Lowassa ashauriwa asigombee urais

Lowassa ashauriwa asigombee urais

Sauti ya Rondo

Senior Member
Joined
Aug 1, 2009
Posts
127
Reaction score
226
Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.
 
Hizi akili za vijana wa WAMA ni janga katika taifa....hata iweje Membe awezi kuwa rais wa nchi hii kamwe na kamwe.....mlifatilia ripoti ya afya yake mkagonga mwamba sasa mumekuja na hili....mburulazzzzz kabisa na tatizo lenu hamna mbinu za kampeni kabisa
 
ALLAN mwanaume ni hatari Kugeuzwa,usikubali kutumiwa kama konduma ALLAN

Anajifanya eti na yeye mpigaji, aangalie hapa mjini ataliwa 07133333 amuulize Nyalandu mke wa Charles Dunken......kila siku lowassa lowassa, kila siku lowassa lowassa watakufa kihoro mwaka huu....
 
Condoms at work. Ni aibu sana kutumiwa.

Mbaya zaidi wanatumiwa hata bila kutumia akili zao, unaambiwa akili yako changanya na ya kwako....sasa dogo kama huyu Allan hata shule yenyewe kafeli anatumika hapa kama condom badala akomae amalize shule jingaaaaaaa kabisa huyu dogo....nae anatafuta nitoke vipi JF? Hajielewi kabisa huyu dogo
 
Team WAMA Kihoro kitawamaliza pesa za Gadafi eti zipo?

Membe mwenyewe hauziki hata kwa dawa kabaki tu kufanya majungu na fitina serikalini......tokea lini mke wa rais atuchangulie rais wa watu millioni 45, never on earth...
 
Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.

Chabruna ntoke vp!!Huna tofauti na condom iliyojaa shahawa!!
 
Jamani mwacheni Lowasa afanye mambo yake mbona mna wasiwasi sana kama sio mnajua yeye ni jembe?hana ugonjwa wowote kwa taarifa yenu tunajua nia na mathumununi yenu lakini jueni Lowasa ndiye raisi wa Tanzania 2015 tunamuhitaji na anaweza kama hauamini muulize Komba na sululu
 
Anajifanya eti na yeye mpigaji, aangalie hapa mjini ataliwa 07133333 amuulize Nyalandu mke wa Charles Dunken......kila siku lowassa lowassa, kila siku lowassa lowassa watakufa kihoro mwaka huu....

Nyalandu make wa nani?
 
Back
Top Bottom