Lowassa ashauriwa asigombee urais

Sizioni mkuu ebu nionyeshe ziko wapi? Naomba unisaidie kwa hilo...au ndio yale yale mambo ya kusikia stori za vijiwe au bendera fata upepo! Ebu nisaidie hizo pesa zinapatikana wapi na mimi nizifate manake nina shida ya ela sana sana

LOWASSA AWAMWAGIA MAMILIONI YA FEDHA WAISLAM LEO-HUYU NI KIONGOZI WA UMMA, SI MFANYABIASHARA

Posted on 10 Apr by CCM Blog

Waziri Mkuu wa zamani, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akikabidhi kitita cha sh. milioni tano kwa viongozi wa Baraza la Misikiti Tanzania (BAMITA), katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam, leo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa BAMITA, Sheikh Salum Sung'he. Imeelezwa katika makabidhiano hayo kwamba fedha hizo ni kwa ajili ya kuendeleza mipango kazi ya BAMITA katika kuelimisha jamii katika kupunguza maambukizi ya Ukimwi na kudhibiti mimba kabla ya ndoa. Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa BAMITA, Alhaj Juma Swalehe. Huu ni mwendelezo wa Lowassa kumwaga mamilioni ya fedha kwa taasisi za kidini ambapo amekuwa pia akimwaga mamilioni kwenye makanisa kupitia
 

Sasa unatueleza sisi ili iweje
 
Siku JK akitoka ofisini Magogoni Membe atakuwa na wakati mgumu sana.
 

TeamMembe at Work!
 
Million tano unaita mamillioni? nyie ndio wale mabingwa wa kuamini uzushi
 
Sizioni mkuu ebu nionyeshe ziko wapi? Naomba unisaidie kwa hilo...au ndio yale yale mambo ya kusikia stori za vijiwe au bendera fata upepo! Ebu nisaidie hizo pesa zinapatikana wapi na mimi nizifate manake nina shida ya ela sana sana


[h=3]Lowassa awapa milioni 20 wafanyabiashara wadogowadogo wa jijini Mwanza !- Lowasa ni kiongozi wa Umma, si mfanyabishara[/h]Saturday, July 06, 2013 Maoni: 0



Mhe. Lowassa akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 20 Bw.Matondo ambaye ni mwenyekiti wa Shirika la Umoja wa wafanyabiashara wadogowadogo wa jijini Mwanza (SHIUMA) huku akishuhudiwa na diwani wa kata ya Nyamagana Bhiku Kotecha (anayepiga makofi).
Bw. Lowassa alisema kwamba kutokana na marafiki zake ambao aliwataja Bw.Christopher Mwita Gachuma (MNEC- Tarime), Bw.Mathias Manga (MNEC-Arumeru), Bw.Raphael Chegeni (MNEC-Busega) Bw.Shanif Hiran Mansoor(Mbunge-Kwimba) na Bw.Altaf Mansoor (Mkurugenzi wa MOIL) ambao waliniomba na kunisisitiza kuwaona na kuwasikiliza nami nimewapa utaratibu wa kuandaa Harambee kubwa ya kuwachangia na marafiki zangu wengine.


"Leo hii siyo harambee bali nataka kuwachangia kianzio katika mfuko wenu na siku zote CCM inasema kwamba ni lazima kuwapatia mtaji vijana hivyo nawapatia Cheki ya milioni 10 na jioni ntwapatia shilingi milioni 10 jumla zitakuwa shilingi milioni 20 za kuanzia ili kujipanga na harambee kubwa






Mmoja kati ya wanakamati wa SHIUMA akionyesha hundi ya shilingi milioni 20 waliyokabidhiwa na Mhe. Lowassa kama sehemu ya harakati ya kutatua masuala mbalimbali ya changamoto zao walizoziainisha kwenye risala.
 
Ushauri wa bure kwa team JOKA,ni bora muelekeze nguvu jimboni Mtama.la sivyo mtakosa kila kitu
 

Mkuu tunashukuru kwa taarifa, una haki ya kutoa mawazo yako. Haijalishi upo choon, bafuni, jikoni au hata unagegedwa! Ni ruksa kusema lolote coz mdomo ni mali yako na mawazo ni yako!!! Hujamsemea mtu yeyote, hata Membe hapa lazima atakukana.
 
Wewe hujitambui lowasa ndio rais watu nenda zako huko km huna Sera kaa kimya.
 
Siasa maji taka zishapitwa na wakati sioni wa kumzuia lowassa ccm
Labda tu baada ya ccm kumpitisha aje akutane na nondo za cdm zimkate fahamu!
 
Hii thread naona inawahusu magamba peke yao. gamba moja linamwaona mwingine hafai wakati yote ni ya kutupa kuleee!
 
Sizioni mkuu ebu nionyeshe ziko wapi? Naomba unisaidie kwa hilo...au ndio yale yale mambo ya kusikia stori za vijiwe au bendera fata upepo! Ebu nisaidie hizo pesa zinapatikana wapi na mimi nizifate manake nina shida ya ela sana sana

[h=3]MHESHIMIWA LOWASA ATOA MILIONI 10 KUSAIDIA UJENZI WA KANISA LA EAGT[/h]
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya.
Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Edward Ngoyai Lowassa ametoa shilingi milioni 10, kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa la EAGT lililopo Mji mdogo wa Tunduma, Wilaya ya Momba Mkoani Mbeya.


Fedha hizo zimetolewa jana katika harambee ya kuchangia ujenzi wa Kanisa hilo, iliyofanyika katika viwanja vya Hoteli ya High Class mjini humo. LINK CHIMBUKO LETU: MHESHIMIWA LOWASA ATOA MILIONI 10 KUSAIDIA UJENZI WA KANISA LA EAGT

 
Huwa naheshimu post za kila mtu jambo kubwa kwangu nikipata tarifa kama hii huwa naanza kutafiti na kupata ukweli zaidi nimefanya hivi kwenye post nyingi za chabruma na kupata ukweli juu ya post za chabruma kwa undani kabisa.
 
Jina Mhe. Lowassa kutajwa kwa mara 12, sii promo haba!.
Endelezeni na hizi promo!.
Pasco
 

Mbona unajidhalarisha ndugu! Ingekuwa vizuri ukachakua hata dakika chache uangalie ujumbe uliotumwa kuufikisha! Kama ni ugonjwa basi hilo siyo tatizo labda useme kingine tu. Kumbuka watu wengi hapa wanaheshimu private atmosphare ya viongozi walio madarakani na wale wanaopenda kugombe eti uraisi. Watu wakiamua kutaja MAGONJWA WALIYO NAYO CANDIDATES WENGINE AU HATA WALE AMBAO WAKO KWENYE MADARAKA, nafikiri hiyo thread yako haitakua na mshiko kabisa. Those are cheap adv.............!!
 
Weweni kenge maji inawezekanaje mzungu akampamtu mwingine majibu yamtumwingine tenamadaktariwenyewewazungu duuuuuuu aiseeesiosiri Lowassa nimeamini anaogopwasana ktkmbiozaMagogoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…