lowassa kwa furaha zaidi na zaidi, kwani kama kijana hili tatizo limekuwa ni janga na bomu sio tu litakalolipuka bali ambalo limeshalipuka (rejea interview ya Uhamiaji, watu 16000 kwa nafasi 70).
Ebu fikiria kijana katoka familia maskini, kamaliza chuo, ajira ni isuues, hana mahali pa kuishi hapa mjini, na kama ana mahali pa kuishi chakula ni tatizo, na kama hivyo vyote vipo basi ela ya photocopy ni issues.
Basi tunakushukuru Lowassa kwa kuona hili, sisi kama vijana hatuna la kukulipa zaidi ya kusema tuko na wewe katika harakati zako, umeonyesha wewe ni kiongozi wa namna gani, unauwezo wa kuthubutu, katika hili umethubutu kueleza vission yako yenye uamuzi mgumu sana sana, Baba tuko na wewe pamoja daima, na kamwe hatutakutupa mpaka mwisho.
Kikubwa kilichonifanya kuona hii kambi ni noma na hatari, ni sera mbali mbali zilizo kwenye maandalizi na jana walikuwa wanaangalia tatizo la ajira kwa ujumla.
Katika hilo Lowassa aliahidi kuwa, akiingia magogoni kila mwezi atakuwa anatoa allowance (kaela kadogo), kwa vijana ambao hawana kazi, na kwa awamu ya kwanza ataanza na waliomaliza vyuo ili waweze kupata ela japo ya kutoa photocopy na chakula ili waweze kuwa na nguvu za kufanya application na ili wawe fiti kufanya kazi katika viwanda vitakavyooanzishwa.
Kisha ataangalia utaratibu gani wa kutoa kwa wengine pia alizidi kusisitiza kuwa gesi ikitumika vizuri hakuna kisichowezekana katika hili na hiyo gesi ni neema kubwa sana kama itatumika vizuri.
Moja wa wajumbe katika kutetea hoja hii ya Lowassa, alitoa mfano wa libya enzi za Gadafi, ambapo wanafunzi waliokuwa wanamaliza vyuo walikuwa wanapata allowance za kusogeza maisha yao huku wakisubiri kupata kazi za kudumu na sio miujiza ni mafuta tu ndio iliweza kufanya haya yote, hivyo basi ni wazi katika mpango huu vijana mumeombwa kuendeleza mjadala na kuchangia mjadala na kuona ni namna gani uweze kuboreshwa kwa faida ya Taifa.
NB: Kwa hakika mimi kama kijana nasema asilimia 100% nimepokea hizi jitiada za Lowassa kwa furaha zaidi na zaidi, kwani kama kijana hili tatizo limekuwa ni janga na bomu sio tu litakalolipuka bali ambalo limeshalipuka (rejea interview ya Uhamiaji, watu 16000 kwa nafasi 70).
Ebu fikiria kijana katoka familia maskini, kamaliza chuo, ajira ni isuues, hana mahali pa kuishi hapa mjini, na kama ana mahali pa kuishi chakula ni tatizo, na kama hivyo vyote vipo basi ela ya photocopy ni issues.
Basi tunakushukuru Lowassa kwa kuona hili, sisi kama vijana hatuna la kukulipa zaidi ya kusema tuko na wewe katika harakati zako, umeonyesha wewe ni kiongozi wa namna gani, unauwezo wa kuthubutu, katika hili umethubutu kueleza vission yako yenye uamuzi mgumu sana sana, Baba tuko na wewe pamoja daima, na kamwe hatutakutupa mpaka mwisho.